Ni mimi ndiye niliyesema kuwa Malima, Mbunge ni mkrugenzi katika kampuni za Manji, kama walivyo wabunge wengi wa taifa letu, sasa hili lisitake kugeuzwa kwa sababu Malima an sooo la Manji, NO! Malima ni mkurugenzi wa kampuni za Manji, kama Spika wa bunge lililopita alivyokuwa kwenye kampuni za RA, Vodacom, na ninaweza nikawatja wabunge wote ambao ni wakurugenzi kwenye kampuni za wawekezaji, tena kuanzia CCM mpaka wa upinzani, sasa ikitokea soo wasianze kukwepa wajibu wao, ninarudia tena niliyesema kuwa Malima ni mkurugezni katika kampuni za Manji ni mimi, FULL STOP,
Na ndio hasa kilichokuwa kiini cha Azimio la Znzibar, lililovunja Azimio La Arusha, ilikuwa kuwapa mwanya viongozi waswe masikini kwa kuwa na kazi zaidi ya ubunge! Spika Msekwa aliwezaje kuwa mkurugenzi kwenye kampuni ya mbunge mwenziwe? Mbona hakulia mtu, why now sasa kusikia Malima ni mkurugenzi wa kampuni za Manji, mimi sina tatizo na Malima nothing, lakini siku zote ninasimamia ukweli pamoja na kwamba Malima ni mbunge wa chama changu, mimi sioni dhambi ya yeye kuwa mkurugenzi wa Manji, maana kisheria anaruhusiwa,
sasa anayelalamika kuhusu hilo ninaomba kuelewa analalamika kwa misingi gani, au kwa hoja gani?
kwa wale mnaomtetea Malima ninasema kwamba, Malima alipaswa kuelewa kuwa sasa yuko kwenye siasa za taifa, sasa zinapohussha matajiri ambao wote ni wachangiaji wa chama kimoja cha siasa, kwa mtu kama yeye kuingizwa kati kati, ilikuwa very politically naive of him na hii ni the price he is paying for, na hapa nitawap mfano mmoja mzito,
Wakati wa uchaguzi wa mwisho wa CCM wa wajumbe wa halmashauri kuu, Dr. Huseein Mwinyi alitaka kugombea ujumbe huo kwa mkoa wa Pwani, alichukua foum akajaza, kabla ya kuirudisha alitumiwa ujumbe na mtandao kuwa hawataki competition huko na mgombea wao, meaning kwamba hawataki kushare attention huko na mtu mwenye jina kama yeye la mtoto wa rais wa zamani kwa hiyo akaambiwa kwa hiari yake airudishe ile fomu, Hussein akaenda kwa vigogo wawili wa CCM na kuwauliza kabla hata hajamwambia baba yake, wakamwambia kijana kubali yaishe irudishe hiyo fomu, akairudisha ndio akamwambia baba yake ambaye kwa kuelewa upepo wa siasa unavyogeuka hakubisha kitu, ndio maana leo Hussein ni waziri, sasa Malima needs to learn this lesson, uliza kwanza ndugu yangu, kwa sababu look at this at mwisho wa hii kesi hao waliomtuma watamuacha kwenye mataaaaa, ni very simple siasa nashangaa kuwa hakuweza kufikiri angalau kidogo tu!