The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Unahitaji nini katika maisha yako? umefahamu ni nini unapaswa kufahamu ili upate unacho kihitaji? umefahamu jinsi ya kufanya katika unacho kifahamu?. Ni muhimu sana ujue nini uhitaji, kufahamu unacho kihitaji kwa mapana yake na kufanya kwa vitendo kwasababu maisha yana upepo kila pande,upepo ambao una uwezo mkubwa wa kuua ndoto zako
Kesho isiyo na maana ni njia iliyo ua, ndoto za watu wengi kwakua ilijitengeneza yenyewe katika turubai la kesho na huwafanya binadamu kuwa wa jenzi wa kesho ya uongo.
Maisha yanategemea mazoezi yako ya vitendo na Ubunifu wako katika sehemu uliyo chagua kuitumikia , ukiwa huna mazoezi ya vitendo na Ubunifu ni umejiandaa kufa katika maisha,hofu,woga na wasiwasi imechukua uhai wa kuishi wa wengi huku wakiwa hai
Bila ubora wa utendaji katika maisha unayaandalia maisha katika kuishi kufa,na ubora wa utendaji unapatikana katika mazoezi kila wakati kwani kiasili maisha hujikosoa kwa kubadilika kila wakati,kama huta hitaji kubadilika kuna namna mabadiliko yata kubadilisha
Tunahitaji kufanya mazoezi sana katika kile tunacho hitaji ili kufikia ubora wa tunacho hitaji, mazoezi huhitaji nidhamu, bila nidhamu hatuwezi fika katika maono ya tunacho hitaji , unahitaji mazoezi ya kuufanya ubongo wako kuwa hai ili usipotee katika maisha
Usiyaweke matamanio binafsi katika kukutafutia njia fupi,utapotea kwaye na kujikuta katika dhoruba ambazo hazitokuacha uwe hai.
Usifanye kwa kusubiri muda sahihi ,usifanye pasi kuwa na sehemu ya kujifunza unahitaji kuhakikisha kuwa utakuwa hai katika kuishi hustahili kupotea katika maisha```
KARIBU KATIKA "THE STOIC COMMUNITY "
KATIKA GROUP HILI TUNACHAMBUA VITABU VYA FALSAFA NA UKUAJI BINAFSI
TUNASOMA MAKALA MBALI MBALI ZA WANAFALSAFA
TUNA SOMA BARUA 365 KWA ULIMWENGU
HIVI SASA TUNAFANYA UCHAMBUZI WA KITABU CHA " DISCIPLINE IS THE DESTINY " TUPO SEHEMU YA PILI SURA YA 31
NA KUONESHA KUPITIA NIDHAMU TATU ZA USTOA
1. NIDHAMU YA TAMAA
2. NIDHAMU YA VITENDO
3. NIDHAMU YA UIDHINISHAJI
UKIHITAJI KUWEPO NDANI YA JAMII HIYO NICHEK WHATSAPP 0658 572532
N.B KUWEPO NDANI YA GROUP HILI KUNA GHARAMA KILA MWEZI UTALIPIA TSH 1000/=
Kesho isiyo na maana ni njia iliyo ua, ndoto za watu wengi kwakua ilijitengeneza yenyewe katika turubai la kesho na huwafanya binadamu kuwa wa jenzi wa kesho ya uongo.
Maisha yanategemea mazoezi yako ya vitendo na Ubunifu wako katika sehemu uliyo chagua kuitumikia , ukiwa huna mazoezi ya vitendo na Ubunifu ni umejiandaa kufa katika maisha,hofu,woga na wasiwasi imechukua uhai wa kuishi wa wengi huku wakiwa hai
Bila ubora wa utendaji katika maisha unayaandalia maisha katika kuishi kufa,na ubora wa utendaji unapatikana katika mazoezi kila wakati kwani kiasili maisha hujikosoa kwa kubadilika kila wakati,kama huta hitaji kubadilika kuna namna mabadiliko yata kubadilisha
Tunahitaji kufanya mazoezi sana katika kile tunacho hitaji ili kufikia ubora wa tunacho hitaji, mazoezi huhitaji nidhamu, bila nidhamu hatuwezi fika katika maono ya tunacho hitaji , unahitaji mazoezi ya kuufanya ubongo wako kuwa hai ili usipotee katika maisha
Usiyaweke matamanio binafsi katika kukutafutia njia fupi,utapotea kwaye na kujikuta katika dhoruba ambazo hazitokuacha uwe hai.
Usifanye kwa kusubiri muda sahihi ,usifanye pasi kuwa na sehemu ya kujifunza unahitaji kuhakikisha kuwa utakuwa hai katika kuishi hustahili kupotea katika maisha```
KARIBU KATIKA "THE STOIC COMMUNITY "
KATIKA GROUP HILI TUNACHAMBUA VITABU VYA FALSAFA NA UKUAJI BINAFSI
TUNASOMA MAKALA MBALI MBALI ZA WANAFALSAFA
TUNA SOMA BARUA 365 KWA ULIMWENGU
HIVI SASA TUNAFANYA UCHAMBUZI WA KITABU CHA " DISCIPLINE IS THE DESTINY " TUPO SEHEMU YA PILI SURA YA 31
NA KUONESHA KUPITIA NIDHAMU TATU ZA USTOA
1. NIDHAMU YA TAMAA
2. NIDHAMU YA VITENDO
3. NIDHAMU YA UIDHINISHAJI
UKIHITAJI KUWEPO NDANI YA JAMII HIYO NICHEK WHATSAPP 0658 572532
N.B KUWEPO NDANI YA GROUP HILI KUNA GHARAMA KILA MWEZI UTALIPIA TSH 1000/=