Ziroseventytwo JF-Expert Member Joined Mar 27, 2011 Posts 8,581 Reaction score 15,618 Apr 18, 2021 #21 Nimerudia kusoma sijaelewe kitu. Aliye elewa anifafanulie.
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Apr 18, 2021 #22 MIXOLOGIST said: Kuna watu wengine hawajawahi kutoka nje ya Dar, achilia mbali Tanzania, lakini wako busy kutafuta mambo ya nje ya dunia hii. Embu tulieni, kazi inaendelea Click to expand... Mada imekuzidi kimo kijana ni bora usome then ukae kimya ujilie ugali wako.
MIXOLOGIST said: Kuna watu wengine hawajawahi kutoka nje ya Dar, achilia mbali Tanzania, lakini wako busy kutafuta mambo ya nje ya dunia hii. Embu tulieni, kazi inaendelea Click to expand... Mada imekuzidi kimo kijana ni bora usome then ukae kimya ujilie ugali wako.
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Apr 18, 2021 #23 I have some scripts in my library...! I suggest "don't copy this scripts it can disturb some elements"
I have some scripts in my library...! I suggest "don't copy this scripts it can disturb some elements"
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Apr 18, 2021 #24 Mungu hawezi kuvumbuliwa na watu.wakati yeye ANASEMA NDO AMETUUMBA NA KUTUVUMBUA. bila WATU MUNGU ALIKUWEPO.YUPO,NA ATAKUWEPO HATA WATU KUPITA. Scars said: Swala la Mungu kuvumbuliwa na watu halikuhitaji barua ya MTAWA ili watu tujue. Tulishalijua hilo ila tulichoshindwa kukijua ni jina la huyo mtu Kama utafiti unaendelea natumai kuona barua zingine zenye kuleta hayo majibu ambayo kwa muda tumekua tukiyatafuta Click to expand...
Mungu hawezi kuvumbuliwa na watu.wakati yeye ANASEMA NDO AMETUUMBA NA KUTUVUMBUA. bila WATU MUNGU ALIKUWEPO.YUPO,NA ATAKUWEPO HATA WATU KUPITA. Scars said: Swala la Mungu kuvumbuliwa na watu halikuhitaji barua ya MTAWA ili watu tujue. Tulishalijua hilo ila tulichoshindwa kukijua ni jina la huyo mtu Kama utafiti unaendelea natumai kuona barua zingine zenye kuleta hayo majibu ambayo kwa muda tumekua tukiyatafuta Click to expand...
Da Vinci XV JF-Expert Member Joined Dec 7, 2019 Posts 3,862 Reaction score 6,438 Apr 18, 2021 Thread starter #25 Ziroseventytwo said: Nimerudia kusoma sijaelewe kitu. Aliye elewa anifafanulie. Click to expand... Rudia hata mara nyingine mkuu
Ziroseventytwo said: Nimerudia kusoma sijaelewe kitu. Aliye elewa anifafanulie. Click to expand... Rudia hata mara nyingine mkuu
Da Vinci XV JF-Expert Member Joined Dec 7, 2019 Posts 3,862 Reaction score 6,438 Apr 18, 2021 Thread starter #26 Crocodiletooth said: Mada imekuzidi kimo kijana ni bora usome then ukae kimya ujilie ugali wako. Click to expand... πππ€
Crocodiletooth said: Mada imekuzidi kimo kijana ni bora usome then ukae kimya ujilie ugali wako. Click to expand... πππ€