Barua ya kisukuma kwa kaka yangu rais Magufuli!

Gashinaga nang'ho Kiranga uli-munhu? Ha ha ha haaaa!!
Onene nale munhu nyalali gete. Hakaya yise twalwanga masala ga wiza gete kongono o goko wiswe wale nlangi wo chalo chenecho. Mamihayo ga Seba. Mamihayo genago okochanganya noo mamihayo ga banamhala ba kaya gakobizaga mamihayo ga chiza gete olo nnegene akohaya kweta chiza, komana banamhala no baniisale. Kotogwa kodema no koshema. Kweta masala ko bulimi.

Olo namhala akwambijage etaga mhayo wene huu, lekaga obo, o negene nyalali wokwizaga koyomba "wabeja namhala konilanga mamihayo".

Ontemi wise ale na masala, kongono alehaya kweta chiza. Aleyo galeko mamihayo gange akieta gete ate na masala gete gete.

A mamnhu galehaya o ntemi nyalali. O ntemi ale ntemi. Ite chiza ko ontemi koyomba "onene nale ntemi wa se yeneye". A mamnhu gakohaya "o ntemi ng'weneoyo, ate ntemi, kongono ate no mamihayo nyalali akwizaga koyomba mamihayo nya chilochilo".

Obise twamanile butemi. Kongono hakaya ha batemi nyalali gete.

Olo obamanile ba Makwaia. Henaho kaya gete.
 
Nu-bhebhe ngalu uli-munhu? Aliyo bhuli hangi!! Gashinaga i-JF yajima Basukuma duhu?
 
Sijui ni kitu gani kinawafanya watu wafikirie Magufuli ni Msukuma!. Sidhani hata kama anakifahamu kisukuma zaidi ya salam.

HUYO SIYO MSUKUMA!. ACHENI KUWATIA GUNDU WASUKUMA WA WATU WASIO NA MAKUU!.
Hawa nibwatu wa makabika madogo madogo yanayowazunguka Wasukuma.

Hawajaoata mafunzo ya utamaduni hakisi wa Wasukuma.

Mtu aliyepata mafunzo hakisi ya utamaduni ya Wasukuma hawezi kupwaya katika uongozi kama huyu.
 
Aaaah, gashinaga uli-nyanda wa ha-ng'wa Makwaiya? U-ntemi wa Busiya? Bahemba bingi sana ba-hang'wa Makwaiya nabamanile, nagafuja hado kutola mu-luganda lwene nkoyi hamo ni wa-bhiza nkwela'wane! Ha ha ha haaaa! Nguno lulu nali-mu-shinyanga ng'wenumu! Hene u-ntemi wiswe nadegelekage banhu bagungunanha gete na agutema shiza noi!
 
Hawa nibwatu wa makabika madogo madogo yanayowazunguka Wasukuma.

Hawajaoata mafunzo ya utamaduni hakisi wa Wasukuma.

Mtu aliyepata mafunzo hakisi ya utamaduni ya Wasukuma hawezi kupwaya katika uongozi kama huyu.

Wanaowazunguka wasukuma hawako vile. Huyu atakuwa anawazunguka wa kala ba wajita huko. Wanahulka za kufanana. Kwenye usukuma, hana hata kufanania hata kidogo.
 
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Nahisi kizunguzungu wacha nipate panadol kwanza maana hii kitu si mchezo bangosha mwee!
 
Watufundishe lugha wanayoongea na home boy wao. Pasco pia aje hapa.
Pasco anajua mengi sema kuna kitu nyuma ya pazia
Huu wajameni sio ukabila bali ni kudumisha tuu mila na utamaduni wetu wa kuipenda lugha yetu

Nimesikia mahali Mchungaji Gwajima amehojiwa kwa kuhamasusha ukabila. Sheria yetu ya uchaguzi inakataza kabisa watu kuhutubia kwa kilugha katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, hicho nilichoeleza hapo ni kitu ambacho nimekishuhudia kikifanyika, maofisa wa NEC wakiwepo, OCD na polisi wake wakiwepo, and nothing was done about this na kuna watu wanadhani baadhi ya watu kuhutubia kwa lugha za Kisukuma wameanza leo. Hili ni bandiko la mwezi May, 2009, miaka 11 iliyopita!. Sasa leo Gwajima anapoyasisitiza haya kosa lake ni lipi?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…