Askofu na Shekhi wakiunganisha nguvu.Vita ya namna hiyo inahitaji akili kubwa sana kupigana.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Mbona kwa Lissu hukutokea?Niko nyuma ya Mwamakula. Siku yoyote atakayopanga maandamano niko tayari.
Bora nikafe mbele ya polisi kuliko kufa kwa njaa ndani ya nyumba ama jazba ya kuporwa kura yangu ama jazba ya kuharibiwa masoko ya mazao yangu
Mambosasa alitukamata usiku wa kuamkia tukioMb
Mbona kwa Lisu hukutokea?
Keyboard warriors ila kwenye matukio hatuwaoni.Niko nyuma ya Mwamakula. Siku yoyote atakayopanga maandamano niko tayari.
Bora nikafe mbele ya polisi kuliko kufa kwa njaa ndani ya nyumba ama jazba ya kuporwa kura yangu ama jazba ya kuharibiwa masoko ya mazao yangu
Laana gani ya wahuni hao?unatafuta kupigwa laana kwa udi na uvumba
Hahahahaa😁😁😁 sasa siku hiyo mtakamatwa mkiwa mmechakaa na hamtatamani kurudia.Mambosasa alitukamata usiku wa kuamkia tukio
Allah (sw) ampe maisha marefu yenye Amani Sheikh wetu Ponda. Kwa miaka mingi Sheikh Ponda amejitokeza kuwa wakili wa kudai haki bila kujali mipaka ya dini na mirengo ya kisiasa.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Huyu mrundi hakomi hulka za kirundi kupigania mamlaka ya kisiasa. Anachopigania wala hakielewi ili mradi tu anapambana na mamlaki iliyoko madarakani roho yake inaona fahariKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Soon yataanza kuunguaMambo ni motooooo
Sheikh Ponda ni mtu asiyekata tamaa kabisa pamoja na magumu yote ya utawala wa kishetani
Huyu ni baba wa dunia
It is a genuine course worthy praising and supporting. Bravo Bishop. Bravo Sheikh Ponda.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
NimeipendaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Sheikh Ponda alimtuma Katibu Muhtasi wake kupeleka barua nyumbani kwa Askofu Mwamakula , siku ambayo Baba Askofu aliitisha mkutano na waandishi wa habari wa nje na ndani .
Lengo la barua hiyo ni kutambua mchango wa Askofu Mwamakula katika kupigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .
Karibu sana mkuuNimeipenda
Kwa Tanzania Kizazi hiki hakuna mwenye ujasiri huo, sahau kabisa.... ...hapo ulipo ukiingizwa kidogo unakojoa kama mwehu....watu wenye ujasiri huwa hawana muda wa kwenda gym, sijui kutafuta six packs, urembo nk....angalia wasomali au myanamar hakuna mabaunsa wala mbwembwe za urembo lakini moto wao si wa dunia hii wakiliamsha dude..........Niko nyuma ya Mwamakula. Siku yoyote atakayopanga maandamano niko tayari.
Bora nikafe mbele ya polisi kuliko kufa kwa njaa ndani ya nyumba ama jazba ya kuporwa kura yangu ama jazba ya kuharibiwa masoko ya mazao yangu
Tupo wabongo wachache sana tunaoweza kujitoa mhanga lkn tunakatishwa tamaa na mapoyoyo walio wengi ambao hata ufanye nn hawakuungi mkono kwa maslahi ya maisha yao hata kama Ni ya shida.Kwa Tanzania Kizazi hiki hakuna mwenye ujasiri huo, sahau kabisa.... ...hapo ulipo ukiingizwa kidogo unakojoa kama mwehu....watu wenye ujasiri huwa hawana muda wa kwenda gym, sijui kutafuta six packs, urembo nk....angalia wasomali au myanamar hakuna mabaunsa wala mbwembwe za urembo lakini moto wao si wa dunia hii wakiliamsha dude..........
Mtasubiri sanaaaaMoto wa katiba mpya unaanza kuwashwa rasmi