Barnaba: Diamond sio Mwanamuziki

Barnaba: Diamond sio Mwanamuziki

Nilisikiliza yale mahojiano, mtoa mada umechakachua hakusema hivo
 
Ni kweli si dayadomo tu bali na wanamziki wengineo wanaimba kijanja...

Lakini ndio hivyo mashabiki wao wameamua kuwakubali kihivyo hivyo...
 
Bila kumtaja Diamond wanajua interview itaishia kwenye matundu ya masikio ya watu....

Chibu oyeeeeeeeeee wapelekesheeeeeeeeeeeeee

Lazima huyu anatumia Chibu keshokutwa tutasikia anatoa nyimbo mpya

Kwel kbs aisee,wanataka afuate noter kwan anaimba kwaya
 
Masikini Barnaba! Bora ungebaki na hili jambo moyoni tu maana wenzio huku tuna maadui wengi sana kisa kusema ukweli kua Diamond sio mwanamuziki na hajui kuimba!

Kwa ujanja ujanja tu namkubali!
 
Muziki ni rugha ya dunia ukiona unaimba kenya au Nigeria hawakusikilizi ujue bado kiwango chako ni cha chini imba kama Diamond tusikie ujerumani wanacheza pls watanzania wengi wanawivu sana Dogo anafanya kweli wamwacheee dogo
 
Mwanamuziki gani anafunha suruali eti sababu atashuka kimuziki?

Wanawake hao hao wanaompapatikia ndio wanampa chati.

Lini umesikia ametoka na wanawake wawili au watatu kwa wakati mmoja?

Mwanaume gani anafinga suruali kwa wanamuziki tena wengine wachafu haswa kwa tabia zao.

Wamemsema hazai akitoka na single girls sasa kaamua kutoka na mdada aliyeachana na mume mwenye watoto nayo shida.

Wivu unawasumbua kujaji ka vile nyie Mungu na wanawake hawajui ku do na wanaume hawajawai ku do.

Tatizo lake ni nyota

Tehteh nyota hiyo aliiona kutokana na mashabiki sasa washaona dogo bichwa kubwa, asome alama za nyakati, ni ushauri tu, mashabiki mandazi kama mmemind 😱😱😱 kazi kwenu
 
Bila shaka unafahamu mwanamuziki anatokana na muziki? SWALI: MUZIKI ni nini? Kutokana na maelezo yako nina mashaka ukiwa unafahamu nini maana ya muziki kwa sababu, ala ni sehemu moja ya muziki kati ya sehemu kuu mbili za muziki ambazo ni vocal na instrumental... muziki ni ama vocal au ala au mchanganyiko wa vyote kwa pamoja! ukisema kigezo kimoja wapo cha kuitwa mwanamuziki ni kujua kupiga ala ni kwamba unataka kubadili tafsiri ya nini maana ya muziki na kuondoa kile kipengele cha "ama vocal" na kubakiza vocal na instrumental... na kwa maana hiyo, wapiga ala wote ambao wengi wao sio waimbaji unataka kusema nao sio wanamuziki unless kama tubadilishe tena definition ya muziki kutoka kuwa vocal na instrumental na kubaki kuwa instrumental peke yake!!!

fatilia maelezo yangu kwa makin
 
kigezo kikubwa kimojawapo cha mtu kuitwa mwanamuziki ni kujua kupiga ala za muziki primarily piano na gitaa.
ukiachana na hilo, mwanamuziki inabid aweze kusoma nota za muziki kwenye karatasi na kuuimba hata kama aliyeandika nota hizo ni mtu wa taifa lingine anayetumia lugha tofauti na yake.
si lazima awe na uwezo wa kutunga wala kuwa na sauti nyororo.
tukija kwa domond, yeye ni just a msanii tu na wala sio mwanamuziki kutokana na kutokuwa na qualification za pale juu.
kwa bongo wanamuziki wapo wachache sana mfano mzuri ni BANANA & BARNABA, at least hao ndio waliokuja kichwan fasta.

Maelezo yako nayatamani niyakubali ila bado hujanielezea nikatosheka bado bado.
Sababu kusoma noten whatever Mbona ukijifunza utaweza WaPo wasanii kibao wanazijua ila kuimba sasa maproducer wanasoma wanapita ala zote ila uwezi wafananisha na diamond.
Rudia desa ulipo copy then come back.
Kifupi unanipa matango mwitu sijakubalia na wewe.
 
Tehteh nyota hiyo aliiona kutokana na mashabiki sasa washaona dogo bichwa kubwa, asome alama za nyakati, ni ushauri tu, mashabiki mandazi kama mmemind 😱😱😱 kazi kwenu

Mashabiko maamdazi .....lol

Mtaishia kumeza ndimu bila kukata.

Nani anapiga show za bei na kujaza, Chibu ana fans wa level zote nchini na usiishie kusemaashabiki.

Watu na higj class uwaambii kiti jiu ya chibu pia....watotobwa uzunguni ndio usiseme...chezea watu wanaoheshimu watu kama Chibu wanaojua kujiweka wanapotaka kwa nguvu zao na sio kushikilia mkia.

Wivu.com kwa wachukiao sababu ya wivu na chuki sababu anaendelea na yupo juu.

Mtaliaje usiku huu

Pia kumbuka nani anayeuza miziki na kuwa famous kwa nyimbo kumpa pesa kama sio fans...so ongea libgine labda kama mwamuziki anauza records angani kuuzia hewa
 
Mashabiko maamdazi .....lol

Mtaishia kumeza ndimu bila kukata.

Nani anapiga show za bei na kujaza, Chibu ana fans wa level zote nchini na usiishie kusemaashabiki.

Watu na higj class uwaambii kiti jiu ya chibu pia....watotobwa uzunguni ndio usiseme...chezea watu wanaoheshimu watu kama Chibu wanaojua kujiweka wanapotaka kwa nguvu zao na sio kushikilia mkia.

Wivu.com kwa wachukiao sababu ya wivu na chuki sababu anaendelea na yupo juu.

Mtaliaje usiku huu

Pia kumbuka nani anayeuza miziki na kuwa famous kwa nyimbo kumpa pesa kama sio fans...so ongea libgine labda kama mwamuziki anauza records angani kuuzia hewa

Duh kila anayetoa ushauri adui wa domo haya endelea kuimba twaaarab tuone kama utafanyia shoo kwenye majukwaa hahahahahahah!
 
Back
Top Bottom