Barnabas Classic, " Diamond aliniuliza unataka sifa au unataka pesa?"

Bandiko limekaa kichawachawa ..... Halijengi
 
Barnaba hana nyota,nyimbo zake zitaishia nananga na sirari na tunduma
 

Barnaba ana sauti ambayo akiifanya show ya live na msanii yoyote yule, ni lazima amtie aibu.

Nimeona wasanii wote alioimba nao jana ni kama vile alikuwa anawafundisha muziki.

Kijana ana kipaji cha hali ya juu.
 
Hapo ndipo utakapojua kuwa na kipaji ni swala jingine na kukibadilisha kipaji kikuingizie hela ni swala jingine.
 
WCB ni kiwanda aisee..

Hongera Barnaba kwa maamuzi sahihi..
 

Barnaba ana sauti ambayo akiifanya show ya live na msanii yoyote yule, ni lazima amtie aibu.

Nimeona wasanii wote alioimba nao jana ni kama vile alikuwa anawafundisha muziki.

Kijana ana kipaji cha hali ya juu.
Amechelewa sana...alikuwa kwa wanyonyaji. Sasa atachomoka.
 
Sasa Barnabas umaskini kwaheri. Mwambieni Alli kiba amtafute Mondi ampe akili ya kuwa bilionea sio kila siku kutembea na gari used from Japan
kwani wewe hautaki gari jipya kama walilopewa lokole na issa azam[emoji28][emoji28].

au tayari umeshapewa??

kama kiba ana gari used la milioni zaidi ya 100 wacha kumjadili kifala fala hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…