TANZIA Bariega amefariki dunia

Bora kadedishwa.....
 
Sasa hako kajamaa mbona mimi naweza kukaweka chini in few minutes, nikiwa na kile chuma chembaba chepesi ameisha huyu.
Yaani mtaa mzima unashindwa kukaweka futi sita ardhini kamtu kama hako? tatizo ni uoga au kuogopa kufa?

Seriously?
 
Huyo kavuna alichopanda aise

Ova
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] kaduchuu
Watu wengi makatili sana huwa Wana miili kiduchu, Kuna dogo Alikua anaitwa NOAH miaka ya 2000 mpaka 2005

Alikua na mwili mdogo Kama wa younglunya, ila ukiingia 18 zake utajuta kuzaliwa[emoji4]
 
Waliosema za mwizi arobaini.......

Hayo ndio maisha alivojichagulia maskini. Na ajali yake imemfika kwenye amali yake
 
Safi Sana nimefurahi Sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo mwizi anauawa halaf huzuni inatawala 🙄
 
Apo kwenye gays alifanya vizuri angewachinja kabisa[emoji35][emoji35][emoji35] unakuaje gay yani kwa mfano yani utamu wote ule wa mbususu bado kuna mtu anakuwa gay?
 
hivi wanaume wa dar ,mna Nini!? Ka bwana mdogo Kama haka eti kanasumbua watu,aise mikoani angekuwa ameahasahaulika muda mrefu Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…