DOKEZO Barua kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

DOKEZO Barua kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Yaani wewe kama ni mwalimi na mleta mada ni mwalimu basi aliyewaajiri akili hana

Iandishi wenu tu unaonyesha wajinga ninyi

Hamuelezi mnanyanyasika kivipi

Ohh taisi achukue hatua kwa kipi?

Hopeless kabisa
Iandishi,taisi Sasa wewe si ndiyo nyani kabisa unacheka kundule
 
Baada ya kuusoma mkeka huu kwamba tuhuma zake Sasa zimepelekwa kwa mh Rais ameanzisha ghafra utaratibu wa kukusanya kero za walimu kwenye Tarafa wakati kero namba moja ni yeye na alivyo muhuni anaandaa na vyakula kwa ufupi mkurugenzi Dr Mashimba kuwa Makini Sana na huyo mtu utajishushia heshima yako tunafahamu anakutumia Sana kwenye ujinga wake,Mkurugenzi aliyepita Mr Masasi alimshtukia huyo na alikuwa nae Makini Sana, Sasa wewe muendekeze usije ukasema hatukukwambia
 
Yaani wewe kama ni mwalimi na mleta mada ni mwalimu basi aliyewaajiri akili hana

Iandishi wenu tu unaonyesha wajinga ninyi

Hamuelezi mnanyanyasika kivipi

Ohh taisi achukue hatua kwa kipi?

Hopeless kabisa
Dah hivi umesoma ulichokiandika mkuu au swaumu mwalimi ulimaanisha nini?,Iandishi ndiyo kitu gani,taisi duh!
 
Yaani wewe kama ni mwalimi na mleta mada ni mwalimu basi aliyewaajiri akili hana

Iandishi wenu tu unaonyesha wajinga ninyi

Hamuelezi mnanyanyasika kivipi

Ohh taisi achukue hatua kwa kipi?

Hopeless kabisa
Naamini mlengwa ambaye ni mh Rais ujumbe umemfikia hupwaswi kujua kama Mimi ni mwalimi au Iandishi,taisi.
 
NIKISEMA WALIMU WAJINGA NI WAJINGA KWELI (Baadhi)


YANI WILAYA NZIMA MNASHINDWA HATA KUGOMA WALIMU WA SHULE KADHAA ILI HUYU MANZI AFUKUZWE MWANAUME MZIMA UNAKUJA KULIALIA HAPA JF!
 
Yaani wewe kama ni mwalimi na mleta mada ni mwalimu basi aliyewaajiri akili hana

Iandishi wenu tu unaonyesha wajinga ninyi

Hamuelezi mnanyanyasika kivipi

Ohh taisi achukue hatua kwa kipi?

Hopeless kabisa
Sasa na wewe ulitumwa kuja kutetea ukiwa na swaumu,umeandika nini.
 
Baada ya kuusoma mkeka huu kwamba tuhuma zake Sasa zimepelekwa kwa mh Rais ameanzisha ghafra utaratibu wa kukusanya kero za walimu kwenye Tarafa wakati kero ni yeye na alivyo muhuni anaandaa na vyakula kwa ufupi mkurugenzi Dr Mashimba kuwa Muangalifu Sana na huyo mtu utajishushia heshima yako tunafahamu anakutumia Sana kwenye ujinga wake,Mkurugenzi aliyepita Mr Masasi alimshtukia huyo na alikuwa nae Makini Sana, Sasa wewe muendekeze usijeukasema hatukukwambia
Kwahiyo anawapooza na msosi!
 
Huyo afisa atakuwa ametokea kaya duni(TASAF)pia na malezi ya hovyo ya wazazi wake mala nyingi watu wanaokulia kwenye maisha duni wanakuwa na visasi Sana yaani wanakuwa na roho za kimasikini(ikumbukwe sifa ya masikini ni roho mbaya) kwahiyo anapopata vinafasi kidogo anasema Sasa watanikoma waliochini yangu, jinga Sana.
 
Baada ya kuusoma mkeka huu kwamba tuhuma zake Sasa zimepelekwa kwa mh Rais ameanzisha ghafra utaratibu wa kukusanya kero za walimu kwenye Tarafa wakati kero namba moja ni yeye na alivyo muhuni anaandaa na vyakula kwa ufupi mkurugenzi Dr Mashimba kuwa Makini Sana na huyo mtu utajishushia heshima yako tunafahamu anakutumia Sana kwenye ujinga wake,Mkurugenzi aliyepita Mr Masasi alimshtukia huyo na alikuwa nae Makini Sana, Sasa wewe muendekeze usije ukasema hatukukwambia
Nashukuru kwa kumkumbusha Mkurugenzi Dr Mashimba ni wazi anaonyesha kumuendekeza kishegwe kwenye ujinga wake lakini tunamsisitiza Ili kulinda heshima yake akae nae mbali vinginevyo tutaweka wazi hapa labda kwasababu alimtengenezea connection njia ya kuelekea Iringa kule.
 
Rais Samia Suluhu Hassan nianze kwa kukupongeza pia kukupa pole na majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa.

Tunamshukuri Mungu kwa kutupa Rais ambaye amefanikiwa kuliunganisha Taifa ndani ya kipindi kifupi Mungu akubariki mama yetu. Neno haki halijawahi kuachwa kwenye kinywa chako, ukiamini haki huinua Taifa.

Rais Samia ni ombi letu Sasa kwako sisi walimu wa wilaya ya Chamwino ilipo ofisi yako(ikulu)tuna kiongozi wetu ambaye ni afisa elimu wilaya(msingi) Zainabu Kishegwe anatunyanyasa Sana.

Ni katili ni dikteta hana msaada kabisa sio kwa walimu wa kawaida hata viongozi, ana kundi lake la watu wachache sana anaofanya kazi nao na hasa wale ambao wanahusiana na mambo ya fedha.

Nimeona nikueleze wewe mwajili wetu moja kwa moja kwasababu amejitengenezea connection pale Tamisemi hagusiki lakini sisi walimu huku chini tunateseka na udikteta wake tangu amefika wilaya hii akitokea Kongwa.

Walimu hatuna amani Rais tunaomba ufanye uchunguzi ikiwezekana kuhoji mwalimu mmoja mmoja waratibu utapata ukweli wote sisi tunaami wewe rais wetu siku zote unasimamia haki tunaamini utatusaidia kwa hili.

Rais Samia tunafanya kazi kwenye mazingira magumu Sana huku vijijini lakini tumeridhika na tunachapa kazi kulinda heshima yako kwani kazi yetu ni ya wito tunaamini utalishughurikia swala hili mh Rais tukutakie mapumziko mema ya pasaka.

Asalaam aleikum

Inasikitisha Sana hivi nakuwaje mtu anakuwa na nafasi ya ukuu wa idara tu,kisha anakuwa anawakandamiza walio chini yake badala ya kuwasaidia ana akili kweli?Sasa huyo angepata nafasi ya juu zaidi si angeua mtu kabisa hivi hawa viongozi wanawake kwanini wasiige mfano wa uongozi wa Mama Samia ni Mwanamama lakini ametosha kabisa kwenye nafasi ya uongozi wa juu wa nchi uongozi ni hekima na busara.
 
Inasikitisha Sana hivi nakuwaje mtu anakuwaje mtu anakuwa na nafasi ya ukuu wa idara kisha anakuwa anawakandamiza walio chini yake badala ya kuwasaidia ana akili kweli?Sasa huyo angepata nafasi ya juu zaidi si angeua mtu kabisa hivi hawa viongozi wanawake kwanini wasiige mfano wa uongozi wa Mama Samia ni Mwanamama lakini ametosha kabisa kwenye nafasi ya uongozi wa juu wa nchi uongozi ni hekima na busara.
Huyu manzi si kiburi tu kisa mke wa meya na kwamba hawezi guswa na yeyote ikizingatia kesha wapakata baadhi tamisemi pale na ndiyo ukweli kwamba hata 2021 aliondolewa kupelekea chemba na akaaga walimu walifurahi Sana akafanya mchongo akabaki ndiyo akatoa makucha yake mala 100 kwa ufupi huyu mtu wapelekeeni wilaya nyingine wakanyanyaswe na sisi Chamwino tupumue.
 
NIKISEMA WALIMU WAJINGA NI WAJINGA KWELI (Baadhi)


YANI WILAYA NZIMA MNASHINDWA HATA KUGOMA WALIMU WA SHULE KADHAA ILI HUYU MANZI AFUKUZWE MWANAUME MZIMA UNAKUJA KULIALIA HAPA JF!
Kwa mfumo wa bongo hiyo ni ngumu Ila kupitia haya majukwaa ujumbe unatapakaa wataamua wao Sasa waendelee kumkumbatia huyo mtu mmoja au walio wengi pia kesha lalamikiwa Sana huyu mtu jf humu aliyepata wazo kulifikisha kwa mh Rais Samia amefanya jambo jema maana mama Samia ndiye muamuzi Mwisho.haiwezekani mtu huyu miaka nenda analalamikiwa na walimu na Bado wakamuacha afanye atakacho kama yupo juu ya sheria kisa kawaseti huko tamisemi sijui DEA na ana historia chafu yupo radhi hata kuonga...g...........nono!
 
Back
Top Bottom