Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Ndiyo mtu mweusi siyo binadamu kamili hawezi kujisimamia ni mtu anaehitaji huruma kila sikuKwa hio na wewe unakubari?
Usije ukafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mtu mweusi siyo binadamu kamili hawezi kujisimamia ni mtu anaehitaji huruma kila sikuKwa hio na wewe unakubari?
Usije ukafuta
Unajiongelea wewe au wewe ni Mdosi?Ndiyo mtu mweusi siyo binadamu kamili hawezi kujisimamia ni mtu anaehitaji huruma kila siku
Ati. Vitu ambavyo havina maana.
Kwa mantiki hiyo hili suala halina maana?
Sasa unafanya nini hapa na hayo maguvu yote kwenye vitu unavyoona wewe kuwa havina maana. Nini hicho kinacho kubugudhi?
Kwamba halina msingi au halina maana?
Wewe umeshwahi kuleta jambo gani au mambo gani unayoyadai ni ya msingi hapa Jukwaani,Daktari?
Anacheza ule mchezo wa "whack-A-Mole"Tatizo unazunguka sana, wewe nenda straight to the point
Mtaje jinaWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima
Na...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari
Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wasalaam,
Poleni kwa kazi.
Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.
Kuna Daktari mmoja(sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.
Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.
Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.
The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.
Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.
Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.
Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.
Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.
Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.
Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa
Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.
Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.
Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.
Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.
Sincerely,
SYLLOGIST!
Wewe endelea kukwepa hoja.Tunabidi kujikita kuisadia serikali kupata maendeleo na kuishauri mambo yenye kujenga
Wewe endelea kukwepa hoja.
Binafsi tayari nimesha jikita kuisaidia serikali kwa mambo ambayo yanaathiri Jamii na hususani Vijana..
Hayo mambo unayodai yanajenga, hayajengi, hakuna Dkt yeyote yule mwenye uelewa wa Saikolojia ya watu ambaye anaweza kutamka matamshi kama yale halafu aseme yanajenga.
Sidhani kama unaipatia taaluma ya Udaktari haki na heshima inayostahili, unless, of a cognitive dissonance inayonekana hapa Hujengi mkuu.
Kusema mtu mweusi sio binadamu, ni mtizamo hasi.Mimi huwa natazama positive katika negative , siwezi kuangalia MTU kasema nini Ila uwa naangalia kwanini kasema hivyo
Aisee. Nitakuachia hapo Daktari.MTU mmoja anaweza kufanyiwa ukatili na MTU mmoja mweusi basi chuki ikaanzia hapo inkuhitaji akili za ndani kuelewa hili jambo
Sio kila tatizo lipo Kama lilivyo.
Hahahaha 😂Ukipitia Avatar yako inamajibu , pity issue amabazo ni negative zinapewa nguvu kubwa kuliko mambo ya kujenga.
Nna uhakika wewe ni tajiri, mtu masikini kama mimi muda wote tunahangaika kuzisaka hatuna muda na sijui mtu mweusiWaziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima
Na...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari
Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wasalaam,
Poleni kwa kazi.
Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.
Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.
Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.
Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.
The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.
Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.
Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.
Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.
Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.
Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.
Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa
Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.
Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.
Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.
Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.
Sincerely,
SYLLOGIST!
Unakubari! Kweli mtu mweusi ni shidaKwa hio na wewe unakubari?
Usije ukafuta
Huo ndio mfano gani hapo?Kasema kweli kwani uongoo Nakupa mfano wa UMEME na MAJI na BARABARA toka baada ya kupata UHURU mwaka wa 60 Sasa nini kimefanyikaaa.Mukiambiwa ukweli muna kasirika mukiachwa munasema muna ogepewa huo ndio ukweli tulia dozi ikuingee.
Ahsante Mkuu.Nna uhakika wewe ni tajiri, mtu masikini kama mimi muda wote tunahangaika kuzisaka hatuna muda na sijui mtu mweusi
Well said 🙏🙏🙏Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima
Na...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari
Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wasalaam,
Poleni kwa kazi.
Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.
Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.
Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.
Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.
The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.
Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.
Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.
Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.
Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.
Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.
Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa
Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.
Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.
Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.
Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.
Sincerely,
SYLLOGIST!
Mapambano yanaendelea.Well said 🙏🙏🙏
You're being narrow and selective in ur thinking, explore bigger scale, narrow, macro and micro thinking. Broadly hio kauli sio njema, he should have specifically said some of them have persistently exemplified that on certain issues with particularity or in a glocalized situation.Mimi huwa natazama positive katika negative , siwezi kuangalia MTU kasema nini Ila uwa naangalia kwanini kasema hivyo
MTU mmoja anaweza kufanyiwa ukatili na MTU mmoja mweusi basi chuki ikaanzia hapo inkuhitaji akili za ndani kuelewa hili jambo
Sio kila tatizo lipo Kama lilivyo.