Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kabisa,Hawa Ndio wale wa kusifu na kuabudu.Jamaa kawaangusha wahaya kisa njaa zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa,Hawa Ndio wale wa kusifu na kuabudu.Jamaa kawaangusha wahaya kisa njaa zake
Nilishakupuuza muda mrefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe utakuwa ni mushuti
Huyu jamaa hana tofauti na Lugola na KesyKabisa,Hawa Ndio wale wa kusifu na kuabudu.
Mimi ndiyo nilisha kutupa kwenye kundi la wasiyo jitambuaNilishakupuuza muda mrefu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoma draw [emoji1752][emoji1752][emoji1752]Mimi ndiyo nilisha kutupa kwenye kundi la wasiyo jitambua
Acha tabia ya kujikomba.Salaam Wana JF,
Naanza andiko hili fupi kwa kumshukru Mungu kwa wema wake wote kuendelea kutupenda sisi Watanzania na kutujalia kheri za kila namna katika shughuli zetu za kila siku...
Nimeamini wewe ni mshutiSalaam Wana JF,
Naanza andiko hili fupi kwa kumshukru Mungu kwa wema wake wote kuendelea kutupenda sisi Watanzania na kutujalia kheri za kila namna katika shughuli zetu za kila siku....
MushutiNgoma draw [emoji1752][emoji1752][emoji1752]
Yamezoea sanaAcha tabia ya kujikomba,kima.
Sio lazima mfanane mawazo shame!!! mnajiita wanachama wa democracy wakati hamuheshimu mawazo ya watu.Acha tabia ya kujikomba,kima.
Safi sana ni vizuri Mzalendo JPM akapewa moyo namna hii, umefanya vyema sana kama unavyoona mawakala wa shetani ni wengi na hawapendi kuona nchi inasonga mbele.
Tumsupport Rais wetu.
Viva JPM
Kweli kabisa,yale majamaa ni full kuchumia tumboni,kila muda ni kusifu tu,hata km kuna shida.Lkn wameumbuka maana pamoja na kujipendekeza kote Lugola alipigwa chini,Kesi naye wananchi hawakumpa ridhaa ya kurudi bungeni.Huyu jamaa hana tofauti na Lugola na Kesy
Walifanya kufuru kwa kumfananisha binadamu na yesu kisa njaaaKweli kabisa,yale majamaa ni full kuchumia tumboni,kila muda ni kusifu tu,hata km kuna shida.Lkn wameumbuka maana pamoja na kujipendekeza kote Lugola alipigwa chini,Kesi naye wananchi hawakumpa ridhaa ya kurudi bungeni.
Hakika dhambi hiyo ya kufuru itawatafuna sana, unless watubu.Walifanya kufuru kwa kumfananisha binadamu na yesu kisa njaaa
Unakumbuka lugola alivyokuwa anakata mauno mbele ya watumishi walio chini ya wizara aliyo kuwa anaiongoza kisa kumfurahisha mteuzi wake?Hakika dhambi hiyo ya kufuru itawatafuna sana, unless watubu.
Yaani dah!!!!,Mtu mzima Kama yule kujipendekeza kwa mkubwa wako kiasi kile ni aibu Sana.Njaa Ni mbaya Sana.Unakumbuka lugola alivyokuwa anakata mauno mbele ya watumishi walio chini ya wizara aliyo kuwa anaiongoza kisa kumfurahisha mteuzi wake?