britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nasema kuanzia jana na hadi mwisho wa mkataba wako kamwe sitakuwa mshabiki wako kabisaaa
Ujinga na upumbavu ulionesha jana kwa makusudi yako ndiyo yameipa timu aibu na kutolewa kipumbavu wakat uliona kabisa mbinu yako ya kumchezesha Fellaini na Matic haikuzaa lolote ila ukakausha kwa kiburi chako wakati nje yupo POGBA NA MATA
Kwenye press unaulizwa swali, wewe kwa dharau unajibu "Man utd kutolewa uefa sio kitu kigeni kwani alitolewa na Real Madrid na Fc Porto nikiwa kama kocha"
Umeshindwa kumpa nafasi dogo Mctominay kwani alionesha uwezo mkubwa katika gemu kubwa nyingi tu EPL,??? Na huwa anamsaidia aka ake Matic , sasa Felain alikuwa anampa tu kazi mwenzie lakini ukakausha,...
Anthony Martial angeweza kumsaidia Lukaku,...mimi binafsi sikuona haja ya kuwaanzisha wote Rashford na Lingaard kwani wakianzaga wote huwa kuna hali fulani ya utoto na kutofaham umuhimu wa gemu kwa siku hiyo...ushahid tunao
Mimi ni shabik nguli sana wa Manchester united kabla hata sijakufahamu ukiwa huko Fc Barcelona kocha msaidiz chini ya Van Gaal ,
Nimeandika hii post kwa hasira na uchungu sana...,natamani ungeweza kuipata na kuisoma....NIMEGUNDUA WEWE HUNA MAPENZI NA TIMU YETU WEWE....NAOMBA SANA AKINA ED WOODWARD WASHTUKIE HII ISHU KUHUSU WEWE
Nalazimika kuwaamini mtu kama PAUL SCHOLES kumbe huwa anakusema ukweli kuhusu wewe
#I WILL NEVER SUPPORT YOU BUT I WILL SUPPORT YOU
Ujinga na upumbavu ulionesha jana kwa makusudi yako ndiyo yameipa timu aibu na kutolewa kipumbavu wakat uliona kabisa mbinu yako ya kumchezesha Fellaini na Matic haikuzaa lolote ila ukakausha kwa kiburi chako wakati nje yupo POGBA NA MATA
Kwenye press unaulizwa swali, wewe kwa dharau unajibu "Man utd kutolewa uefa sio kitu kigeni kwani alitolewa na Real Madrid na Fc Porto nikiwa kama kocha"
Umeshindwa kumpa nafasi dogo Mctominay kwani alionesha uwezo mkubwa katika gemu kubwa nyingi tu EPL,??? Na huwa anamsaidia aka ake Matic , sasa Felain alikuwa anampa tu kazi mwenzie lakini ukakausha,...
Anthony Martial angeweza kumsaidia Lukaku,...mimi binafsi sikuona haja ya kuwaanzisha wote Rashford na Lingaard kwani wakianzaga wote huwa kuna hali fulani ya utoto na kutofaham umuhimu wa gemu kwa siku hiyo...ushahid tunao
Mimi ni shabik nguli sana wa Manchester united kabla hata sijakufahamu ukiwa huko Fc Barcelona kocha msaidiz chini ya Van Gaal ,
Nimeandika hii post kwa hasira na uchungu sana...,natamani ungeweza kuipata na kuisoma....NIMEGUNDUA WEWE HUNA MAPENZI NA TIMU YETU WEWE....NAOMBA SANA AKINA ED WOODWARD WASHTUKIE HII ISHU KUHUSU WEWE
Nalazimika kuwaamini mtu kama PAUL SCHOLES kumbe huwa anakusema ukweli kuhusu wewe
#I WILL NEVER SUPPORT YOU BUT I WILL SUPPORT YOU