Barua ya CHADEMA kama Bunge lilipokea kwanini Naibu Spika anakataa?

ndugai anamfichia 'white' tulia kuhofia nafasi yake
 
Halafu waipeleke kwa maandamano? Watu wakikubaliana kuwa wajinga huwezi kuwazuia. Huwezi kishindana na umoja wa wajinga.
 
Kwahiyo J J Mnyika aliacha barua kwenye banda la walinzi!

Official letters zina utaratibu wa kutumwa na kupokelewa mkuu,lazima zifike masjala zigongwe muhuri kuwa ziko received then zifuate channel hadi kufika sehemu husika,hilo si unalijua??SASA iweje ujidhalilishe KWA kuuliza maswali yanayaoonesha hujui hali ya kuwa unajua?? Ha ha ha
 
Kufukuzwa / Kuteuliwa kwa Wabunge wa Kuteuliwa na vyama uko chini ya Tume ya Uchaguzi, Bunge kwa maana hiyo spika hutekeleza maagizo ya Tume ya Uchaguzi.
Kwa Chadema kuwa fahamisha Bunge ni vizuri lakini barua ya utenguzi wa Ubunge wa kuteuliwa kama ilivyo Halima na wenzake lazima Spika apate maelekezo ya kutengua kutokaTume. Tatizo hapa ni Tume ya Uchaguzi kuwasilisha taarifa ya utenguzi na sio Spika.

Barua ya Nyika hapa haina umuhimu kama imeelekezwa kwa Spika kwa Utekelezaji. Barua ya Tume ndio ya lazima.

Anae appoint ndio huwa ana disappoint.
 
Kwa sababu ana kinga ya kutoadhibiwa. Nukta.
 
Mambo ya kienyeji hayo ndio madhara yake.

Tatizo la covid 19 lilishakuwa la kisheria ilimpasa J J Mnyika kuwa makini badala ya kurudia kosa lile lile alilolifanya Tume ya uchaguzi.

Jiulize kwanini barua za Mnyika tu ndio zinazua sintofahamu?
There is a mechanical fault in your CPU.
 
Spika shida ni upungufu wa kinga mwilini unamsumbua,mungu ni fundi siku zake sio nyingi atapepea mawinguni kwa covid
 
Atakuwa anataka dispatch book hapa JF...ngoja waje
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…