Barua ya Wazi kwa Dkt. Dorothy Gwajima na Nape Nnauye

Barua ya Wazi kwa Dkt. Dorothy Gwajima na Nape Nnauye

Kwani uongo, we tizama kwa undani na umakini jamii zetu watu weusi, kuna majambo utayabaini.
Kiongozi kabisa linasema sijui muhamie burundi, mpige mbizi, mle nyasi ndege ya raisi lazima inunuliwe, huku chalamila nae sijui sukari imefanyaje, jamii hiyo imefanyiwa vitu hivyo vya ajabu na aibu kwa zaidi ya milongo 5, lakini ipo ipo tu, sasa we unadhani watu hao wapo sawa, mie naanza kuamini watu weusi tuna matatizo kwa ndonga zetu
We toka uchaguzi wa vyama vingi uanze mpaka mwakani itakuwa ni miaka 30, kwa miaka yote hiyo mambo ni yale yale kudanganywa na mifuko ya sukari, tisheti etc, kisha kwa miaka mi5 mfululizo watatufanyia mambo ya hovyo mpaka uchaguzi, wanajikomba nasi tulivyo hatuna akili tunakombeka.
Weusi ni kama lana fulani hivi. Niamini mimi.

Halafu kuitwa tumbili mnalalamika wee, kuna mambo ya msingi kuliko hayo, umeme mtihani, sukari changamoto, gharama za maisha zimepanda kufuru ya mungu.
My friend life is in perspectives, don't be conclusive and assuming your ideas, thinking and oppions are final and inclusive. The word diversity is real and healthy. Rethink
 
We una uhakika gani na mimi miongoni mwa watu weusi
jibu swali langu kisha ntakujibu, in ur narrative you set urself in an inclusive context and content when you pointed a political construct to do with leaders especially the Tanzania context
 
Kusema mtu mweusi sio binadamu, ni mtizamo hasi.

Mathlani wewe ndio umesema hayo, unataka kuiambia kadamnasi kuwa hayo uliyoyasema ni hasi na hivyo basi tuyachukulie mtazamo wako kama ni Chanya? Kivipi?

Au kwamba uliyoyasema ni Chanya, ila wengine ndio wanayoona ni hasi?

Aisee. Nitakuachia hapo Daktari.

Naomba po Nishughulikie mengine, tutafungua mjadala, kwani hapa ilikuwa ni sehemu ya Barua.

🙏
You sound good with desirable and mature mind
 
Wewe n
My friend life is in perspectives, don't be conclusive and assuming your ideas, thinking and oppions are final and inclusive. The word diversity is real and healthy. Rethink
Wewe ndio unahitaji kufikiria upya huenda ukabadili mtizamo wako..

Halafu ni ushamba mwingine, komenti nimetoa kwa kiswahili, wewe unaenijibu unajibu kwa KIINGLISHI una uhakika gani mie kiinglish kinapanda, hili nalo ni tatizo la mtu mweusi

เป็นคนงี่เง่า ลองคิดดูใหม่😂🤣
 
Wewe n

Wewe ndio unahitaji kufikiria upya huenda ukabadili mtizamo wako..

Halafu ni ushamba mwingine, komenti nimetoa kwa kiswahili, wewe unaenijibu unajibu kwa KIINGLISHI una uhakika gani mie kiinglish kinapanda, hili nalo ni tatizo la mtu mweusi

เป็นคนงี่เง่า ลองคิดดูใหม่😂🤣
Karibu kwenye Baraza Kuu la chama cha Wakataa Kuoa na Kataa Ndoa 🤣🤣🤣
 
kwani si amesema ukweli, tatizo liko wapi? mezeni ukweli mchungu acheni kulalamika
 
Huyo Dr. inawezekana yupo sawa. Ukiangalia hao unaowaomba wachukue hatua unaona wako timamu?
 
jibu swali langu kisha ntakujibu, in ur narrative you set urself in an inclusive context and content when you pointed a political construct to do with leaders especially the Tanzania context
Hakuna jibu lingine zaidi ya nililokupa
 
Karibu kwenye Baraza Kuu la chama cha Wakataa Kuoa na Kataa Ndoa 🤣🤣🤣
Mie mtizamo wangu upo kwenye ndoa, nishaoa, sijaichoka ndoa, sina dalili ya kuichoka, naenjoy maisha.
 
Back
Top Bottom