Chungwa la kilwa kipatimu...chungwa tamu na linanukia!!! Chungwa la muhoro...chungwa kubwa lina maji mengi na ni tamu!!!Ally Kiba ni sawa na machungwa ya kilwa...
sijaona machungwa matamu kama ya kilwa....
lakini wengi hata hawajui kilwa kuna machungwa
wengine wanakula machungwa ya kilwa wakifikiri ni machungwa ya Tanga...
Machungwa ya Tanga yamebeba soko na umaarufu mkubwa
wakati hata robo hayaingii kwa machungwa ya kilwa....
Hata huko Kilwa hao wakulima hawajui machungwa yao ndo the best in East Africa...
na umasikini bado uko vilevile
Umenikumbusha mbali sanaChungwa la kilwa kipatimu...chungwa tamu na linanukia!!! Chungwa la muhoro...chungwa kubwa lina maji mengi na ni tamu!!!
Kipatimu ni hatari zaidi...
Naam! Ni lami tupu...siyo kama kipindi kile cha kusafiri na mikate...Umenikumbusha mbali sana
Sijapita hiyo njia muda mrefu sana siku hizi naskia lami tupu
NyamwageNaam! Ni lami tupu...siyo kama kipindi kile cha kusafiri na mikate...
Umeongea ukweli... Kama mimi ni mshabiki wake mkubwa na napenda muziki wake hayo maisha yake binafsi na mali alizonazo za kazi gani?Kitu kinachowasumbua washabiki wa kiba nj kimoja tuu kumlinganisha kiba na mond na kiba sio mtu wa show off miaka yote yeye mambo yake ni kimyakimya hii sio barua ya kwanza kwa kiba tumeishasoma soma barua za waz kibao tatizo mnataka afanye kama mond na yy hayo maisha hawez mnataka apost maisha yake binafsi na yy hawez mm naona kama unampenda penda mziki wake tuu hayo mengine mwachie yeye ,kuhusu kushirikiana na watu wa nje hayo ni mambo ya management yake inatakiwa asimamie
Mr Bean Jr umenikosha sana.BIG UPHata hili atalitia kapuni tu.
Huu muda ungeutumia kuandika kamradi kako ka milioni tano ungeingiza pesa.
Ni maoni tu
kwakweli wa mchangani watupishe.....Kiba yupo hivo hivo hajawahi kuwa juu kama mnavyompamba,kolabo za kimataifa zenye akili zinataka pesa, kiba hiyo pesa hana na hata management yake imeona haina sababu ya kutupa pesa kwake kwavile hajawa na vigezo vya kuweza kurudisha pesa watakayoiweka kwake na tulishasema humu hiyo Sony ni changa la macho.
Kuonyesha anachomiliki inataka awe nacho, sasa kama hana unataka aonyeshe nini,wakati yeye anataka atakachokionyesha ni kile kilichomzidi DIAMOND......... ??
Tuzo ameshawai kuwapongeza mashabiki wake,sema hawezi kujisifu sana kwa vile kuna mtu keshazipata hizo x 30 yake,na yeye anataka akionyesha kiwe ndio yeye wa kwanza.
Mnampambanisha na mtu ambaye keshamzidi x 3,000 unategemea nini kutoka kwake....... si mnamchosha tu.
Mwenzake ana vitu vifuatavyo yeye hana,kisha mnazidi kumshindanisha huoni munampa stress hasizozitarajia.
1.Studio.
2.bendi.
3.lebo. (wcb)
4.ofisi.
5.wafanyakazi zaidi ya 40.
6.Tuzo 40+na ni icon wa taifa.
7.anaweza kupiga shoo nje (ya AFRIKA) peke yake na akajaza.
8.palipo na shoo kubwa za kimataifa zinazohusu wasanii wa Africa na yeye yupo.
9. yupo ktk muonekano wenye HADHI YA WASANII WA KIMATAIFA (sio msanii huna tofauti na hadhi ya msanii wa singeli Man Fongo)
N.K.