mahalipema
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 194
- 120
Hivi katika hali ya kawaida tu, mwanao ukimuona anafanya mambo bila weledi utamuacha tu aendelee kisa hajakuomba ushauri au utamwita umshauri kisha umuachie mwenyewe uamuzi wa kuupoke na kuufanyia kazi au kuuacha?