Ndg. wanaJF,
Katika habari kuu ya mchakato husika hapa, yaonesha MANJI anamtandao mkubwa tuu unaomsupport baada ya magazeti ya THISDAY kumkomalia na hela za walalahoi anazotafuna.
Kama mtakumbuka Makamba alimpigia sana debe la Ubunge Manji katika kampeni za ndanikwandani CCM alipokuwa RC, sasa Makamba ni KM ccm, hivyo ana nafasi kubwa ya kumteua tena Manji 2010.
Baada ya ThisDay na Kulikoni kuanza kuzimua uozo NSSF na PPF, Manji akaona hapa maji yapo shingoni, ndo akaanza kuwatafuta wabunge wa kumlinda....akampata mdanganyika Malima....! Story ikaendeleeeaaa... nk
JAMANI nani ataweza niambia kabla ya Ugomvi wa Mzawa MENGI na Ghabachori Manji, kuna pahala gani Manji alishawahi support Michezo?
...Nadhani Jibu ni....Hapana...Sasa kafumbuka macho, kajua akijikita kwenye michezo atapata support kubwa saaanaaaa! Huyooo kujikita YANGA, na simnamsikia anavyopaa hewani? mara kajichanganya na TMK wanaume....HIZO NDO PROPAGANDA za kujitangaza kuwa u mwema!
Hapa deal imechezwa kisawasawa, yaani ili kutusahaulisha na mamilioni yaliyofujwa kwa kununua Quality Group, ndo Manji kamtumia mtoto malima kudivert issue. Malima naye kwakutojua kuwa yatakuja kuwa hot kwake kajichokonoa, mara kaaza ooo Mengi anatumia vibaya vyombo vyake vya habari, mara oo....Sasa weye kid, kama ndivyo yakuhusuni? kwani wakati mwenzio anaumiza kichwa kuwekeza kwenye biashara..weye si ulikuwa washinda barazani kutwa wachezwa bao na kikombe cha khahawa mkononi? ulitazamia muwe sawa kwa mtindo huo? ona sasa yamekutoka macho pwaaa... u've had screw ur self!!!
Hivyo basi Malima anachokifanya sio kwa kutumwa na CCM bali kwa kutumwa na Bwana wake Manji. Pia Malima kumtumia Makamba barua kina uhusiano gani na mambo ya BUNGE? kama sio MAKAMBA+MANJI+MALIMA Wote ni wahujumu uchumi kwa kula pesa za walalahoi NSSF na PPF, wakati walengwa wastaaafu wanapiga miayo foleni kwa DAU na vilevile pesa hawapati! Wameshabeba hao MANYANG'AU!!!!!!!!!!!!!