Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

Barua ya wazi kwa maaskofu wa TEC: Baba zetu tuokoeni, nchi yetu inauzwa Uhuru wetu unamong'onyolewa

Unapoongelea kubadilisha sheria ni kuendelea kuanika uelewa wako mdogo wa suala hili kwa ujumla wake. Hakuna sheria iliyobadilishwa naona wanasheria magumashi kina Madeleka wamewaingiza mkenge na mkaingia mazima.
Wewe ni kiazi mbatata. Hata hili unajifanya hulijui?
Iliyo baki sasa ni kukujibu kipumbavu tu kama unavyotaka mwenyewe, kwa sababu umekwisha elezwa kila kitu.
Usidhani nitakuacha pamoja na upumbavu wako huu wa kurudia rudia yale yale ya kipumbavu.

Kwa hiyo elewa, sasa ni uhuni tu, hakuna cha kujibu lolote la maana unapo 'quote' maandishi yangu.
 
Kagame alijenga ICD ili afaidike na deal ya DP World, hana kosa lolote tatizo ni uelewa wetu nadhani.

Hakuna mtu mwenye uwezo wala kiburi cha kuweza kuigawa bandari ni akili za kitumwa kuamini hivyo.

Tanzania inakwenda kufaidika kwa maana ya ongezeko la mzigo utakaoshushwa pale TPA linakwenda kuongeza kile kinachokusanywa na TRA, kikiongezeka hicho kinachokusanywa maana yake miradi mingi ya ndani inakwenda kutegemea pesa zetu wenyewe.

Hii ni biashara kubwa sana tofauti na wenye hulka za kijamaa wanavyoiangalia na kuishia kuja na mawazo tofauti kabisa na lengo la uwekezaji pale bandarini.
Haya ni majibu ya kipumbavu. Nenda katafute mengine, halafu urudi hapa kueleza upya.
 
Mpumbavu ni wewe unayetoa mapovu bila ya kuelewa hata unaandika kitu gani. IGA ile ndio imesababisha biashara ya Tanzania na Dubai iweze kufanyika.

Mpimbavu ni wewe unayeelezwa mara milioni kitu kile kile na bado huelewi.
Sasa hivi nimeamua twende kivingine; kwa hiyo jiandae kwa safari mpya.
Unapo ni-'quote' tu na kuweka uchafu wako kwenye niliyo andika, nakujibu kihuni tu kama unavyo taka mwenyewe.

Wakati wa mjadala umekwisha pita. Unarudia yale yale ya kipumbavu, sasa utapata majibu ya kipumbavu vilevile.
Sitakuacha ng'o, elewa hivyo.
 
Moyo unakuuma pole sana, huwezi kushindana na serikali ni lidude fulani likuuubwa.
Sina muda tena na mipasho yako ya kipuuzi. Moyo uniume/usiniume hilo siyo shauri lako, na hiyo serikali haipo kukufurahisha wewe na genge lenu. Hiyo ni serikali ya waTanzania. Siku itafika mtafurumshwa na serikali itaendelea kuwepo ikiwatumikia waTanzania, siyo genge la wahujumu nchi.
 
Sina muda tena na mipasho yako ya kipuuzi. Moyo uniume/usiniume hilo siyo shauri lako, na hiyo serikali haipo kukufurahisha wewe na genge lenu. Hiyo ni serikali ya waTanzania. Siku itafika mtafurumshwa na serikali itaendelea kuwepo ikiwatumikia waTanzania, siyo genge la wahujumu nchi.
SSH amethibitisha ni kiongozi mwenye msimamo kwa kutosikiliza wapiga kelele wanaojificha kwenye kivuli cha uzalendo.

Hapa TPA mafisadi wamekuwa wakiiba kadri wanavyojisikia, kwa kigezo cha huo huo uzalendo.

Walioiba pesa za EPA na majengo pacha ya benki kuu ni wazalendo ambao unapoimbwa wimbo wa taifa mikono yao inawekwa vifuani na macho wanafumba wakijifanya wanaimba kwa hisia kali, kumbe ni mafisadi wale wale.

Uzalendo unaishi moyoni mwa mtu kuliko kile anachojifanya kukionyesha mbele ya watu, mara nyingi ni unafiki tu.
 
SSH amethibitisha ni kiongozi mwenye msimamo kwa kutosikiliza wapiga kelele wanaojificha kwenye kivuli cha uzalendo.

Hapa TPA mafisadi wamekuwa wakiiba kadri wanavyojisikia, kwa kigezo cha huo huo uzalendo.

Walioiba pesa za EPA na majengo pacha ya benki kuu ni wazalendo ambao unapoimbwa wimbo wa taifa mikono yao inawekwa vifuani na macho wanafumba wakijifanya wanaimba kwa hisia kali, kumbe ni mafisadi wale wale.

Uzalendo unaishi moyoni mwa mtu kuliko kile anachojifanya kukionyesha mbele ya watu, mara nyingi ni unafiki tu.
Hizi takataka zako sasa basi. Hata kusoma sisomi. Nitazijibu tu vyovyote itakavyonifaa nifanye wakati wowote.
Hii hapa ni takataka.
Tutakwenda tu, hivi hivi, hadi huko utakakotaka kwenda. Ukiweka tu takataka mbele ya nilicho andika utajibiwa kwa takataka nyingine inayostahili.
Kamwe sitakuacha.
 
Back
Top Bottom