Barua ya majibu ya Msekwa kuwajibu Kinana na Makamba hii hapa

Busara kama hizi za mzee msekwa huwezi kuzikuta ufipa pale.

Hili saga lingekuwa limetokea upande wa ufipa sasa hivi kila mtu angekuwa anatoa tamko, huku kina Lema na Msigwa wakiendelea kutoa matusi Twitter wakichangiwa na makamanda uchwara kama wewe.

Igeni hizi Busara toka ccm
 
kitu cha msingi sana ni kwamba umenielewa , hii inatosha
 
yaani wewe ndo unaakili saaan kupita wao
Mkuu hata mtu mwenye akili nyingi sana anaweza kuto itumia vizuri akitawaliwa na tamaa au hisia flani.

Emotional intelligence (EQ) ni kitu muhimu sana wakati wa kufanikisha malengo flani.
Wakati mwinge pengine ni muhimu kuliko IQ.

Na ndio maana unakuta asie soma au mtu mwenye elimu ya msingi tu, anaweza kufanikiwa sana kimaisha kuliko mhadhiri wa chuo kikuu.

Hilo kundi la akina Nape kuna walioshikwa na hisia za hasira kutumbuliwa, kuachwa kando meza kuu ya karamu, kuzuiwa madudu ya kifisadi, kukosolewa awamu yao kwa uzembe, kukosa uraisi au tamaa ya kupata uraisi n.k.

Hivyo wengi hapo si wavumilivu na kupangilia mambo kwa makini. Emotionally hawako stable ni vile wanakurupuka, wapo desperate.

Hivyo inawezekana wana akili (IQ) kubwa kuliko mimi lakini hawapo emotionally stable kuliko mimi. Wanakosa utulivu katika fikra wakati wanapanga mikakati.
 
Sio uoga...wanapambania maslahi binafsi. Makamba anataka mtoto wake awe Rais. Kinana anataka empire yake iendelee kula vya bure. Sidhani kama hao wanaipenda hivyo Tanzania

Hongera Makamba na Kinana. Zama za uoga zimepitwa. A new era has begun. Kama Jiwe anamtuma Musiba kutukana watu na aambiwe... That is the crux of the matter. Hayo mengine ni kelele tu.
 
Mkuu ujumbe umefika lakini hii sio barua labda useme maelezo ya barua! Otherwise piga picha au scan uitume!
 
Barua hata usipo address mtu katibu ataifungua na kuipekeka kunakohusika.
which means huna haja ya kui address kwa Katibu...

matokeo yake ndio haya sasa, Katibu kajibu

ingekuwa addressed kwa Chairman au Baraza, Msekwa asingepata balls wala uhalali wa kutoa "majibu ya awali..."

tuache kufanya vitu kwa mujibu wa mwalimu wa somo la Uandishi wa Barua darasa la nne... darasa la nne unakaririshwa vitu vya kiofisi ambavyo huna uwezo wa kuvichambua wewe wala mwalimu wako
 
Tarehe15 Julai, 2019.

Nakiri kupokea barua yenu ya tarehe 15 07/ 2019 ambayo mliisaini wote wawili, na ikawasilishwa kwangu kwa mkono na Mhe. Nape Nnauye (Mb), jana tarehe 14/07/ 2019
 
Duh!! hii kweli kiboko
 
Mi naombea wazidi kuparuana mpaka wapate majeraha nje na ndani ya mwili
 
Katibu alitakiwa ajibu kuwa kwa niaba ya Baraza ninatoa majibu yafuatayo Lakini ona alichoandika Ni as if yeye Ndie mtoa majibu mwenyewe!!!! Chochote anachojibu alitakiwa Aseme kwa niaba .Lakini kwa kuwa hakuwashirikisha kutoa majibu ndoo unaona Mzee msekwa akijikanyaga ohh natoa sehemu tu ya majibu ohh majibu kamili wazee wakikaaa SI angesubiri wakae haraka ya Nini?
 
Attacking personalities is one of horrible shortfalls in argument. I is absolutely fallacious.
 
Bora umeliona hilo, the billion dollar question is who is controlling this whole shit?
Kuna mtu au kikundi cha watu wanoichezesha hii game na inaenda kadri utashi wao, hata kama kiranja mkuu hausiki moja kwa moja lazima kutakuwa na blessings zake. Si rahisi kuwachezea wazee heavyweights kama hao na kila mtu akaogopa japo hata kuonyesha kukerwa na kinachoendelea.
 

Kwa majibu haya ya Msekwa, ambayo Musiba amepata nakala yake, kilichobak ni kumwaga ugali, kwani wao wamesha mwaga mboga.
Hakuna jiwe litakao salia juu ya jiwe.
 
Hayo ya Msekwa binafsi tuyaepuke. Ila kwakweli hajakidhi kiwango (as a matter of principal) kwenye kutetea katiba ya chama chao tu.
Kwenye Katiba ya Nchi hiyo principal yake au ya chama chao HAIHUSIKI!!!!
Vinginevyo ni kigugumizi cha backbenchers wote wa CCM kinachotokana na mfumo mzima unaowaweka madarakani.
 
Tayari hapo kuna tatizo inaonyesha musiba ana uhakika na anachokisema kutokana na maelezo ya msekwa kuwa wajisafishe wenyewe na wao wanajua wakijaribu huenda yakasemwa mengi
 


Kwanini ushauri wake asinge toa baada ya majibu ya kikao cha kamati yao? Huoni hapo kama hakuna haja tena ya kikao chao kwasababu yeye kesha maliza kila kitu? Ni mtazamo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…