Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni aibu wa wasafi classic kuwa na matozi kama wale halafu vichwa naziHa ha ha haa kwa akili hii ndo matumbo amlinganishe huyo kapuku na waliokwenda shule??
hivi kwenye hiyo kampuni hakuna wasomi wakuiendesha mpaka wanafanya vituko vya namna hii???
Duuh nimecheka sana kama kitu very simple kama business letter inawashinda wataweza mengine?
Hivi JKT ndio JWTZ??
Ndio maaana domo ana mambo ya shombo sana coz akili na exposure yake ni very low!!!!!!
cc Matola
Hiyo barua imeandikwa na vichwa vitatu babu Tale,mkubwa Fella na Almasi mwenyewe.Anwani imeandikwa na Babu Tale,mwanzo wa barua Mkuu Fella, dhumuni na mwisho wa barua imeandikwa na Almasi mwenyewe.
Diamond hana meneja ana wapambe
SasA wakimpeleka mahakaman si barua itakua ushahidi au?
EMT kwa msaada wa kisheria
Naomba unisome upya!
Nina cho maanisha kuwa haiwezekani management yote hile kuruhusu barua ya namna hii kupelekwa sehemu yeyote serious!
Barua hii haimgusi Diamond pekee bali ina gusa uongozi wake wote hata watu wake wa karibu!
Ndio maana nasema hii barua haijaandikwa kutoka kwa Diamond bali ni michezo tuu!
Aisee nimecheka sana....kama ni ukweli hii ni kali kama ya sitti...
ni aibu wa wasafi classic kuwa na matozi kama wale halafu vichwa nazi
Zile akili hazina la ziada zaidi ya kula...pombe na ngono
Bina hiyo barua hajaandika yeye hujui mambo ya mtandaoni weyeee
kuna maofisa waliotangulia ni kama walikiri jamaa ana ruhusa,according na baadhi ya threads humu,tuchukulie iwe ni kweli hao maofisa wa mwanzoni wamesema ana ruhusa,halafu yeye kakiri,hapo sheria itamhusu diamond pekee?Kitu cha kwanza ni ku-establish kosa alilotenda. Diamond kavunja sheria ipi kwa kuvaa yale mavazi? National Defense Act 1967 inasema kuwa
99.-(1) Every person who without lawful authority, the proof of which lies on him (a) wears a uniform of the Defence Forces or any other uniform that is so, similar to the uniform of any of the Defence Forces that it is likely to be mistaken therefor is guilty of an offence and is liable on conviction to a fine not exceeding five hundred shillings or to imprisonment for a term not exceeding three months or to both such fine and imprisonment.
Kama alivaa hayo mavazi bila kuhusiwa kisheria basi atakuwa amevunja hiyo sheria. Hata hivyo, hakuna sheria isiyokuwa na exception kwa sababu:
(2) Nothing in this section shall prohibit (b) the wearing of such uniforms or things as are mentioned in paragraphs (a) of subsection (1) of this section for purposes of a theatrical performance.
Kwa hiyo, suala hapa ni was Diamond performing an activity which could be regarded as "theatrical performance"? If the answer is yes, then he will fall within the exception and, hence, not liable. If not, he will not fall within the exception and, thus, liable.
But the crucial issue is what is a theatrical performance? Sheria husika haijatoa maana ya "theatrical performance".
Yaani ina maana huyo Diamond ni garasa kiasi kwamba hata jina lakehajui kuandika... yaani badala ya kuandika Naseeb, aandike Nseeb? Yaani badala ya kuandika mimi aandike mii...!!!!!Hahahhaa mi naona km ni kweli kaandika diamond mwenyewe mi nampongeza kwa kukubali kuwa kafanya kosa, na dawa ya kosa ni kuomba msamaha kitu ambacho amekifanya na kukionesha ktk barua yake hiyo... Muhimu ni kuwa "msg sent" haijalishi nn wala nn.....
Umehakikisha vipi kwamba hajaandika yeye? Mambo ya mtandaoni nisiyoyajua yapi?
Binafsi sijashangaa kwakuwa yaliyoandikwa na format nzima ya barua haina tofauti yoyote na matendo yao ktk maisha binafsi....
Hiyo barua hajaandika domo
Suala kwamba aliruhusiwa lilisemwa na Clouds kupitia Adam Mchomvu kwahiyo hata hao walioleta hapa JF walimnukuu Mchomvu... na si kwamba alizungumza katika yale masihara yak, no... alikuwa serious unless kama na yeye alikuwa misinformed.kuna maofisa waliotangulia ni kama walikiri jamaa ana ruhusa,according na baadhi ya threads humu,tuchukulie iwe ni kweli hao maofisa wa mwanzoni wamesema ana ruhusa,halafu yeye kakiri,hapo sheria itamhusu diamond pekee?
kuna maofisa waliotangulia ni kama walikiri jamaa ana ruhusa,according na baadhi ya threads humu,tuchukulie iwe ni kweli hao maofisa wa mwanzoni wamesema ana ruhusa,halafu yeye kakiri,hapo sheria itamhusu diamond pekee?