Barua ya wazi kwa Paul Makonda

Mimi Mkrusto Mwenyezi Mungu akubariki sana Kila ulifanyalo lifanikiwe kwa kusimama upande wa Mwenyezi Mungu asiyependa Ushoga akujalie uhai Na miaka mingi wewe Na uzao wako Na wakutakiao mabaya iwe kwa siri au dua mbaya kwako Na uzao wako wafe Bila kuugua
 
Aamen!
Duh! Mkuu Leo umeniombea dua kubwa sana. Yaani kubwa mno. Ubarikiwe Mkuu, huu ndio utanzania tunaoutaka na hizi tofauti za kidini tujue vya kuzi-handle.

Heshima kwako mkuu
 
nadhani ungemshauri bashite kwakuwa naye ni mtuhumiwa wa huo ushoga sasa ni kwann asituoneshe mfano kwa kukubali kupimwa marinda...ikumbukwe pia uongozi ni kuonesha njia!.
Hii ni hoja yako mkuu. Wewe pia unaweza kumshauri. I hope we are all professionals here.
 
Aamen!
Duh! Mkuu Leo umeniombea dua kubwa sana. Yaani kubwa mno. Ubarikiwe Mkuu, huu ndio utanzania tunaoutaka na hizi tofauti za kidini tujue vya kuzi-handle.

Heshima kwako mkuu
Kwenye hili la vita ya ushoga tuko pamoja Na naomba Sala kuwa kama kuna adui yeyote wa chochote ukifanyacho awe wa siri au wazi kwako Na uzao wako awe mwanga wa mchana au usiku akutakiaye mabaya wewe Na uzao wako asifanikiwe akutakiayo mabaya yamrudie mara Mia kwake Na uzao wake kwa kitendo chako cha kusimama Na mwenyezi Mungu kupinga ushoga kama kuna lolote limekwama kwenye maisha yako Na uzao wako Sala yangu Mwenyezi Mungu awakwamue haraka hapo mlipokwama
 
Aamyn aamyn
 
Ahsante sana mkuu
 
Hapana mzee. Hata watu wasiomuunga mkono japo kimoyomoyo wanajua Makonda alikuwa sahihi kwenye hili
Sasa nyie na kiki zenu za kitoto tuwaeleweje?
Mashoga nao niwadamu kama ninyi.Ushoga ni ulemavu Maanayake kunawatu wamelemaa hadi sura zimeishaenda huko.
Sasa mnaitisha kampeini hili hiweje? mkiwakamata mnawafunga je mnamagereza yakutosha?

TUNAHITAJI KATIBA ITAKAYOZITAMBUA SHERIA ZA DINI
 
Anapofeli Bashite,ni Approach ya hayo matatizo, niamini waliopiga kelele wengi walimpigia kisa Approach yake.
Huwezi tetea haki kwa kuvunja haki ya Wengine..utaratibu wa kutaja majina hovyo na vitu kama hivyo ilikua ji tatizo.
Haki ya mmoja inaishia inapoanza ya mwingine.
USHOGA NI USHETANI, wala tusipepese macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…