Huyu mzee anazeeka vibaya sanaWe naye huna jipya, pambania uteuzi huna lolote
Fact ajiulize yule Fred Mpendazoe yupo wapi?mkuu.. huyu Dogo Pascal Mayalla ANAGUNDU ndo mana unaona mpaka wa leo Kaka yake MEKO amempuuzia na alishamuita MAYALA MANJAA NJAA. ataishia humuhumu na nilisha mwambia atasota JF mapaka atapotea
Kweli mkuuHuyu mzee anazeeka vibaya sana
Wote wanapigwa njaaFact ajiulize yule Fred Mpendazoe yupo wapi?
Haoni hata aibuPaskali,Mtu YEYOTE mwenye aKili za kawaida hata Kama Hana Shule kubwa, Ataona maandiko yako siku zote yamejaa kujipendekeza kwa Mkulu ili upate Cheo.Yaani hayana ladha ya ushauri wa kweli.Yamejaa Uhalisia wa kujipendekeza zaidi badala ya ushauri unaojifanya kuutoa.
Sina Shaka Nae Maalim kwenye ili...Wanabodi,
Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu Mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.
Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.
Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.
Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa - The Chanzo Initiative
Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa imeanzia kwenye upigwaji wa kura ya mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.thechanzo.com
Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
Wanabodi, tangu kufutwa kwa matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa October, 25, kila siku tumekuwa tukishuhudia watu wakipiga makelele tuu ya kulalamika lakini hakuna yoyote anayechukua hatua stahiki!. Maalim Seif analalamika!, Mbowe analalamika!, Mbatia analalamika!, wanasheria...www.jamiiforums.com
Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad
Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili...www.jamiiforums.com
Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.
Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili
Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.
Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!
Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.
Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"
Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".
Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.
Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.
By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.
Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.
Kwako wewe karatasi za kura kuzagaa, baadhi ya wagombea kutopewa ruhusa ya kugombea mapema baada ya kuzuiwa bila sababu,askari polisi kuwa wasimamizi wa uchaguzi badala ya kusubiri kuitwa kwenye tatizo, baadhi ya watu kupiga kura mapema bila sababu inayoeleweka na matokeo ya kura hizi kutotangazwa na kulazimisha ushindi bila kuhesabu kura! Kwako wewe kwa kuwa no sehemu ya wababe unaona ni matatizo madogomadogo kama time ilivyosema! Wengi tulikata tamaa kushiriki chaguzi hizi za kibabe ila uchaguzi huutulidhani mambo yangeenda sivyo yalivyokwenda, siku zote aliyezoea kuonea akisemwa anaona anaonewaMkuu Nsoji go Nvaa, sijasema uchaguzi ulikuwa sawa, nimesema ulikuwa na dosari ndogondogo, ambazo zisinge badili matokeo.
P
Wewe ni kichwa maji au? Barua kaandikiwa ally saleh halafu unataka zito ndio ailewe, bwashee unafeli wapi?Sidhani kama Zitto atakuelewa!
Peleka yale majina ya majeshi ya warwanda na wa tanganyika wakaunde serikali.Wanabodi,
Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu Mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.
Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.
Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.
Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa - The Chanzo Initiative
Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa imeanzia kwenye upigwaji wa kura ya mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.thechanzo.com
Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
Wanabodi, tangu kufutwa kwa matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa October, 25, kila siku tumekuwa tukishuhudia watu wakipiga makelele tuu ya kulalamika lakini hakuna yoyote anayechukua hatua stahiki!. Maalim Seif analalamika!, Mbowe analalamika!, Mbatia analalamika!, wanasheria...www.jamiiforums.com
Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad
Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili...www.jamiiforums.com
Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.
Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili
Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.
Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!
Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.
Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"
Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".
Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.
Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.
By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.
Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.
CCM , kamati ya maadili na madaraka ya bunge wamekupa kazi ngumu sana kuupamba uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo , haki iwe dhuluma na dhuluma iwe haki . Una kazi tofauti na nilivyokufahamu tulipokuwa na kipindi chako cha kiti moto Kilimanjaro Hotel ukumbi wa Simba Grill . Nikuhurumie tu nitakuumbua vibaya sana .Vitu vingine sio issue ya fulani kukuelewa, ni kuangalia na kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ni kuangalia maslahi ya taifa.
Naamini Comrade Zitto hayumo kwenye kundi hili la viongozi nilio wazungumza hapa
pJe, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Wanabodi, JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia, na hiki ndicho ninachofanya hapa, kwa kuendelea na zile makala zangu elimishi kuhusu Maslahi ya Taifa...www.jamiiforums.com
Vitu vingine sio issue ya fulani kukuelewa, ni kuangalia na kutanguliza mbele maslahi ya taifa. Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ni kuangalia maslahi ya taifa.
Naamini Comrade Zitto hayumo kwenye kundi hili la viongozi nilio wazungumza hapa
pJe, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Wanabodi, JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia, na hiki ndicho ninachofanya hapa, kwa kuendelea na zile makala zangu elimishi kuhusu Maslahi ya Taifa...www.jamiiforums.com
Yani ccm wapumbavu sana, mnamuona Maalim Seif hamnazo mumpe cheo cha kutembea na mkasi?ACT kujiunga SUK Zanzibar ni fursa kwa chama chao kuwa sehemu ya dola na kukikomaza. It's up to them kama wanataka kukomaa au wanataka uanaharakati.
Fursa kama hii angeipata mtu kama Mbowe hata asingejiuliza mara mbili.
Dikteta amefanikiwa kuwatega hawa wasomi uchwaraKwa jinsi ilivyo na inavyotakiwa tuamini ni CCM NA MACCM PEKEE WENYE UWEZO WA KUILETEA NCHI HII MAENDELEO!! WASIO CCM NI WASALITI NA SI WENZETU!!! Hizo kauli ni maarufu na zimeshatimia kwanini wasiotakiwa ama watu wa daraja duni washirikishwe katika mambo makubwa? Wenye akili wako kimya wanawatazama wenye maguvu. TULIPOSHAURI CCM IFUTE VYAMA VINGINE ILI IBAKI PEKEE TULIJUA HAWATAMUDU DEMOKRASIA NA MKONO WA CHUMA UTATUMIKA. JE WALIOTIWA VILEMA NA KUULIWA WAPENDWA WAO TUWAAMBIE TU HAYA MANENO YAKO YANATOSHA? JE INGELIKUWA NDUGU YAKO KAULIWA KATIKA KADHIA HIYO UNGELIANDIKA HIVI MKUU?
TWAPASWA KUUKEMEA UOVU KABLA YA KUPEANA FARAJA VINGINEVYO MIOYO IVUJAYO DAMU ITATUGHARIMU...
Si usubiri hata wafanye 40 ya wale waliouliwa kwenye UCHAGUZI.... PASKALIWanabodi,
Hii ni Barua yangu ya Wazi kwa Ndugu yangu mwana fani mwenzangu wa tasnia ya habari na mwanasheria Mwenzangu, Ally Saleh, ambaye kwenye mambo ya Zanzibar, tumetoka naye mbali, toka wakati akiwa reporter wa BBC kule Zanzibar na mimi nikiwa reporter wa DTV ya Dar.
Wakati wa vurugu za Zanzibar za January 2001 kufuatia uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, mimi, mwandishi wa gazeti la Majira na Ally Saleh tulionja nae kidogo ladha ya Mwembe Madema kule Zanzibar ile January 2001!. Sijui ni waandishi wangapi wa habari wa bara na Visiwani wamewahi kuionja Mwembe Madema!. Na kwa vile hii ni issue ya Zanzibar, naomba nisizungumzie mambo ya Mwembe Madema, kwa wabara mnaweza msielewe, Mwembe Madema ni nini, ni wapi, na hiyo ladha ya Mwembe Madema tuliyoonja mimi, Ally Saleh na mpiga picha wa gazeti la Majira wa enzi hizo Khalfan Said ni ladha ya kitu gani, hilo tuwaachie wenyewe Wazanzibari ndio wanajua Mwembe Madema ni wapi na kuna nini.
Barua hii ya wazi kwa Ally Saleh ni kufuatia kuisoma barua yake kwa JPM kabla ya uchaguzi na leo nimesoma tena maoni yake kwa kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi huu.
Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa - The Chanzo Initiative
Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa imeanzia kwenye upigwaji wa kura ya mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.thechanzo.com
Kwanza pole sana ndugu yangu, kaka yangu na mwanafani mwenzangu Ally Saleh kwa juhudi zako binafsi kuepusha shari, na poleni ndugu zetu Wazanzibari kwa kilichotokea, ikiwemo kuugharimikia uchaguzi mkuu wenu kwa machozi, jasho na damu, maadam this time ushahidi wa picha na video zipo, I hope this time mtafanya the right thing na sio kuishia kupiga tuu kelele kama uchaguzi wa 2015 ambapo niliuliza
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
Wanabodi, tangu kufutwa kwa matokeo halali ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa October, 25, kila siku tumekuwa tukishuhudia watu wakipiga makelele tuu ya kulalamika lakini hakuna yoyote anayechukua hatua stahiki!. Maalim Seif analalamika!, Mbowe analalamika!, Mbatia analalamika!, wanasheria...www.jamiiforums.com
Kupitia matokeo ya NEC ya uchaguzi Mkuu wa 2015, yameonyesha mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hakushinda Zanzibar, aliyeongoza kwa kura za Wanzanzibari kwenye uchaguzi wa rais wa JMT, ni mgombea wa upinzani, Edward Lowassa, na wapiga kura ni wale wale, then by proxy, kama uchaguzi wa Zanzibar usingefutwa, then CCM ingeshindwa na mshindi angekuwa ni Maalim Seif Sharif Hamad
Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda
Wanabodi, leo kuna msomi mmoja Bw. Kidawi Limbu, amethibitisha pasi shaka kuwa uchaguzi wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, wa Chama cha Wananchi CUF ndie aliyeshinda uchaguzi wa rais wa Zanzibar, amewashangaa wasomi wana kigugumizi gani kuikemea CCM kutaka kulazimisha uchaguzi wa maudio ili...www.jamiiforums.com
Kutokana na matokeo hayo, then kuna possibility siku zote huwa anashinda lakini hapewi, jee mliwahi kufanya utafiti kwanini mtu wenu huwa anashinda lakini hapewi, ili kabla hamjaingia kwenye uchaguzi mwingine tena, mjiridhishe kuwa hizo sababu sasa hazipo, hivyo this time akishinda atapewa?.
Mimi ni member wa mtandao maarufu wa Jamiiforums na japo nina chama, lakini naandika kama mchambuzi huru, hivyo kabla ya uchaguzi kule jf niliandika bandiko hili
Uchaguzi 2020 - Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio mshindi wa jumla wa Uchaguzi huu
Wana JF, Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...www.jamiiforums.com
Kwenye bandiko hilo, nilisema
" kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda uchaguzi mkuu huu kwa a landslide victory ya ushindi wa kishindo, kwa pande zote mbili za Muungano!.
Ushindi huu ni kufuatia mimi mwana JF mwenzenu, Pasco Mayalla, nimesikia sauti ndani ya moyo wangu, yaani voices from within, kuwa katika uchaguzi huu, mshindi ni CCM!. Hii voices from within, is never wrong, maana ni sauti yake YEYE mwenyewe!
Kwa upande wa Tanzania Bara, CCM itashinda kwa kishindo kwasababu ya track record ya Magufuli, itaibeba CCM na kushinda kwa kishindo.
Kwa upande wa Zanzibar, kwa mujibu wa katiba, rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, Muundo wa serikali ya JMT, hatuna serikali ya mseto, ushindi ni by a simple majority, hata akishinda kwa kura moja, ni mshindi, and the winner takes it all. Hivyo mshindi wa Zanzibar lazima iwe ni CCM!"
Nilimaliza andiko langu kwa maneno haya
"Nawatakia maandalizi mema ya October 28, sio kwenda kuchagua, bali kwenda tuu kuthibisha kilichochaguliwa tayari kwa ajili tuu ya kukamilisha taratibu za mchakato wa kukamilisha uchaguzi, kama ni kuchagua, watu siku nyingi, wameisha chagua mioyoni mwao, tarehe 28 ni kukamilisha tuu taratibu".
Sasa kwa vile hayo yametokea na sio mapya, na uchaguzi umekwisha, uchaguzi mwingine ni 2025, na kwasababu hakuna kitu kingine chochote kinachoweza kufanyika sasa kubadili matokeo, nakushauri, washauri chama chako, hata kama mmedhulumiwa na hamjaridhika na matokeo, ili kuweza kuendelea na mapambano, tumieni kanuni ya " If you can't beat them,
join them", kanuni hii hutumika kwenye vita, ukiona unashindwa au anaelemewa, kuliko kuendelea ku fight and be wiped out, sometimes it's wise to retreat kwenda kujijenga upya, or to surrender and join them. Hivyo natoa wito kwako na chama chako, yaliyopita sii ndwele, kubalini matokeo, join them na kutoa ushirikiano, pelekeni jina la Makamu wa Kwanza wa rais, na majina 2 ya mawaziri kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa, muijenge Zanzibar yenu.
Kwa kuendelea kususa, you have everything to loose and nothing to gain, your will be wiped out completely and buried 6ft under!, hivyo there will be no one at all uchaguzi wa 2025, hivyo ni busara to join them for survival hadi 2025.
By joining them, you'll have everything to gain and nothing to loose, yaliyopita sii ndwele, gangeni yaliyopo na yajayo. The choice is yours.
I wish you all the best.
Your Media Comrade, and fellow Learned Brother
Paskali.
pascal wa leoMaandiko yako marefu kumbe ni pumba tupu