Barua ya Wazi kwa familia ya Ali Hassan Mwinyi

Barua ya Wazi kwa familia ya Ali Hassan Mwinyi

Ile haikunona kama hii, hajiuzulu mtu hapa wagombea watatu (3) three candidates kutoa familia moja halafu wewe unaleta mambo ya uungwana na dini! Wanaokufa watazaliwa wengine.
 
waziri wa ulinzi ndiye mgombea urais

what do you expect.!
 
Nineona zile picha za watu walivyo uwawa, hadi moyo wangu ukapata simanzi.
Hiiyote ni kwasababu tu yaulafi wa madaraka.
 
Amani, Sheria & taratibu mzivunje wenyewe then mtake huruma ya familia ya Mwinyi!?!

Fuateni sheria na taratibu ova![/SIZE]
 
Jiwe linapambana na risasi, maajabu ya zenji...acha wawalaze tu maana hakuna namna, wewe unamuona askari ana ak 47 na wewe una kipande cha tofari, unaambiwa usirushe hilo tofari lako maana wenzako wapo kazini..."mwana kulitafuta mwana kulipata" lazima wakulaze tu!
 
Nineona zile picha za watu walivyo uwawa, hadi moyo wangu ukapata simanzi.
Hiiyote ni kwasababu tu yaulafi wa madaraka.
Mimi niliona video ya vijana wakiwapopoa mawe askari wenye uniform, bendera ya taifa na ak 47, nikasema hiiiii! ningekuwa mimi hapa nawamwaga medulla ablongata zao hawa wajinga waliotumwa na maalim seif,
 
Kama Wazanzibari watamchagua Mwinyi nani wa kukataa ama kupinga uchaguzi wa wengi?
 
MIMI NAONA BORA TUFUTE VYAMA VYA UPINZANI TUBAKI NA CCM.
NA KUSIWE NA UCHAGUZI.
NI mateso kwa kweli.
Polisi wanapiga tu mabomu ya machozi mitaani,kutishana na kupeana presha zisizokuwa na sababu.
Bora mfute uchaguzi tujue MOJA
 
Mzee Mwinyi unataka nini tena katika dunia hii ambacho bado hujakipata?

Laiti ungemkanya mwanao aachane na hii dhulma, damu za wananchi wasio na hatia wa Zanzibar zisingemwagwa kama tunavyoshuhudia leo!

Leo kweli Mzee Mwinyi na mwanao mnataka Wazanzibar wawalaani kama walivyomlaani Mkapa kwa mauaji aliyowatendea mwaka 2001?
Mimi naamini Hussein Mwinyi kama yeye mtu mzuri ila bahati mbaya sana yuko katika kundi baya ila hii haimfanyi kuwa msafi na kama anajali mema yake nakumuogopa Allah kwa ajili ya nafsi yake basi mambo mawili angeyafanya, kujitoa katika uchaguzi kama anadhani dhulma imefanyika au kuomba wawaachie wananchi wachague kwa haki na akishinda basi atakuwa na amani ila akijuwa dhulma imefanyika basi hawatakuwa na amani na imewatia doa kubwa kama familia ya mzee Mwinyi, watu hawatasahu hili duniani na akhera. hapa ndio utajuwa imani za kweli na imani za uongo. majaribio haya
 
Nini cha kuvaa ili kujikinga dhidi ya mabomu ya machozi na aina nyenginezo za moshi wa kemikali wakati wa maandamano?

1. Vitambaa vya uso: iwe mitandio au bandana kubwa za kutosha kujifunika kutoka pua hadi kidevu.

2. Hakikisha unavaa kinga kwenye macho iwe kwa kutumia miwani ya jua, au ya kuogelea nk.

3. Hakikisha unafunika ngozi yako yote kadiri iwezekanavyo kwa kuvaa suruali ndefu na shati/fulana zenye mikono mirefu.

4. Vaa viatu madhubuti na ambavyo unaweza kuendea navyo mbio.

5. Vipuri vya masikio (earplugs) ili kusaidia kupunguza sauti ya mabomu na risasi.

Nini cha kuchukua wakati wa maandamano?

1. Maji kwenye chupa yako ya plastiki utakayotumia kuosha ngozi yako au macho.

2. Mkoba wa kuvaa mgongoni utakaoweza kuweka vitu muhimu kama chupa ya maji, kitambaaa, vaseline, nk.

3. Kitambulisho au kitu cho chote kinachoweza kutoa taarifa zako wakati wa dharura.

3. Kuchukua simu ya smartphone itakayokuwezesha kuwasiliana na kurekodi kila matukio yote ya uvunjifu wa amani yanayofanywa iwe na polisi, vikosi, majeshi nk.
 
The Mwinyi's of this world are obviously the reason why Tanzania may end up being a grooming ground for the likes of Bokoharam, Alshabab, etc in my beloved country Tanzania and region at large.

Sad.
 
Nineona zile picha za watu walivyo uwawa, hadi moyo wangu ukapata simanzi.
Hiiyote ni kwasababu tu yaulafi wa madaraka.
Mkuu, unaweza nieleza kwa kifupi nini hasa kimesababisha mauaji hayo?
 
Hii laana imwendee moja kwa moja Maalim Seif kwa kuhamasisha watu waandamane ili yeye apate madaraka.
Kifupi anataka kuingia madarakani kwakutumia damu za walalahoi wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom