Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milion 700 buti ilitakiwa iwe imesheheni hata kufunga iwe tabu, hizo bunda ni za million 10/10 ili zifike 700 ilitakiwa bunda ambazo kwa huo ukubwa haziwezi fiti kwenye hilo bag.Hii pesa tunayoiona hapa inafika milioni milioni 700?au kuna zingine?
Unaijua hela ya zambia wewe? Au unazani Zimbabwe . Achana na hela ya zambia kabisa inakimbizana na dollar.mtoa mada utakuwa ujamuelewa Barnaba labda alikùwa anamaanisha bilioni 2 za zambia
Ndg usiwe mshamba kwenye jamii ya kiafrika. Ukioata pesa kidogo wao hawataki tena kazi wanatqka uwe unawapa bureWrite your reply...Jamaa nilimdharau sana. mdogo wake wa kiume alienda kuishi kwakwe akawa hamsaidii kwa lolote Babake naye akawa analalamika Barnaba hamsaidii chochote hata nyumba a ayoishi. inavuja Walirusha Shilawadu hii habari....hapo alikuwa anachangia kituo cha watoto mayatima kijengwe....Shilawadu walikataa hiyo pesa akaambiwa akamnunulie Mzee wake bati! Bilioni mbili za mavi labda
Ndio maana nikashangaa,hilo begi haliwezi kubeba hio hela hata ulazimisheMilion 700 buti ilitakiwa iwe imesheheni hata kufunga iwe tabu, hizo bunda ni za million 10/10 ili zifike 700 ilitakiwa bunda ambazo kwa huo ukubwa haziwezi fiti kwenye hilo bag.