TANZIA Bariega amefariki dunia

TANZIA Bariega amefariki dunia

Nakuelewa mjukuu wa Karume,wanasema kila mtu ashinde mechi zake.

Waambie sipendi kuwaona wanajiweka kike kike miwanja na nguo za kike na mitembeo ya kike,watulie tu mabasha wapo tu watawapata hata wakivaa suti
Sasa wenzio wanataka kushine hapo, wee ndo uondoke hilo eneo.
Ili usikwazike na wao, mbna simple tyuuh
 
Watu wa GYM dar ni ma bottoms tyuuh, wanafake ili jamii isiwajue, wanabaki kuumbuka tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Huyu mchumba ndo alikua anawafungisha mtaa anawakatakata mapanga? Dah kweli wanaume wa daslam kazi ipo
Apo Arusha mnaojifanya manunda kila siku teleza anawagongea wake zenu usiku na hakuna mnachofanya zaidi ya kulia Tu kuna mkoa gani ambao hakuna vibaka kama hawa tena uku mikoani ndyo machoko kabisa kwends polisi Tu mnaogopa
 
Yaani akikudaka akakuonya Mara 2 ya 3 anawaambia familia waandae utaratibu

Ila ni afande poa Sana sometime anawanunuliaga adi sigara masela ila ukijaa 18 jua hutoboi hata uwe nani
Ana cheo gani mkuu?
 
Wakazi wa mikoani bana, mnajifanyaga mashujaa sana na kudiss wakazi wa Dar.

Ila ukifatilia, asilimia 90 ya wakazi wa mikoani wote wana dream za kuishi/kufika Dar.
Dsm is a dream city to majority of Tanzanian youths.
 
Mbona hata simjui. Alikuwa anatikisa tabata ipi?! Mbona dogo mwenyewe mchumba tu huyo.

Akirusha panga nikilikwepa nikalinyang'anya, nikamshika atachezea kichwa kimoja cha nguvu na matata halafu mtama nakuweka chini namtoa nguo nakamata kiuno,namnyonya mate huku nafanya nae mapenzi kwa ugwadu kama mke wangu wa ndoa na nitahakikisha anaondoka na ujauzito wangu anizalie watoto mapacha atulie alee watoto aache ujinga.
Khah. Hujawahi bananishwa na wakora. Kuna siku mie wakati niko chuo kikuu enzi za mwalimu niliingia kitaani kwa demu wangu nikajifanya kidume narudi kwa mguu toka Msewe kurudi UD saa 8 usiku. Nilikutana na jamaa kama 10 hivi wana nondo na mapanga walikomba laki moja na nusu yangu ya BOOM na kuniachia. Siwezi kusahau lile tukio na sitembei Dar usiku kizembe
 
Bariega amefariki usiku wa jana saa 2 huko Tabata uzuni imetawala

Jamaa amesumbua sana wakazi wa Ukonga yote ukiwa kwenye 18 zake hakuachi hana huruma anakukata kata na mapanga mpaka ufe.

Alikuwa na mwenzake anaitwa Kambale naye aliuawa mwaka jana mpaka kwenye TV walimuonesha

View attachment 2278997
...Amekata kata wangapi Mpaka wamekufa???
 
Tobaaaaaah hili jambazi kuu la Banana - Ukonga, limeuwawa? Huyu mtu ni kheri ukutane na simba mwenye njaa, sio huyu kiumbe, n hatareee, yaan ni jambazi aliyevuka viwango wa Ugaidi.

Alikua anapenda sana kutesa, kuibia, na kuwajeruhi watu, yaan ukiingia ktk 18 zake umeishaa, alikua na mtindo wa kuwarubuni Gays hasa waarabu koko wa Kariakooo, na amewaliza kwa kweli.

[emoji119][emoji119][emoji119] afadhari akapumzike khaaah, bado mwingne anaitwaa Zabonga. Naye iko siku atasepeshwa.
...ameua wangapi wanaojulikana rasmi? Tusiwape sifa Watu ambao ni vibaka TU!!!
 
Ukatili sio mwili mtu anaweza kuwa na mwili mdogo na akaweza kusumbua maana anachotumia ni siraha na mauganga yao maana wengi mnadhani majambazi sugu ni mabonge wengi ni kama huyo huyo hata hata ukionyeshwa panga utadhani anatania kumbe anaondoka na bega...small boys ni hatari sana wakiwa na siraha..
 
Nani kakuambia
Mbona arusha huko teleza sjui
Kawalqmba sana wake za watu hadi kuwafukunyua 712 zao
Wakaz hko wanabaki kulialia tu
Dar we iba kaba ila utakutana na kiama chako

Ova
Si wake zao tu hata hao midume sema hawasemi
 
Tatizo kubwa la Dar hivi vitoto tunavifuga wenyewe, wala hakuna sababu nyingine na tusiwalaumu Polisi.

Tuko nao mitaani na tunawajuwa na hatuchukui hatua stahiki kukomesha tabia hizi.
Hawa wasipewe nafasi nyingine
 
Back
Top Bottom