Wema hana nafasi nzuri katika jamii hasa ya kukaa na kutegemea kuishi kwa kuchuma pesa za waume za watu na kuwaongelea kwenye TV akitukana wenzake wanaowala waume hao wa watu. Mungu aniepushie wanangu hata wasimjue sio mfano kabisa...na pia anategemea watu na kufanya anayofanya hata kujinunulia pipi anaambiwa. Huyo big no sio mfano mzuri
Na hata kudanganya na kuhonga waandishi wa habari watukane Diamond na his wife hiyo nayo ki ujinga.
Alicha bwana basi atulie sio copy copy wakati yeye hana alichofanya miaka yote hii vja kujivunia. Kampuni ji ya chumbani.
Tabia yake mbovu abadilike au atazidi kuwa katuni kwa watu. Amejishusha nami namshusha.
Wew ulitorokaga mirembe na kila siku nakuambia.....
Sasa apo ndo umeandika nini... kuandika kwenyewe hujui "eti wema hana nafasi nzuri katika jamii hasa kwa kukaa kutegemea kuchuna pesa za wanaume" sasa ndo nini hichi umeandika.....
Binti badilika acha roho ya kutu roho ya korosho wivu tuu umekujaa na sio kingine.....
Na kama wema asingekuw na nafasi katika jamii kila siku habari zake zisingekuwa humu upo?
Ukitaka kuamini kajiuze ww kw wanaume wa watu uone kama utaandikwa humu.....Fungua akili acha kuwaza ujinga