Barua ya wazi kwa ndugu, jamaa na watanzania kwa ujumla baada ya kupata vitisho vya kuniteka, kuniuwa na kunipoteza

Barua ya wazi kwa ndugu, jamaa na watanzania kwa ujumla baada ya kupata vitisho vya kuniteka, kuniuwa na kunipoteza

Umefanya vyema kujihami na kutoa taarifa.....

By the way, shida hasa ya Rais Samia na chawa wake ni nini maana mimi huwa nakusikiliza sana unapofanya ukosoaji wa serikali....

Honestly, huwa sioni shida yoyote katika matamshi yako hata waanze kutafuta roho yako....

Tatizo la viongozi wa serikali ya Magufuli na hii ya Samia na CCM kwa ujumla ukiwakosoa kwa kutaja mapungufu yao, tafsiri yao moja kwa moja eti ni kumtukana Rais Samia, kumdhalilisha na kuidhalilisha serikali ambayo infact huwa tayari ilishajidhalilisha na kujitukana yenyewe pamoja na Rais wake...!

Sikiliza bwana mdude Nyagali, tumia medani ya kivita kuwakwepa. Usikae kama kuku aliyenyeshewa mvua. Watakukamata na kukuua kweli. Huyu mama ameamua anywe damu za watu ili abaki madarakani tena ktk nchi isiyo yake ya Tanganyika. Kwao ni Zanzibar....

Tafuta namna ya kuwakwepa. Kuwa mwangalifu. Si mbaya kama unaweza kuvuka mpaka na kwenda nchi jirani kuokoa uhai wako...

Kumbuka kuwa ku - retreat sio ku - surrender....
Pole sana ndugu..watesi wako,walaaniwe....Mungu akufanye uwe imara.Na lolote baya,lishindwe kupata😭🤔
 
Shushushu ampe taarifa domokeka ambae hana cheo, na wala hakuwahi kuwa hata na cheo chochote huko chamani kwake!!

Ama kweli upumbavu ni ugonjwa unaoandama vijana wengi Tanzania. Acha aendelee kuwadanganya wapumbavu wake tu huku mitandaoni.
Chief huko south mambo ya kutekana na kuuana kisa kuikosoa serikali huko yapo?
 
Sehemu salama ya mtu kama huyu ni kukamatwa na kuwekwa ndani mpaka huyo msamalia mwema aliyemtonya amtaje na adhibutishe tuhuma hizi. Mnachafua nchi aisee. Hivi nchi ikichafuka watoto wenu, wajomba, nk wataishi wapi? Hamuoni yanayotokea gaza, ukraine, lebaboni?? Common
Brain 🧠 your eyes "Ben saa8 aliandika thread humu na mpaka kuweka namba ya simu iliyokua Ina mtumia meseji za kutishiwa kuuwawa"

Leo Ben saa8 yupo wap ?serikali mpaka leo hii ipo kimya?! Na Haijasema chochote.

Huo ni mfano mmoja na ipo mifano mingi TU ya ambao wamewai kiambiwa waache wanacho kufanya na mamlaka.

SEMA KINGINE.
 
Stick to your choices and beliefs....All the best !!!
 
Mtekaji anapojaribu kujinasua ulimteka mlinzi wa dokta slaa!
Mimi ni CCM na sijawahi kuwa CDM hata kuwaza kuhamia huko.

Kama mimi ni mtekaji basi seems CCM ina watekaji wengi sana kiasi wengine mnatuongiza kwenye kapu la samaki aliyeoza ilhali sie ni watanashati
 
Mimi ni CCM na sijawahi kuwa CDM hata kuwaza kuhamia huko.

Kama mimi ni mtekaji basi seems CCM ina watekaji wengi sana kiasi wengine mnatuongiza kwenye kapu la samaki aliyeoza ilhali sie ni watanashati
Zambi zimekuelemea!
 
Back
Top Bottom