Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Gentamicine anasema wewe ni Pascal Mayala 😄Jitokeze kwenye 18 zake ndoutajua, hawa wakisema moja inakuwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gentamicine anasema wewe ni Pascal Mayala 😄Jitokeze kwenye 18 zake ndoutajua, hawa wakisema moja inakuwa moja
Huyo ndio ulisema alikutoa marinda?Nyimbo nyingi za singeli zile za bakora humkosi kusikia jina lake wahuni wakimpaisha kumbe ndio huyu jamaa!!
Sawa dada mhuni sina KY chunga marindaOngeza sauti usikike zaidi..
Nijuavyo ukonga,kivule hadi kitunda kuna wakuriya wamejaa maeneo hayo,je nao walishindwa.....ama sasaivi wakuriya nao wameshaiga tabia za kizaramoSio rahisi kwa mkazi wa ukonga haswa moshi bar relini kutomjua uyo
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
Mtoa Uzi huzuni ya nn maana umesema alikuwa anakata watu kwa mapanga unamaanisha wanasikitika mbaya wao kufa?????Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.
Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.
[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
Ni panya road huyu ?....Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
Alikuwa hatumii ushirikina kweli ?Arusha Kuna jamaa mbakaji alikua anaitwa TELEZA katomber Sana wake zenu mkabaki mnalia Lia kwa miaka mingi tu,kauawa juzi Kati tu Kule Murieti?
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
Duh uchokoo vigumu sana kuisha,nipo hapa Jaromex hotel aisee ni balaa tupu machoko kibao yanafanya pati floo ya 6.Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.
Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.
[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
Harafu mtoto mwenyewe mbona mweupe,dar hakuna wanaume wa maana.Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
AsehBariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko tabata uzuni imetawala
Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.
Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha
View attachment 2278997
Eti walikuwa wanakiogopa kina pangaHiki kijogoo kidogo namna hii kisumbue kwa muda mrefu bila wananchi kuchukuwa hatua?
Kuwa hatari sikatai ila kusumbua eneo moja muda mrefu ndio tatizoSema uwezavyo ila jamaa ni mtu hatari sana