kichunafk
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 992
- 479
Kumpenda wema inabidi uwe kichaa au uwe tabia ka zake.
Ndo watu wanampenda sasa. Hahahahahhaha. Eti wabidi uwe kichaa lolest.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpenda wema inabidi uwe kichaa au uwe tabia ka zake.
Angekua wa kubadilika angesgabadilika .
Labda akifika uzeeni.
Hilo ndio tatizi linafanya wa TZ tusisonge mbele! Kwa nini unaanza kujikatisha tamaa,kufikiria vitu ambavyo havipo!.Tuacheni utani ingetokea wema aanzishe party kama hiyo ya zari angesemwa maneno yote machafu ila zari kwa kuwa ni wa nje ndio maana kapata support aliyoipata tatizo sie wabongo hatupendi na hakuna mtu anafurahia maisha ya mwenzie
Umeongea ukweli kabisa. Na hii hulka ipo mpaka makazini. Chuki zimezidi..
Kwahyooo unahisi hawezi kubadilika au unapayuka
Wema anapendwa na WATANZANIA wa wapi?
Unafki tu.
Zari atasaidia wadada wengi wa Bongo
Kufikiri tofauti katika maisha yao.
Kumpenda wema inabidi uwe kichaa au uwe tabia ka zake.
haya; hakuna taabuKutufundisha nini?kuwa na mtu for benefit? Au kumzalia kila mtu mwenye uhitaji? Au nini sasa? Au kutembea na watoto aliowazidi umri?
Tofauti na hivyo sioni vingine vya kusaidia watu....hahahaaa utanisamehe mkuu ila ukweli ndo huo
Zari hana tofauti na wema kabisa tofauti ni kwamba yy ana watoto madam hana watoto