Barua ya majibu ya Msekwa kuwajibu Kinana na Makamba hii hapa

Barua ya majibu ya Msekwa kuwajibu Kinana na Makamba hii hapa

Maajabu! Barua ya Msekwa imevuja kabla hata hajai-sign! Au wazee wa baraza la wazee huwa hawasign documents zao?

Hata hivyo nimeona tatizo la kisarufi ambayo si rahisi ifanywe na Mzee Msekwa ambaye amewahi kuandika hata vitabu:

'Ndugu Abdurahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu' badala ya .......Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM. Hali kadhalika kwa mzee Makamba. Hii kitu inaitwa 'CCM mstaafu' sijui nini.....maana ni kuwa CCM ilishastaafu. Nachelea kusema hii barua si genuine kwa sababu haina sahihi ya mwandishi lakini pia tatizo la sarufi inaonesha imeandikwa na Bashite classic.
Wewe unadhani kila mtu alisomea kiswahili tu kama wewe mzee wa vishazi?wengine walisomea zao math na phy ,tu
 
Kwa kiburi kile nilichomwona nacho Musiba, Mzee Msekwa Kuna hatua lazima zichukuliwe dhidi yake ili CCM na Tanzania viwe salama. Kiburi cha Musiba kinatisha!!!
 
Tatizo viongozi wengi Wa CCM hasa waliopita hawana "MORAL AUTHORITY" ya kukemea ubabe na mapungufu ya utawala wa JPM.

Si ajabu ndio maana kila JpM anapozungumza ni lazima atupe lawama kwa viongozi hao kuwa waliichezea sana Nchi hii, Na hili linawatia uwoga kuwa huenda akawaanika na ikibidi kuwashughulikia.

Huu ni mwendo wa mwaga mboga nimwage ugali.
Wakizingua JPM afanya kama yale yanatokea Angola na Botswana kule
 
Maajabu! Barua ya Msekwa imevuja kabla hata hajai-sign! Au wazee wa baraza la wazee huwa hawasign documents zao?

Hata hivyo nimeona tatizo la kisarufi ambayo si rahisi ifanywe na Mzee Msekwa ambaye amewahi kuandika hata vitabu:

'Ndugu Abdurahaman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu' badala ya .......Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM. Hali kadhalika kwa mzee Makamba. Hii kitu inaitwa 'CCM mstaafu' sijui nini.....maana ni kuwa CCM ilishastaafu. Nachelea kusema hii barua si genuine kwa sababu haina sahihi ya mwandishi lakini pia tatizo la sarufi inaonesha imeandikwa na Bashite classic.
Sema haina saini. Sio "sahihi'
 
Hivi unalipwa sh ngapi kujidhalilisha hivi mana unaonekana kama una akili yako ya kutosha but unavyokurupuka. Es gibt nichts mehr zu sagen.
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
 
Kwa mtu mwelewa haya ndiyo majibu rasmi kwamba wamekosea kutoa malalamiko yao kwa baraza lawazee badala yake wangepeleka kwenye ngazi nyingine ya kiutendaji
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Baba waTaifa, Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu hakusita kujitokeza hadharani na kuukemea utawala ulio madarakani pale alipoona Taifa linaelekea kusiko. Nyakati hizo Pius Msekwa alikuwa mtendaji mkuu wa Chama na sikumbuki kama kuna siku hata moja aliwahi kumshauri/kumtaka Mwalimu afuate taratibu kama anavyoshauri hivi sasa.

Ukweli ni kwamba unaweza tu kuwa na ujasiri wa kutupa mawe kama huishi kwenye nyumba ya vioo na bahati mbaya Msekwa ana magunia kama si mashehena ya tuhuma yaliyomganda kama shati lililoloa na hiyo ndiyo sababu hata mtoto wa nyumbani hakuona hata sababu ya kumhusisha huko Vodacom...

...when in December 6th, 2005 Vodacom Tanzania launched its Mobile Health Clinic in Tanzanaia, the Honourable Pius Msekwa, Chairman of Vodacom Tanzania and Romeo Kumalo, Managing Director of Vodacom Tanzania also graced the event.
 
Mzee msekwa kwa makusudi au bahati mbaya ameshindwa kubaini msingi wa malalamiko ya akina Makamba. Akina Makamba hawana shida na Musiba, bali malalamiko Yao yanatokana na Imani Yao kuwa mamlaka yenye wajibu wa kukemia vitendo vya mwanachama Musiba kuwadhalilisha wastaafu hao imeshindwa kufanya hivyo.

Hivyo Basi Baraza la Wazee lililofikishiwa malalamiko hayo ili watumie busara zao kuikumbusha mamlaka husika itekeleze wajibu wake kwa kumchukulia hatua stahili Musiba kwa mujibu wa utaratibu wa chama.

Hata hivyo, kwa mtazamo wangu guy ni mgogoro binafsi baina ya wastaafu hao na Musiba. Bali wanachokitaka akina Kinana ni kusafishwa au kukingwa na mamlaka za chama dhidi ya mashambulizi ya Musiba kwavile wao ni viongozi wastaafu.

Hata hivyo, sidhani kwamba kuna kifungu ndani ya katiba ya CCM kinachoelekeza nini kifanyike inapotokea migogoro binafsi miongoni mwa wanachama. Kwa lugha nyingine huu si mgogoro wa CCM kama Chama na kwahiyo hauwezi kushughulikiwa kwa mujibu wa katiba labda itumike busara na viongozi 'kuwanusuru akina Makamba.
 
Baba waTaifa, Mwalimu Nyerere baada ya kustaafu hakusita kujitokeza hadharani na kuukemea utawala ulio madarakani pale alipoona Taifa linaelekea kusiko. Nyakati hizo Pius Msekwa alikuwa mtendaji mkuu wa Chama na sikumbuki kama kuna siku hata moja aliwahi kumshauri/kumtaka Mwalimu afuate taratibu kama anavyoshauri hivi sasa.

Ukweli ni kwamba unaweza tu kuwa na ujasiri wa kutupa mawe kama huishi kwenye nyumba ya vioo na bahati mbaya Msekwa ana magunia kama si mashehena ya tuhuma yaliyomganda kama shati lililoloa na hiyo ndiyo sababu hata mtoto wa nyumbani hakuona hata sababu ya kumhusisha huko Vodacom...

...when in December 6th, 2005 Vodacom Tanzania launched its Mobile Health Clinic in Tanzanaia, the Honourable Pius Msekwa, Chairman of Vodacom Tanzania and Romeo Kumalo, Managing Director of Vodacom Tanzania also graced the event.
asante sana mkuu
 
Ikiwa Barua hii ndivyo ilivyo Mzee Pius Msekwa ametumia busara ya Hali ya juu Sana kuwajibu, ingawaje majibu rasmi ya Baraza hili LA wazee hayajatoka. Ila ikumbukwe tukiwa na vyama imara vya kisiasa hata misingi ya Nchi inakuwa imara pia.
Nchi itakuwa imara kwa kuwa na watu huru na wenye mafanikio. Haya mambo ya CCM au CHADEMA au CUF ni vikundi vya wachache sana ambavyo havipaswi kudidimiza mifumo ya kitaasisi ya nchi.
 
Mzee P.. Msekwa bado upo viZuri sana ,lulu zilizotokana na Mwl. J.K.Nyerere .

Kwahiyo; ccm siyo mahakama!


Nendeni mahakamani mkalipuane au

Musiba ni mwanaharakati au mwana ccm ?

: Ushauri unaombwa na unaweza toa na usipokelewe ! mmh!

Administration; wazee wastaafu wanaendesha shughuli zao kwa vikao

Kwahiyo; huyu jamaa atae.ndelea kuwachafuwa mpaka 2025!

Uhakika mnao kama M/kiti yupo nyuma yake?


Sheria zenu mlitunga wenyewe!
Kazi IPO!
 
Mzee P.. Msekwa bado upo viZuri sana ,lulu zilizotokana na Mwl. J.K.Nyerere .

Kwahiyo; ccm siyo mahakama!


Nendeni mahakamani mkalipuane au

Musiba ni mwanaharakati au mwana ccm ?

: Ushauri unaombwa na unaweza toa na usipokelewe ! mmh!

Administration; wazee wastaafu wanaendesha shughuli zao kwa vikao

Kwahiyo; huyu jamaa atae.ndelea kuwachafuwa mpaka 2025!

Uhakika mnao kama M/kiti yupo nyuma yake?


Sheria zenu mlitunga wenyewe!
Kazi IPO!
 
Msekwa nadhani ndio kiongozi Mstaafu muoga kuliko wote , hana ujasiri wowote ule na wala hawezi kutenda haki kwenye sakata hili , hii ni kwa sababu hajawahi kujitegemea na hajawahi kuhangaikia maisha yake nje ya ccm , anaiabudu ccm kuliko Mungu , kwake " mwenye bia nyingi mezani " ndiye wake , hata mke aliyenaye alimpata kwenye jumuiya za chama .
Unataka afuate majungu Apache sheria walizojiwekea ?
 
Huyo nduli na dikteta ni mnafiki wa kutupa. Katika hizo awamu kapiga sana na hadi hii leo bado anakwapua trillions yeye ni kubwa la majizi wa awamu zote combined.

Tatizo viongozi wengi Wa CCM hasa waliopita hawana "MORAL AUTHORITY" ya kukemea ubabe na mapungufu ya utawala wa JPM.

Si ajabu ndio maana kila JpM anapozungumza ni lazima atupe lawama kwa viongozi hao kuwa waliichezea sana Nchi hii, Na hili linawatia uwoga kuwa huenda akawaanika na ikibidi kuwashughulikia.

Huu ni mwendo wa mwaga mboga nimwage ugali.
 
Back
Top Bottom