Barua kwa mke wangu mtarajiwa

Barua kwa mke wangu mtarajiwa

Kuwa na mke wako pekee yako ulimwengu waleo ni mtihani mzito na ni siri ya mwenyezimungu kazana duaa umpate huyo umtakae
 
Ubunifu Mzuri sana huu Hongera Mkuu na Kila la Kheri......Kwa Ubunifu huu Lazima Usumbuliwe huko Pm
 
Amen!ubarikiwe mkuu!
Majibu kwa mume wangu mtarajiwa
Salaam sana,
Nafarijika kwa maneno mazuri juu yangu sina la kusema zaidi ya kushukuru sana my prince najua ipo siku tutakutana nina imani hiyo pia ni wazi kwamba nimepitia mengi sana ya kuumiza na kufurahisha pia vivyo kwa upande wako, amini tu kwamba mimi ndio pumziko lako my future husband kwangu mimi hakuna kama wewe mume wangu mtarajiwa....usijali maneno ya watu harakati za ujana zipo hakuna alie mkamilifu zaidi ya muumba pekee yake nasubiri tuonane twende pamoja mbele za Mungu kuomba toba na Rehema ili tuanze maisha yetu ya ndoa katika hali ya utakatifu na utauwa na miili yetu iwe hekalu la Roho mtakatifu.
Mwisho kabisa napenda kukupongeza kwa ujasiri ulionao na uvumilivy pamoja na saburi kwangu.....Nakupenda mume wangu mtarajiwa
 
Majibu kwa mume wangu mtarajiwa

Salaam sana,

Nafarijika kwa maneno mazuri juu yangu sina la kusema zaidi ya kushukuru sana my prince najua ipo siku tutakutana nina imani hiyo pia ni wazi kwamba nimepitia mengi sana ya kuumiza na kufurahisha pia vivyo kwa upande wako, amini tu kwamba mimi ndio pumziko lako my future husband kwangu mimi hakuna kama wewe mume wangu mtarajiwa....usijali maneno ya watu harakati za ujana zipo hakuna alie mkamilifu zaidi ya muumba pekee yake nasubiri tuonane twende pamoja mbele za Mungu kuomba toba na Rehema ili tuanze maisha yetu ya ndoa katika hali ya utakatifu na utauwa na miili yetu iwe hekalu la Roho mtakatifu.

Mwisho kabisa napenda kukupongeza kwa ujasiri ulionao na uvumilivy pamoja na saburi kwangu.....Nakupenda mume wangu mtarajiwa


Waoh!!
 
Majibu kwa mume wangu mtarajiwa
Salaam sana,
Nafarijika kwa maneno mazuri juu yangu sina la kusema zaidi ya kushukuru sana my prince najua ipo siku tutakutana nina imani hiyo pia ni wazi kwamba nimepitia mengi sana ya kuumiza na kufurahisha pia vivyo kwa upande wako, amini tu kwamba mimi ndio pumziko lako my future husband kwangu mimi hakuna kama wewe mume wangu mtarajiwa....usijali maneno ya watu harakati za ujana zipo hakuna alie mkamilifu zaidi ya muumba pekee yake nasubiri tuonane twende pamoja mbele za Mungu kuomba toba na Rehema ili tuanze maisha yetu ya ndoa katika hali ya utakatifu na utauwa na miili yetu iwe hekalu la Roho mtakatifu.
Mwisho kabisa napenda kukupongeza kwa ujasiri ulionao na uvumilivy pamoja na saburi kwangu.....Nakupenda mume wangu mtarajiwa

Thread Closed.
 
Wakati wewe unaandika maneno matamu ya kuchombeza, kuna mwanaume mwenzio huko anakatikiwa mauno.

Endelea kujipa moyo, si vibaya kulea mtoto wa mwanaume mwenzio.

nimemis barua ya ivi embu niandikieee afu usasahau yaleee naneno ya ujana.eg ntakupenda mpaka ziwa victoria likauke! Sawa?????
 
Hii barua ilijaa na maneno mataamu .
Lakini siku hizi Maneno matamu toka midomoni mwetu yana kua kinyume na mwendo za moyo zetu .
Kupata mpenziye sio hoja ,ugumu kudumisha na kulea uhusiano wa penzi.
 
Hii barua ilijaa na maneno mataamu .
Lakini siku hizi Maneno matamu toka midomoni mwetu yana kua kinyume na mwendo za moyo zetu .
Kupata mpenziye sio hoja ,ugumu kudumisha na kulea uhusiano wa penzi.

Kila kitu kinawezekana ukimwamini mungu,muombe mungu alinde mapenzi yenu kila siku!
 
Back
Top Bottom