Barua kutoka London: Wazungu ni wabaguzi sijawahi kuona

Barua kutoka London: Wazungu ni wabaguzi sijawahi kuona

nilimlenga mtoa mada kwa kusupport point yako.nadhani huna time nao,same applies to me.
(nimeishi london for three years)

As student or , so what ? sio lazima ikutokee . Fikiria kila mtu akitoa ushahidi wa alipookaa itakuwaje ? hata kwetu ukerewe ni sheeda .
 
East London wapi? Mbona east London kuna black and Asian people kibao ? 😜
 
(nimeishi london for three years)

As student or , so what ? sio lazima ikutokee . Fikiria kila mtu akitoa ushahidi wa alipookaa itakuwaje ? hata kwetu ukerewe ni sheeda .
..si wa tandale kwa tumbo je ni sheedeeeeeeeeer!
 
Muombe huyo mzungu radhi ili uwe salama Wewe ndo mbaguzi, kwa nini uhisi kubaguliwa, wakati yeye kasema ukweli? umepeleka maradhi pale na hamfanani kwani uongo?

Waafrika ni wabaguzi sana kuliko hata hao wazungu,

Mzungu anafanya ubaguzi ndivo, sababu Blacks ndiyo mlivyo kwa sababu zifuatazo;

Mlizibagua mila na desturi zenu mkapenda za kwao. mkakumbatia dini za uongo
Mliuza ndugu zenu utumwani bila huruma, tena kwa unyama, mpaka yeye mwenyewe akaona aibu akakataa.
Mpaka leo mnawauza mna waua bila huruma, kiuchawi. kiuchumi, kisakologia

Ubaguzi wa kichoyo wa kutoa michango yenu ktk Dunia ya leo, mfano mwanamalundi kafa na technolojia yake.

Nyie ni wajinga mnapenda majina yao, Na sifa za kijinga , lugha yao, vyakula vyao, nguo zao, kwa nini ulimuangalia machoni wakati unaongea na huyo mtu wenu? Ulisha jidharau yeye akamalizia.
Unatukoga eti east Rondon, habari za huko nyumbani, Angalia sasa mimi niko Sydney lkn utadhani niko kariakoo au mkoani.
 
You sound hopeless, hateful and wasted! Pointing fingers, and u think ur an angel.... Some judgemental punk ass!! Wewe, mtu kaambiwa u brought ebole... Halafu wewe with dismal thinking..... Oooh wewe ndio mbaguz...
Muombe huyo mzungu radhi ili uwe salama Wewe ndo mbaguzi, kwa nini uhisi kubaguliwa, wakati yeye kasema ukweli? umepeleka maradhi pale na hamfanani kwani uongo?

Waafrika ni wabaguzi sana kuliko hata hao wazungu,

Mzungu anafanya ubaguzi ndivo, sababu Blacks ndiyo mlivyo kwa sababu zifuatazo;

Mlizibagua mila na desturi zenu mkapenda za kwao. mkakumbatia dini za uongo
Mliuza ndugu zenu utumwani bila huruma, tena kwa unyama, mpaka yeye mwenyewe akaona aibu akakataa.
Mpaka leo mnawauza mna waua bila huruma, kiuchawi. kiuchumi, kisakologia

Ubaguzi wa kichoyo wa kutoa michango yenu ktk Dunia ya leo, mfano mwanamalundi kafa na technolojia yake.

Nyie ni wajinga mnapenda majina yao, Na sifa za kijinga , lugha yao, vyakula vyao, nguo zao, kwa nini ulimuangalia machoni wakati unaongea na huyo mtu wenu? Ulisha jidharau yeye akamalizia.
Unatukoga eti east Rondon, habari za huko nyumbani, Angalia sasa mimi niko Sydney lkn utadhani niko kariakoo au mkoani.
 
Muombe huyo mzungu radhi ili uwe salama Wewe ndo mbaguzi, kwa nini uhisi kubaguliwa, wakati yeye kasema ukweli? umepeleka maradhi pale na hamfanani kwani uongo?

Waafrika ni wabaguzi sana kuliko hata hao wazungu,

Mzungu anafanya ubaguzi ndivo, sababu Blacks ndiyo mlivyo kwa sababu zifuatazo;

Mlizibagua mila na desturi zenu mkapenda za kwao. mkakumbatia dini za uongo
Mliuza ndugu zenu utumwani bila huruma, tena kwa unyama, mpaka yeye mwenyewe akaona aibu akakataa.
Mpaka leo mnawauza mna waua bila huruma, kiuchawi. kiuchumi, kisakologia

Ubaguzi wa kichoyo wa kutoa michango yenu ktk Dunia ya leo, mfano mwanamalundi kafa na technolojia yake.

Nyie ni wajinga mnapenda majina yao, Na sifa za kijinga , lugha yao, vyakula vyao, nguo zao, kwa nini ulimuangalia machoni wakati unaongea na huyo mtu wenu? Ulisha jidharau yeye akamalizia.
Unatukoga eti east Rondon, habari za huko nyumbani, Angalia sasa mimi niko Sydney lkn utadhani niko kariakoo au mkoani.
You nailed it
 
Mimi sijawahi kuhisi kama kuna MAPENZI kati ya mzungu na mwafrika mweusi, naonaga ni FURSA tu, mwafrika anataka mali au kuishi ughaibuni, mzungu anataka mtu wa kumfanyia shughuli zake baada ya kuchoshwa na kero za mapenzi ya weupe wenzake...ni jinsi nionavyo mimi tu sijui kwa nini?!
 
Back
Top Bottom