Barua ya wazi kwa Rais: Mhesimiwa, Mungu ametusikia sasa na wewe tusikie

Inaelekea hujasoma barua nzima, rudia tena kusoma, utaziona ziko clear kama mwezi mpevu
 
Kwamba Maalim (rip) au hata mshirika wako wa karibu kabisa kwenye doctrine yako ya hofu Balozi Kijazi (rip) wamefeli kwa sababu ya hofu? Mbona itakuwa ni kuwacheza shere wahanga wa ugonjwa huu?

Wahanga wote wameshindwa kupumua! Kupumua = hofu ?

Labda kama wanadhani tu watoto wadogo:

 
Hospital ya uhuru Dom kuna ze nyungus? Nafuatilia michango yako kama umekengeuka

Nimekujibu kwenye hiyo Id yako nyingine. Soma huyo kiazi mwenzako niliyemquote kaandika nini, na nimemjibu nini.
 
Nimekujibu kwenye hiyo Id yako nyingine. Soma huyo kiazi mwenzako niliyemquote kaandika nini, na nimemjibu nini.
Umefanya nicheke bure. Kwa hiyo wewe ni mtalaamu wa id za Jf? Mbona unakwama?
 
Umenena vema. Ni jibu sahihi kwa swali la Rais - wapi tumekosea.
 
Nyungu ni upuuzi, nyungu siyo tiba. Nyungu haina mchango wowote positive katika kupambana na corona.

Nyungu wanaweza kupiga watu kama fashion mpya ya kuwafurahisha waganga wa kienyeji lakini siyo kuambana na corona. Kasome jinsi corona inavyoshambulia halafu utaona nafasi ya nyungu katika kuhatarisha maisha ya mgonjwa.

Nawaambieni ndugu zangu:

USITHUBUTU KUMWEKA MGONJWA WAKO KWENYE NYUNGU, UTAHARAKISHA SAFARI YAKE YA KUELEKEA KABURINI. ANAYEHAMASISHA NYUNGU KWA WAGONJWA WA CORONA, NI MUUAJI.
 
Huyo mtu ni mtu wa ajabu kuwahi kupewa nafasi aliyonayo.Kuwa mtu wa ajabu ni jambo la kawaida.Ila kuwa mtu wa ajabu mwenye madaraka ni hatari sana.Kuna usemi wa kuwa kuna watu elimu haijawasaidia hususani kwenye kufikiria kama wasomi.Miongoni mwao ni huyu mtesi wetu.Bora hofu ya Corona kuliko hofu waliyonayo watendaji wako ya kuogoba kutinduliwa kwa kuumwaga ukweli kuwa corona tunayo
 

Anayeamini nyungu sio muuaji tu, bali ni mshirikina wa nguvu.
 



Eti kwamba walikokuwa lockdown wamezifungua hali iko pale pale. Habari hizi huwa mnadanganyiana Lumumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…