Barua ya Wazi kwa Dkt. Dorothy Gwajima na Nape Nnauye

Barua ya Wazi kwa Dkt. Dorothy Gwajima na Nape Nnauye

Ati. Vitu ambavyo havina maana.

Kwa mantiki hiyo hili suala halina maana?

Sasa unafanya nini hapa na hayo maguvu yote kwenye vitu unavyoona wewe kuwa havina maana. Nini hicho kinacho kubugudhi?

Kwamba halina msingi au halina maana?

Wewe umeshwahi kuleta jambo gani au mambo gani unayoyadai ni ya msingi hapa Jukwaani,Daktari?


Tunabidi kujikita kuisadia serikali kupata maendeleo na kuishauri mambo yenye kujenga

Mfano mwaka 2024 kuna kampeni inabidi kuanzishwa kuhusu matumizi ya Television kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18 ! Je unajua nani amependekeza hilo jambo?
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima

Na...

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari

Mhe. Nape Moses Nnauye.

Wasalaam,

Poleni kwa kazi.

Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.

Kuna Daktari mmoja(sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.

Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.

Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.

The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.

Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.

Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.

Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.

Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.

Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.

Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa



Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.

Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.

Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.

Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.

Sincerely,

SYLLOGIST!
Mtaje jina

Mtoto wa kiume wewe
 
Kwani uongo, we tizama kwa undani na umakini jamii zetu watu weusi, kuna majambo utayabaini.
Kiongozi kabisa linasema sijui muhamie burundi, mpige mbizi, mle nyasi ndege ya raisi lazima inunuliwe, huku chalamila nae sijui sukari imefanyaje, jamii hiyo imefanyiwa vitu hivyo vya ajabu na aibu kwa zaidi ya milongo 5, lakini ipo ipo tu, sasa we unadhani watu hao wapo sawa, mie naanza kuamini watu weusi tuna matatizo kwa ndonga zetu
We toka uchaguzi wa vyama vingi uanze mpaka mwakani itakuwa ni miaka 30, kwa miaka yote hiyo mambo ni yale yale kudanganywa na mifuko ya sukari, tisheti etc, kisha kwa miaka mi5 mfululizo watatufanyia mambo ya hovyo mpaka uchaguzi, wanajikomba nasi tulivyo hatuna akili tunakombeka.
Weusi ni kama lana fulani hivi. Niamini mimi.

Halafu kuitwa tumbili mnalalamika wee, kuna mambo ya msingi kuliko hayo, umeme mtihani, sukari changamoto, gharama za maisha zimepanda kufuru ya mungu.
 
Tunabidi kujikita kuisadia serikali kupata maendeleo na kuishauri mambo yenye kujenga
Wewe endelea kukwepa hoja.

Binafsi tayari nimesha jikita kuisaidia serikali kwa mambo ambayo yanaathiri Jamii na hususani Vijana..

Hayo mambo unayodai yanajenga, hayajengi, hakuna Dkt yeyote yule mwenye uelewa wa Saikolojia ya watu ambaye anaweza kutamka matamshi kama yale halafu aseme yanajenga.

Sidhani kama unaipatia taaluma ya Udaktari haki na heshima inayostahili, unless, of a cognitive dissonance inayonekana hapa Hujengi mkuu.
 
Wewe endelea kukwepa hoja.

Binafsi tayari nimesha jikita kuisaidia serikali kwa mambo ambayo yanaathiri Jamii na hususani Vijana..

Hayo mambo unayodai yanajenga, hayajengi, hakuna Dkt yeyote yule mwenye uelewa wa Saikolojia ya watu ambaye anaweza kutamka matamshi kama yale halafu aseme yanajenga.

Sidhani kama unaipatia taaluma ya Udaktari haki na heshima inayostahili, unless, of a cognitive dissonance inayonekana hapa Hujengi mkuu.

Tunabidi kuijenga jamii, kwa kuipa maarifa sahihi kutokana na muda na wakati wake.

Mfano swala la Television hii hoja unadhani imebeba ukubwa kiasi gani je ikitekelezwa unadhani ni Jamii ngapi zitafanikiwa kuokoa watoto wao?
 
Mimi huwa natazama positive katika negative , siwezi kuangalia MTU kasema nini Ila uwa naangalia kwanini kasema hivyo
Kusema mtu mweusi sio binadamu, ni mtizamo hasi.

Mathlani wewe ndio umesema hayo, unataka kuiambia kadamnasi kuwa hayo uliyoyasema ni hasi na hivyo basi tuyachukulie mtazamo wako kama ni Chanya? Kivipi?

Au kwamba uliyoyasema ni Chanya, ila wengine ndio wanayoona ni hasi?
MTU mmoja anaweza kufanyiwa ukatili na MTU mmoja mweusi basi chuki ikaanzia hapo inkuhitaji akili za ndani kuelewa hili jambo


Sio kila tatizo lipo Kama lilivyo.
Aisee. Nitakuachia hapo Daktari.

Naomba po Nishughulikie mengine, tutafungua mjadala, kwani hapa ilikuwa ni sehemu ya Barua.

🙏
 
Kasema kweli kwani uongoo Nakupa mfano wa UMEME na MAJI na BARABARA toka baada ya kupata UHURU mwaka wa 60 Sasa nini kimefanyikaaa.Mukiambiwa ukweli muna kasirika mukiachwa munasema muna ogepewa huo ndio ukweli tulia dozi ikuingee.
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima

Na...

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari

Mhe. Nape Moses Nnauye.

Wasalaam,

Poleni kwa kazi.

Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.

Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.

Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.

Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.

The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.

Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.

Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.

Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.

Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.

Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.

Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa

Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.

Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.

Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.

Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.

Sincerely,

SYLLOGIST!
Nna uhakika wewe ni tajiri, mtu masikini kama mimi muda wote tunahangaika kuzisaka hatuna muda na sijui mtu mweusi
 
Kasema kweli kwani uongoo Nakupa mfano wa UMEME na MAJI na BARABARA toka baada ya kupata UHURU mwaka wa 60 Sasa nini kimefanyikaaa.Mukiambiwa ukweli muna kasirika mukiachwa munasema muna ogepewa huo ndio ukweli tulia dozi ikuingee.
Huo ndio mfano gani hapo?

Umeelewa kilichoandikwa au na wewe ulitaka kuweka dukuduku zako?

Dozi imekuingia wewe unaleta nye nye. Tulia
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima

Na...

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari

Mhe. Nape Moses Nnauye.

Wasalaam,

Poleni kwa kazi.

Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.

Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.

Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.

Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.

The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.

Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.

Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.

Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.

Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.

Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.

Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa

Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.

Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.

Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.

Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.

Sincerely,

SYLLOGIST!
Well said 🙏🙏🙏
 
Mimi huwa natazama positive katika negative , siwezi kuangalia MTU kasema nini Ila uwa naangalia kwanini kasema hivyo

MTU mmoja anaweza kufanyiwa ukatili na MTU mmoja mweusi basi chuki ikaanzia hapo inkuhitaji akili za ndani kuelewa hili jambo


Sio kila tatizo lipo Kama lilivyo.
You're being narrow and selective in ur thinking, explore bigger scale, narrow, macro and micro thinking. Broadly hio kauli sio njema, he should have specifically said some of them have persistently exemplified that on certain issues with particularity or in a glocalized situation.
 
Nadhani badala ya kulalamika na kutumia maneno ungeshauri watu waoneshe ubinadamu wao kwa matendo
 
Back
Top Bottom