Barua ya Wazi kwa familia ya Ali Hassan Mwinyi

Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
 
Mzee Mwinyi hana kosa lote kuhusu hili suala,ni kosa la madhalimu wa CCM
Kosa analo kwa kuimba mapambio kwa watawala wa CCM huko majukwaani wewe umemsikia na mimi nimemsikia na wote tumemsikia na Allah pia amemsikia yote hayo ili mwane abebwe kwa mbeleko utawala wa Zanzibar
 
Hebu ripotini bas kinachoendelea huko maana mie naona amani tu..kama kuna shar semeni na ushahid
 
Tusiwachague akina Mwinyi tena wametawala mda mrefu na hakuna mabadiliko.
 
Kwani familia zao zinaishia wapi kwa nn tunalia lia hapa inabidi tulie ndugu zake naye wakamatwe ili maumivu yawe reciprocal
 
Familia ya Mwinyi haihusiki. Wazanzibari watampigia kura au kutompigia kura Hussein mwinyi na siyo familia ya Mwinyi. Ungeeleza namna gani hii ni dulma dhidi ya Wazanzibari kwa kutumia rational arguments na siyo arguments based on emotions and/or religious reasoning.
 
Tulia mnyolewe, Zanzibar imekombolewa kwa damu na jasho. Hatutaki utumwa urudi. Mwambie babu yenu alee wajukuu
 
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu.Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Mmewachochea vijana wa watu waende kulivamia gari lililo beba vifaa vya NEC tena gari linalo lindwa na polisi alafu mlivyo wanafiq wameumia mna anza kuilaumu serikali.
 
Mmewachochea vijana wa watu waende kulivamia gari lililo beba vifaa vya NEC tena gari linalo lindwa na polisi alafu mlivyo wanafiq wameumia mna anza kuilaumu serikali.
Wapuumbaaaf Sana hao..wametumwa na wakoloni waje watugawanye ili waweze kututawala...wanaona wivu maendeleo tunayoyafanya
 
Zanzibar ndo chanzo cha mitandao kuzimwa. Tungeyaona ya zanzibar basi bara tungeitikia
 
Ukubwa ni mtamu jamani, mwinyi hawezi sikia lolote kwa sasa ilimradi mwanae ashinde tu. Hussein mwenyewe alikua anasubiri miaka yote hii halafu leo mnataka aachie. Zanzibar ina wenyewe bora mtulizane dawa iingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…