Walioweka lokidowni wote wamezifungua na bado tatizo lipo,mnapomsikiliza Raisi mengine naona yanawapita na mnachagua yale mliyotulia nayo,
Mnataka Raisi afanye au aseme kitu gani ? Akili zenu zipo wapi ? afunge mashule ? Afunge safari za kuingia na kutoka mkoa kwa mkoa,wilaya kwa wilaya kijiji kwa kijiji mtaa kwa mtaa ??
Kuna shemu mmekosea mliambiwa habari ya nyungu mmeachana nayo,mbona wimbi la mwanzo wanancho nyote mlikuwa mnapiga nyungu,mlipozoea na kuona mafanikio mkawacha,sasa Rais akisema yeye kila siku anapiga nyungu mtasemaje ? Na tunamuona anachanganyika na watu kila aina.
Nyungu ni zoezi endelevu.