TANZIA Bariega amefariki dunia


Sema Furaha kubwa imetawala, huzuni ya nini? Hivi kwanini nyie watu mnaongea vitu tofauti kabisa na uhalisia, kibaka, mwizi afe alafu huzuni itawale? Acheni kuwa vinyonga, sema watu wamesherehekea kifo chake
 
Mtoa Uzi huzuni ya nn maana umesema alikuwa anakata watu kwa mapanga unamaanisha wanasikitika mbaya wao kufa?????
 

Jambazi au kibaka?
 
Ni panya road huyu ?....
 
Arusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Alikuwa hatumii ushirikina kweli ?
 

Mtu mwenyewe haenei hata kiganjani
 
Labda kama alikua anatumia uchawi lakini hivihivi tu huyu anikabi au pengine najipa moyo kwasababu nilikua najitahidi sana kuelewa Jeet Kune Do ya teacher Abdallah Mkamba na Karate za Suleiman Kumcha.
 
Duh uchokoo vigumu sana kuisha,nipo hapa Jaromex hotel aisee ni balaa tupu machoko kibao yanafanya pati floo ya 6.
 
Harafu mtoto mwenyewe mbona mweupe,dar hakuna wanaume wa maana.
 
Aseh
 
Safi sana inapendeza, bado kadhaa watatiwa kwenye 18 muda siyo mrefu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…