Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Tusubiri nini?Mtasubiri sanaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri nini?Mtasubiri sanaaaa
Watakaoandamana ni wale tu wasiokuwa na sex, yaani sexless people kama wewe kwani hawana tena kingine cha kupoteza. Walishapoteza sex zao. Na watu wa namna hii Tanzania hawazidi kumi ukiwamo wewe, ponda na mwamakula.Niko nyuma ya Mwamakula. Siku yoyote atakayopanga maandamano niko tayari.
Bora nikafe mbele ya polisi kuliko kufa kwa njaa ndani ya nyumba ama jazba ya kuporwa kura yangu ama jazba ya kuharibiwa masoko ya mazao yangu
Unataka kuiona au una maana gani,unachokoza watu au umechoka watu.Umeambiwa ileeeeeeee inakimbiaKwani Tanzania kuna corona?
Nani anaikimbiza?Unataka kuiona au una maana gani,unachokoza watu au umechoka watu.Umeambiwa ileeeeeeee inakimbia
Nina walisha na kuwatunza watu si chini ya kumi na zaidi na wengine wana familia zao kwa kulipwa ujira, sio nyie wabana pua mnaotaka kufumuliwa malinda,Si hata wewe ulikuwepo huko ulipokamatwa kwa kumpora yule mdada pochi kule uchochoroni,bahati yako jamaa wa pikipiki polisi walikuokoa na kukusweka huko.Kumbe ile harufu bado unaikumbuka.Kibaka mkubwa.
Hivi kwanini masikini wengi hawataki Tume huru na Katiba mpya ?Mtasubiri sanaaaa
Wewe haikuhusu?Wenye Nchi yao wakitaka Katiba ni nani anawasubirisha tena?Una mamlaka ya kuwasubirisha!Utatumia mbinu gani kufikia hill lengo?Mtasubiri sanaaaa
Karibu jukwaani