TANZIA Bariega amefariki dunia

TANZIA Bariega amefariki dunia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyooo??
Nakuelewa mjukuu wa Karume,wanasema kila mtu ashinde mechi zake.

Waambie sipendi kuwaona wanajiweka kike kike miwanja na nguo za kike na mitembeo ya kike,watulie tu mabasha wapo tu watawapata hata wakivaa suti
 
Na mnajinadi mna intelijensia ya Polisi ambao wana nguvu mpaka ya kufitini uchaguzi mkuu ila dogo kama huyu anasumbua mtaa.
Polisi wetu wapumbavuu sana wewe fikilia panya road wanafunga mtaa masaa4 mazima bila ya kuonekana hata polisi mmoja [emoji34][emoji34]..ukipata na matatizo mtaani, ya watu kama hao wewe piga simu polisi waambie tu kuwa mbowe yupo mtaani ana andamana utashangaa ndani ya sekunde 20 tu polisi kama 100 wamesha fika...wengine bila hata ya kuvaa boksa na wengine wakiwa wameshika miswaki waliyokuwa wanasafishia meno. Nijambo la kushangaza sana
 
Tatizo kubwa la Dar hivi vitoto tunavifuga wenyewe, wala hakuna sababu nyingine na tusiwalaumu Polisi.

Tuko nao mitaani na tunawajuwa na hatuchukui hatua stahiki kukomesha tabia hizi.
Wewe unaongea utopolo hao vijana wanakamatwa kwa matukio kila kukicha na kupelekwa polisi ...kama wananchi wanawajua wewe unafikiri polisi awawajui ...tena hao vibaka wanajuana na mapolisi hadi majina ya ukooo...ukiwakamata na kuwapeleka polisi utasikia wanatajana majina na polisi " wewe fulani umeruditena polisi umefanya nini tena" na jamaa ana wataja maafande kwa majina ....
 
Huzuni imetawala wapi... Mleta mada nadhani wewe ni partner uliyenusurika kwani mlikuwa watatu wawili mkaweza kukimbia. Tukio limetokea maeneo ya kinyerezi mibega muda wa saa 11 na dakika chache, ambapo mlimvamia binti ambae alikuwa akielekea kazini na kumpora pochi kama hiyo haitoshi mkamjeruhi na panga bahati nzuri kulikuwa na mlinzi wa duka aliyekuja kusaidia... marehemu akajaribu kumpiga na panga yule mlinzi alipokwepa panga likadondoka, na mlinzi akaweza kumdhibiti kibaka na raia wakawa tayari kutoa msaada, Msamaria mmoja akatoa petrol na wengine wakaleta kuni ili kuhitimisha shughuli........ picha si nzuri kuziweka hapa
nilipita eneo la tukio alfajiri nikasimama kuchukua umbea.. wakazi wa eneo hilo wamefuhi sana kwani baadhi walimtambua kwamba amekuwa akisumbua sana eneo hilo
Mkuu Weka picha Moja hapa make Hata humu wapo wengi sanaa wapate funzo
 
Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.

Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.

[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
Polisi wanajua hawa wahalifu alafu hakuna hatua?
 
Polisi wetu wapumbavuu sana wewe fikilia panya road wanafunga mtaa masaa4 mazima bila ya kuonekana hata polisi mmoja [emoji34][emoji34]..ukipata na matatizo mtaani, ya watu kama hao wewe piga simu polisi waambie tu kuwa mbowe yupo mtaani ana andamana utashangaa ndani ya sekunde 20 tu polisi kama 100 wamesha fika...wengine bila hata ya kuvaa boksa na wengine wakiwa wameshika miswaki waliyokuwa wanasafishia meno. Nijambo la kushangaza sana
Tuna police force ya ajabu kuwahi kutokea duniani.
Police wana active response kwa emergency za kisiasa tu! Mwizi au Panya road wanaweza kukupiga wakuue polisi hawana habari
 
Nyie wakazi wa Ukonga waoga sana mnaficha waalifu pale kuna FFU na Gereza mgetoa taarifa chap kwa haraka
Kwahiyo kwa akili yako ya kuchambia kama ya sa100 unafikili hao FFU NA MAGEREZA NA POLISI WA STAKISHARI AWAISHI NA SISI MITAANI maana mimi ilo eneo la ukonga nalijua vizuri kwa sababu nikitakaga kusafiri kwa ndege nakodigi gesti au hoteli maeneo ya ukonga ..karibu kila mtaa wa ukonga kuna askari kama siyo polisi ni magereza au FFU au jwtz au mmojawapo wa maaskari wastahafu
 
Ndo unachokijua? Umeambiwa anafanya ujambazi kwa watu wote.
Nyokoooooh
Mbona nmeishi Sana mbuyuni njia panda segerea sijawahi msikia kabisa ata akitamkwa uyo alikuwa special kwa mashoga tu labda
 
Polisi wetu wapumbavuu sana wewe fikilia panya road wanafunga mtaa masaa4 mazima bila ya kuonekana hata polisi mmoja [emoji34][emoji34]..ukipata na matatizo mtaani, ya watu kama hao wewe piga simu polisi waambie tu kuwa mbowe yupo mtaani ana andamana utashangaa ndani ya sekunde 20 tu polisi kama 100 wamesha fika...wengine bila hata ya kuvaa boksa na wengine wakiwa wameshika miswaki waliyokuwa wanasafishia meno. Nijambo la kushangaza sana
Hao wavuta bange afande khamis kawafyeka Sana kigamboni
 
Mtu kamaunavyo sema alikuwa muuwaji jambazi, alafu unasema TANZIA, alafu huzuni imetawala, imetawala kwa nani?.
 
Hamisi Bodaboda jamaa genius kinoma kigamboni ukisahau kitu kwenye bajaji unakipata jamaa kawarestisha kimyakimya bila kelele
Yaani akikudaka akakuonya Mara 2 ya 3 anawaambia familia waandae utaratibu

Ila ni afande poa Sana sometime anawanunuliaga adi sigara masela ila ukijaa 18 jua hutoboi hata uwe nani
 
Idara hii upo vizuri! Mange ajakuona tu bado kwa app yake
Yaan nikose mie kwa Mange? Akati kuna mi ubuyu miwili niliipeleka mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wanafikiri wakabaji,majambaz basi wanakuwaga na miili mikubwa
Kama wabeba vyuma
Kumbe madogo kama hawa kwanza wana roho mbaya,majasiri,hawana uwoga wowote
Akitoa silaha hairudi....

Sahv wabeba vyuma wengi kwqnza machk au unasemaje dear

Ova
Watu wa GYM dar ni ma bottoms tyuuh, wanafake ili jamii isiwajue, wanabaki kuumbuka tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom