Barua ya Sheikh Ponda kwenda kwa Askofu Mwamakula hii hapa

Barua ya Sheikh Ponda kwenda kwa Askofu Mwamakula hii hapa

Niko nyuma ya Mwamakula. Siku yoyote atakayopanga maandamano niko tayari.

Bora nikafe mbele ya polisi kuliko kufa kwa njaa ndani ya nyumba ama jazba ya kuporwa kura yangu ama jazba ya kuharibiwa masoko ya mazao yangu
Watakaoandamana ni wale tu wasiokuwa na sex, yaani sexless people kama wewe kwani hawana tena kingine cha kupoteza. Walishapoteza sex zao. Na watu wa namna hii Tanzania hawazidi kumi ukiwamo wewe, ponda na mwamakula.
 
Si hata wewe ulikuwepo huko ulipokamatwa kwa kumpora yule mdada pochi kule uchochoroni,bahati yako jamaa wa pikipiki polisi walikuokoa na kukusweka huko.Kumbe ile harufu bado unaikumbuka.Kibaka mkubwa.
Nina walisha na kuwatunza watu si chini ya kumi na zaidi na wengine wana familia zao kwa kulipwa ujira, sio nyie wabana pua mnaotaka kufumuliwa malinda,

Hapa tanzania haiwezekani mkapewa uhuru wa kunengua viuno.
Lete jibu wakikuwa wanalalaje?
 
Hawa warundi wanatusumbua. Ponda ameishiwa na ni wa kudharauliwa. Si aende kwao Burundi akadai huo upuuzi wake.
 
Back
Top Bottom