Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wasalaam,
ama baada ya salamu mi ni mzima kabisa.
Nasikitika kuwajulisha kuwa tangu sasa mkija ghetto na kuacha nguo zenu kama vile chupi, kanga, sidilia na nyinginezo mtazikuta majivu.
Pia mambo ya kujisahaulisha picha zenu na kuchomeka kwenye wallet yangu passport size nikiwa bwiii mkome.
Naamini sasa tumeelewana.
Wasalimie sana maboifrendi wenzangu, maana nyie mna ndoo, kidumu hadi jagi na mabilauri pia.
ama baada ya salamu mi ni mzima kabisa.
Nasikitika kuwajulisha kuwa tangu sasa mkija ghetto na kuacha nguo zenu kama vile chupi, kanga, sidilia na nyinginezo mtazikuta majivu.
Pia mambo ya kujisahaulisha picha zenu na kuchomeka kwenye wallet yangu passport size nikiwa bwiii mkome.
Naamini sasa tumeelewana.
Wasalimie sana maboifrendi wenzangu, maana nyie mna ndoo, kidumu hadi jagi na mabilauri pia.