TANZIA Bariega amefariki dunia

TANZIA Bariega amefariki dunia

Huzuni imetawala wapi... Mleta mada nadhani wewe ni partner uliyenusurika kwani mlikuwa watatu wawili mkaweza kukimbia. Tukio limetokea maeneo ya kinyerezi mibega muda wa saa 11 na dakika chache, ambapo mlimvamia binti ambae alikuwa akielekea kazini na kumpora pochi kama hiyo haitoshi mkamjeruhi na panga bahati nzuri kulikuwa na mlinzi wa duka aliyekuja kusaidia... marehemu akajaribu kumpiga na panga yule mlinzi alipokwepa panga likadondoka, na mlinzi akaweza kumdhibiti kibaka na raia wakawa tayari kutoa msaada, Msamaria mmoja akatoa petrol na wengine wakaleta kuni ili kuhitimisha shughuli........ picha si nzuri kuziweka hapa
nilipita eneo la tukio alfajiri nikasimama kuchukua umbea.. wakazi wa eneo hilo wamefuhi sana kwani baadhi walimtambua kwamba amekuwa akisumbua sana eneo hilo
Bora kadedishwa.....
 
Sasa hako kajamaa mbona mimi naweza kukaweka chini in few minutes, nikiwa na kile chuma chembaba chepesi ameisha huyu.
Yaani mtaa mzima unashindwa kukaweka futi sita ardhini kamtu kama hako? tatizo ni uoga au kuogopa kufa?

Seriously?
 
Huzuni imetawala wapi... Mleta mada nadhani wewe ni partner uliyenusurika kwani mlikuwa watatu wawili mkaweza kukimbia. Tukio limetokea maeneo ya kinyerezi mibega muda wa saa 11 na dakika chache, ambapo mlimvamia binti ambae alikuwa akielekea kazini na kumpora pochi kama hiyo haitoshi mkamjeruhi na panga bahati nzuri kulikuwa na mlinzi wa duka aliyekuja kusaidia... marehemu akajaribu kumpiga na panga yule mlinzi alipokwepa panga likadondoka, na mlinzi akaweza kumdhibiti kibaka na raia wakawa tayari kutoa msaada, Msamaria mmoja akatoa petrol na wengine wakaleta kuni ili kuhitimisha shughuli........ picha si nzuri kuziweka hapa
nilipita eneo la tukio alfajiri nikasimama kuchukua umbea.. wakazi wa eneo hilo wamefuhi sana kwani baadhi walimtambua kwamba amekuwa akisumbua sana eneo hilo
Huyo kavuna alichopanda aise

Ova
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119] kaduchuu
Watu wengi makatili sana huwa Wana miili kiduchu, Kuna dogo Alikua anaitwa NOAH miaka ya 2000 mpaka 2005

Alikua na mwili mdogo Kama wa younglunya, ila ukiingia 18 zake utajuta kuzaliwa[emoji4]
 
Huzuni imetawala wapi... Mleta mada nadhani wewe ni partner uliyenusurika kwani mlikuwa watatu wawili mkaweza kukimbia. Tukio limetokea maeneo ya kinyerezi mibega muda wa saa 11 na dakika chache, ambapo mlimvamia binti ambae alikuwa akielekea kazini na kumpora pochi kama hiyo haitoshi mkamjeruhi na panga bahati nzuri kulikuwa na mlinzi wa duka aliyekuja kusaidia... marehemu akajaribu kumpiga na panga yule mlinzi alipokwepa panga likadondoka, na mlinzi akaweza kumdhibiti kibaka na raia wakawa tayari kutoa msaada, Msamaria mmoja akatoa petrol na wengine wakaleta kuni ili kuhitimisha shughuli........ picha si nzuri kuziweka hapa
nilipita eneo la tukio alfajiri nikasimama kuchukua umbea.. wakazi wa eneo hilo wamefuhi sana kwani baadhi walimtambua kwamba amekuwa akisumbua sana eneo hilo
Waliosema za mwizi arobaini.......

Hayo ndio maisha alivojichagulia maskini. Na ajali yake imemfika kwenye amali yake
 
Huzuni imetawala wapi... Mleta mada nadhani wewe ni partner uliyenusurika kwani mlikuwa watatu wawili mkaweza kukimbia. Tukio limetokea maeneo ya kinyerezi mibega muda wa saa 11 na dakika chache, ambapo mlimvamia binti ambae alikuwa akielekea kazini na kumpora pochi kama hiyo haitoshi mkamjeruhi na panga bahati nzuri kulikuwa na mlinzi wa duka aliyekuja kusaidia... marehemu akajaribu kumpiga na panga yule mlinzi alipokwepa panga likadondoka, na mlinzi akaweza kumdhibiti kibaka na raia wakawa tayari kutoa msaada, Msamaria mmoja akatoa petrol na wengine wakaleta kuni ili kuhitimisha shughuli........ picha si nzuri kuziweka hapa
nilipita eneo la tukio alfajiri nikasimama kuchukua umbea.. wakazi wa eneo hilo wamefuhi sana kwani baadhi walimtambua kwamba amekuwa akisumbua sana eneo hilo
Safi Sana nimefurahi Sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala

Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.

Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha

View attachment 2278997
Kwahiyo mwizi anauawa halaf huzuni inatawala 🙄
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uongo nisiseme matukio yake? Kwani mashoga ndo halali kufanyiwa matukio ya ujambazi? Lazima ukweli tuuseme kwa yale aliyo yafanya wakati wa uhai wake.

Majambazi wengi hawa vibaka konkii wa uswahilini, wanapenda sana kuwarubuni gays hasa waarabu na wahindi koko wanajua wana vitu vya thaman. Wao wanajifanya mabasha ili wawapate kirahisi, wamepora na kujeruhi sana gays.

Huyo alimpora bottom wa kiarabu, iphone 13 pro, wallet yenye pesa, SAA, cheni, had sandols, mtoto wa watu alitembea peku, hiyo yote kuogopa kuuliwa maana alimbonda kwani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ni vile gays hawana Pa kusemea. Na hawa majambazi na vibaka wanawapenda kweli si wanajua hakna kwa kushitaki.

Bora lilivyokufa, likampumzike sasa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Apo kwenye gays alifanya vizuri angewachinja kabisa[emoji35][emoji35][emoji35] unakuaje gay yani kwa mfano yani utamu wote ule wa mbususu bado kuna mtu anakuwa gay?
 
hivi wanaume wa dar ,mna Nini!? Ka bwana mdogo Kama haka eti kanasumbua watu,aise mikoani angekuwa ameahasahaulika muda mrefu Sana.
 
Back
Top Bottom