Nyanje
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 763
- 680
MH rais Samia juzi amelalamika wasaidizi wake hawamsaidii huko chin huyu ni mtumishi wake pia mwananchi wakeMkuu ubena zomozi barua yangu haijaonwa mpaka Leo mwaka wa nne huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MH rais Samia juzi amelalamika wasaidizi wake hawamsaidii huko chin huyu ni mtumishi wake pia mwananchi wakeMkuu ubena zomozi barua yangu haijaonwa mpaka Leo mwaka wa nne huu
Kwa ukimya wao wa muda wote watakuwa wanajua kila kitu!Mkuu Kadendu umeandika BARUA KWA hisia kali sana, ni kweli inauma sana ukiangalia kwanza ni Askari mwenzao, sasa ingekuwa ni raia wa kawaida si ndio imeisha hiyo, kwanza Askari anapoteaje zaidi ya mwaka? RPC wa DODOMA anasemaje? OCD wa DODOMA Mjini je? Kwa nini wapo kimya ni kweli kwamba hawajui alipo? Hivi kwa mfamo apotee RCO DODOMA kutakuwa na ukimya kama Askari huyu wa chini takribani mwaka?
Uwezekano ni mkubwa nini Cha kufanya sasaKwa ukimya wao wa muda wote watakuwa wanajua kila kitu!
Kwanini mkuuSiandiki kitu.
Tuendelee kumuombea kwa MunguMkuu ubena zomozi barua yangu haijaonwa mpaka Leo mwaka wa nne huu
Atamwona wapi? Siyo rahisi kihivyoooMimi nafikiri mama yake huyo askari akaonane na mama samia amueleze USO kwa USO wa mama wanauchungu na watoro.