Barua ya kisukuma kwa kaka yangu rais Magufuli!

Barua ya kisukuma kwa kaka yangu rais Magufuli!

Gashinaga nang'ho Kiranga uli-munhu? Ha ha ha haaaa!!
Onene nale munhu nyalali gete. Hakaya yise twalwanga masala ga wiza gete kongono o goko wiswe wale nlangi wo chalo chenecho. Mamihayo ga Seba. Mamihayo genago okochanganya noo mamihayo ga banamhala ba kaya gakobizaga mamihayo ga chiza gete olo nnegene akohaya kweta chiza, komana banamhala no baniisale. Kotogwa kodema no koshema. Kweta masala ko bulimi.

Olo namhala akwambijage etaga mhayo wene huu, lekaga obo, o negene nyalali wokwizaga koyomba "wabeja namhala konilanga mamihayo".

Ontemi wise ale na masala, kongono alehaya kweta chiza. Aleyo galeko mamihayo gange akieta gete ate na masala gete gete.

A mamnhu galehaya o ntemi nyalali. O ntemi ale ntemi. Ite chiza ko ontemi koyomba "onene nale ntemi wa se yeneye". A mamnhu gakohaya "o ntemi ng'weneoyo, ate ntemi, kongono ate no mamihayo nyalali akwizaga koyomba mamihayo nya chilochilo".

Obise twamanile butemi. Kongono hakaya ha batemi nyalali gete.

Olo obamanile ba Makwaia. Henaho kaya gete.
 
Igiki lyato lyatubila. Balimo banhu badatu na bajaluo babili!.

Acha kabisa.

Lakini sasa sijui kama unahabari kwamba Magufuli siyo msukuma. Kisukuma chenyewe hakijui. Rafudhi yake anayoongea siyo ya kisukuma hata kidogo. Ni ya kikabila chake.

Ninadhani kuna haja ya kuacha kuwachafua wasukuma kwa kuwarundika watu wanaopenda kuitwa wasukuma hata kama siyo na hatimaye wanaanza kufanya kabila lichukiwe wakati wasukuma tunawafahamu hawana tabia za ovyo ovyo.
Nu-bhebhe ngalu uli-munhu? Aliyo bhuli hangi!! Gashinaga i-JF yajima Basukuma duhu?
 
Sijui ni kitu gani kinawafanya watu wafikirie Magufuli ni Msukuma!. Sidhani hata kama anakifahamu kisukuma zaidi ya salam.

HUYO SIYO MSUKUMA!. ACHENI KUWATIA GUNDU WASUKUMA WA WATU WASIO NA MAKUU!.
Hawa nibwatu wa makabika madogo madogo yanayowazunguka Wasukuma.

Hawajaoata mafunzo ya utamaduni hakisi wa Wasukuma.

Mtu aliyepata mafunzo hakisi ya utamaduni ya Wasukuma hawezi kupwaya katika uongozi kama huyu.
 
Onene nale munhu nyalali gete. Hakaya yise twalwanga masala ga wiza gete kongono o goko wiswe wale nlangi wo chalo chenecho. Mamihayo ga Seba. Mamihayo genago okochanganya noo mamihayo ga banamhala ba kaya gakobizaga mamihayo ga chiza gete olo nnegene akohaya kweta chiza, komana banamhala no baniisale. Kotogwa kodema no koshema. Kweta masala ko bulimi.

Olo namhala akwambijage etaga mhayo wene huu, lekaga obo, o negene nyalali wokwizaga koyomba "wabeja namhala konilanga mamihayo".

Ontemi wise ale na masala, kongono alehaya kweta chiza. Aleyo galeko mamihayo gange akieta gete ate na masala gete gete.

A mamnhu galehaya o ntemi nyalali. O ntemi ale ntemi. Ite chiza ko ontemi koyomba "onene nale ntemi wa se yeneye". A mamnhu gakohaya "o ntemi ng'weneoyo, ate ntemi, kongono ate no mamihayo nyalali akwizaga koyomba mamihayo nya chilochilo".

Obise twamanile butemi. Kongono hakaya ha batemi nyalali gete.

Olo obamanile ba Makwaia. Henaho kaya gete.
Aaaah, gashinaga uli-nyanda wa ha-ng'wa Makwaiya? U-ntemi wa Busiya? Bahemba bingi sana ba-hang'wa Makwaiya nabamanile, nagafuja hado kutola mu-luganda lwene nkoyi hamo ni wa-bhiza nkwela'wane! Ha ha ha haaaa! Nguno lulu nali-mu-shinyanga ng'wenumu! Hene u-ntemi wiswe nadegelekage banhu bagungunanha gete na agutema shiza noi!
 
Hawa nibwatu wa makabika madogo madogo yanayowazunguka Wasukuma.

Hawajaoata mafunzo ya utamaduni hakisi wa Wasukuma.

Mtu aliyepata mafunzo hakisi ya utamaduni ya Wasukuma hawezi kupwaya katika uongozi kama huyu.

Wanaowazunguka wasukuma hawako vile. Huyu atakuwa anawazunguka wa kala ba wajita huko. Wanahulka za kufanana. Kwenye usukuma, hana hata kufanania hata kidogo.
 
Onene nale munhu nyalali gete. Hakaya yise twalwanga masala ga wiza gete kongono o goko wiswe wale nlangi wo chalo chenecho. Mamihayo ga Seba. Mamihayo genago okochanganya noo mamihayo ga banamhala ba kaya gakobizaga mamihayo ga chiza gete olo nnegene akohaya kweta chiza, komana banamhala no baniisale. Kotogwa kodema no koshema. Kweta masala ko bulimi.

Olo namhala akwambijage etaga mhayo wene huu, lekaga obo, o negene nyalali wokwizaga koyomba "wabeja namhala konilanga mamihayo".

Ontemi wise ale na masala, kongono alehaya kweta chiza. Aleyo galeko mamihayo gange akieta gete ate na masala gete gete.

A mamnhu galehaya o ntemi nyalali. O ntemi ale ntemi. Ite chiza ko ontemi koyomba "onene nale ntemi wa se yeneye". A mamnhu gakohaya "o ntemi ng'weneoyo, ate ntemi, kongono ate no mamihayo nyalali akwizaga koyomba mamihayo nya chilochilo".

Obise twamanile butemi. Kongono hakaya ha batemi nyalali gete.

Olo obamanile ba Makwaia. Henaho kaya gete.
Nahisi kizunguzungu wacha nipate panadol kwanza maana hii kitu si mchezo bangosha mwee!
 
Nakigwaga giki u-gabitaga u-ng'wenumu m-JF! Kwandya solo nakugishe nkulu'one ng'wanoshimba, Mlimhola ahakaya bagheshi?

Niza lulu ndug'wane giki. Bananzengo ba Tanzania bagalamula giki ubize ntongeji'wabho, aliyo'umubulamuji wabho wenubho bhalinawisagilwa giki ugubhiza ntongeji mbyedeku gukila'abagutongela. Ah'ugwandaja yaligiki ng'hana ugolekeja bhutongeji wiza'no, ali'haha umo nshiku jigujilagha ugujagha winga-umstali, nose-wiyolekeja ku-lwande lwa'ntongeji-ong'hani, adinalwigwanilo nulu'wi-wilile!

Aliyose'yeniyi igwenhagwa na bhebhe ng'wenekele gukija gudegeleka masala ga-banhu bhangi, bhenabho abhagunani'bhako aba-hasilili yako. Gemagha nkul'wane gudegeleka'masala ga bhagunani bhako. Idalashika nulu-lushiku lumo giki iyose witang'ang'hye bhebhe bhung'wene! nulu-amaendeleyo gene udalagenha bhung'wene nduhu, ugwinamhaja dalali duhu nkul'wane! Udegeleka, utabula'mo i-miza wisola, i-mibhi wilekha. Nu'masalakulangwa waladitang'anhije-pye. Ibegejage mbita ya banhu bagehu ba-gugunanha gugwinha'masala ga-katumamile oye-ugulamula bhung'wene nkulu'wane. Aho-udinatangaja mhayo gosegose ubhize wahoyaga na bhagunanhi bhako ng'wiyigwaga pye na ng'wizunilijagha-hamo!

Nagulombela nkulu'wane mulungu aghusungulile-lubango na utongele insi yeniyi mu-kalamile ka-kiklistu nguno u-buklistu buli witogwa, ul'ubatogwa abanhu bhose ugubiza washigilija malagilo ga-ng'wa Yesu Klistu uyo-agalagila giki ng'witogwe bing'we bhose (pendaneni ninyi kwa ninyi).

Wabheja gunidegeleka,
Nene nsense wako,
Manjagata!

Tafsiri ya barua hiyo..........(Kichwa cha habari kinajieleza - ingawa mimi nilimaanisha barua kwa ndugu yangu lakini Mods wamebadilisha na kuongeza neno "rais Magufuli")

Huwa nasikia kwamba mara moja moja huwa unapita hapa JF!

Kwanza kabisa nianze kwa kukusalimia kaka yangu mtoto wa simba (hapa huwa tunawatukuta baba zetu kwamba ni sawa na simba kwa jinsi walivyowachapa kazi), hamjambo hapo nyumbani?

Sasa ngoja nianze hivi ndugu yangu; wananchi wa Tanzania waliamua kwamba uwe kiongozi wao, lakini katika uamuzi wao huo walikuwa na matarajio makubwa kwamba utakuwa kiongozi bora sana kuzidi watangulizi wako. Wakati unaanza kweli kabisa ulionesha wewe ni kiongozi bora kabisa, lakini sasa hivi kadri siku zinavyosonga mbele na wewe unazidi kutoka kwenye mstari, mpaka inafika mahali unajionesha wewe ni kiongozi mkaidi, asiyesikiliza wala kuambiwa (haambiliki).

Lakini yote haya ni wewe mwenyewe ndiye unayeyasababisha kutokana na kutosikiliza mawazo na ushauri wa watu wengine, hasa hao wasaidizi wako wa chini yako. Kaka yangu, hebu jaribu kusikiliza mawazo ya wasaidizi wako. Haitatokea hata siku moja kwamba wewe ujue kila kitu peke yako! Hata maendeleo yenyewe huwezi kuyaleta peke yako, hiyo haitatokea hata siku moja; matokeo yake utajizeesha bure kaka yangu! Unasikiliza baadaye unachambua yaliyo mema unachukua na yaliyo ya hovyo unaachana nayo. Hata Masala Kulangwa (huyu ni mtu maarufu sana katika hadithi za Usukumani) mwenyewe hakuwa anafahamu kila kitu. Jitengenezee kikundi cha watu wachache wawe washauri wako wakupe mawazo uache kuamua peke yako kaka yangu. Kabla hujatangaza jambo lolote hakikisha umeongea na wasaidizi wako, mmesikilizana na kukubaliana wote kwa umoja wenu!

Kaka yangu nakuombea kwa Mungu akushushie baraka zake na uongoze nchi hii kama misingi ya Ukristu inavyotuagiza, maana Ukristu ni UPENDO, ukiwapenda watu kikweli kweli utakuwa unatimiza maagizo ya BWANA WETU YESU KRISTU aliyeagiza PENDANENI NINYI KWA NINYI.

Asante kwa kunisikiliza,
Ni mimi Mjoli wako,
Manjagata.
Watufundishe lugha wanayoongea na home boy wao. Pasco pia aje hapa.
Pasco anajua mengi sema kuna kitu nyuma ya pazia
Huu wajameni sio ukabila bali ni kudumisha tuu mila na utamaduni wetu wa kuipenda lugha yetu

Niko mkutano wa CCM, nikianzia umati wa watu, ukilinganisha na Chadema, sio siri CCM cha Mtoto!.
Kama watu niliowana mkutano wa Chadema ni wapiga kura kweli, basi kwa mara ya kwanza nakiri kuwa CCM itapigwa chini mjini Busanda. Vijijini, sijajua.

Hakuna Ob yoyote ya TBC, hivyo hakuna live TBC-1 labda TBC-Taifa mlioko huko sikilizeni.

Kampeni za Mwisho za CCM mdororo!.
Tambwe Hiza kachemsha eti Rais Bush kamwalika Jk!.
Waziri Masha kagoma kupanda Jukwwaani.

Mgombea wa CCM Mama Bukwimba hana uwezo wa kujieleza.
Kama wanaBusanda wanachagua mtu na sio chama, basi Mbunge ni Magesa. Lakini kwa vile wanachagua vyama, hata mgombea wa chama awe bomu vipi, chama kitambeba.

Mhe. Magufuli amepanda jukwaani anamwaga kikabila Kisukuma mwanzo mwisho kujibu mapigo ya Shelembi. Magufuli anashangiliwa sana, sasa anamwaga sumu kali dhidi ya Chadema kwa lugha ya Kisukuma.
Anamnadi vizuri mkombea wa CCM.

Leo sijaona wazomeaji.

Kwa vile campain hizi za CCM zinaboa, sitadumu hapa kwa muda mrefu, nitaelekea kampeni za CUF na kumalizia na kampeni za UDP.
Nimesikia mahali Mchungaji Gwajima amehojiwa kwa kuhamasusha ukabila. Sheria yetu ya uchaguzi inakataza kabisa watu kuhutubia kwa kilugha katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, hicho nilichoeleza hapo ni kitu ambacho nimekishuhudia kikifanyika, maofisa wa NEC wakiwepo, OCD na polisi wake wakiwepo, and nothing was done about this na kuna watu wanadhani baadhi ya watu kuhutubia kwa lugha za Kisukuma wameanza leo. Hili ni bandiko la mwezi May, 2009, miaka 11 iliyopita!. Sasa leo Gwajima anapoyasisitiza haya kosa lake ni lipi?.
P
 
Back
Top Bottom