Barnaba Usitake Kuniangusha!

Ulishawahi kuona mwanaume anaridhika na mwanamke mmoja? Huko alikoenda ndiyo kabisa stress zitahamia kwake, atajuta, mwanaume hakomolewi dunia ya leo.
So ulitaka akae tu na mtu hata kama anaona hamfai tena? Nikujulishe tu kuwa hata mwanamke aridhishwi na mwanaume mmoja hasa pale ambapo mwanaume amekuwa kero kwake. Ni vile tu tumefundishwa uvumilivu.
 
MLETA MADA
UNAWAJUA HAO WATU KIUNDANI?
UNAJUA KWANINI WAMEACHANA?

MADOGO BHANA
 
Wanandoa kuzeeka mkiwa pamoja n kipaji....cyo swala LA mchezomchezo#kuvumiliana[emoji183]
 
So ulitaka akae tu na mtu hata kama anaona hamfai tena? Nikujulishe tu kuwa hata mwanamke aridhishwi na mwanaume mmoja hasa pale ambapo mwanaume amekuwa kero kwake. Ni vile tu tumefundishwa uvumilivu.
Hapo alipoona ametua moyo wake ajiandae kuuumizwa kuliko alikotoka.
 
Lazima utumie procedure stahiki mkuu....demu ukiwa nae on bed af akaanza kukukwambia hapendi kuliwa upande wa pili ujue huyo ndo mliwaji....heri yule asiyeongea kitu kabisa.....................
Mkuu fafanua vizuri basi maana hizi mambo ni muhimu kufahamishana unaweza unakaa na demu kumbe enzio wapakua chemba we umejikalia kudownload tu series za zamani
 
Kuachana Kwani ajabu, kama mmeshindwana mnapigana chini, huwezi kumforce mtu kuishi nae bhana haya maisha kuwa na furaha ni jambo la msingi sana..
 
Hatari sana ndio maana tunaambiwa tuishi kwaakili nawakezetu kwasababu akili zao wanazijua wenyewe
 
Ulishawahi kuona mwanaume anaridhika na mwanamke mmoja? Huko alikoenda ndiyo kabisa stress zitahamia kwake, atajuta, mwanaume hakomolewi dunia ya leo.
wahenga walisema..HERI LAWAMA KULIKO FEDHEHA!
heri zubeda alaumiwe kumkimbia barnaba alietoka nae mbali na kuzaa nae kuliko kufedheheshwa kila siku huyo bwana anakutwa hadi na mapaparaz wa shigongo kapakata makurumbembe.
MWANAUME SIO KILA KITU KATIKA MAOSHA YA MWANAMKE..
KUISHI BILA MWANAUME INAWEZEKANA!!
 
Hapo alipoona ametua moyo wake ajiandae kuuumizwa kuliko alikotoka.
Ni sawa. Kuumizwa kupo kote kote hata uende wapi. Lkn hatujui sababu ya huyo dada kuachana na barbaba. Je kama ni barnaba ndio alikuwa tatizo? Mapenzi ya watu wawili ambayo hatuwajui kwa undani si vizuri kuhukumu upande mmoja.
 
Unahisi hapo alipo sasa ni sehemu husika kwa furaha ya maisha yake?
 
Ni sawa. Kuumizwa kupo kote kote hata uende wapi. Lkn hatujui sababu ya huyo dada kuachana na barbaba. Je kama ni barnaba ndio alikuwa tatizo? Mapenzi ya watu wawili ambayo hatuwajui kwa undani si vizuri kuhukumu upande mmoja.
Huyo amefuata u hand same wa huyo jamaa, lakini akumbuke kuna wasichana wazuri zaidi yake wanamtaka huyo jamaa, ameingia kwenye ushindani mkubwa kuliko alikotoka, hawamalizi mwaka, note my word.
 
Huyo amefuata u hand same wa huyo jamaa, lakini akumbuke kuna wasichana wazuri zaidi yake wanamtaka huyo jamaa, ameingia kwenye ushindani mkubwa kuliko alikotoka, hawamalizi mwaka, note my word.
Atajua mwenyewe na handsome wake. Lkn kama na barnaba ilishindikana ni sawa tu kujimuvisha sehemu nyingine kuliko kuishi na moyo unaosononeka maisha yako yote. Furaha ya moyo wako jipe mwenyewe..na akili kichwani mwako!
 
Sawa singo mama. Unajipa moyo sio kisa matango na ndizi sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…