Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Kwanini mkuu.
ulicho kiandika kwa watoto wa wakulima hakiwezekani....wazo hilo angelitoa mtu kama Riziwani kikwete....au janeti magufuli lingeonekana la maana la kwa sisi watoto wa wakulima kuandika barua viongozi wa juu...ni kujisumbua tu...na kumaliza wino..

kwenye nchi zetu za kiafrika ukiona kiongozi yeyote anafanya jambo huwa awafanyi kwa maslahi ya nchi zao bali kwa maslahi ya matumbo yao.....alisikika mlevi mmoja akizungumza
 
ulicho kiandika kwa watoto wa wakulima hakiwezekani....wazo hilo angelitoa mtu kama Riziwani kikwete....au janeti magufuli lingeonekana la maana la kwa sisi watoto wa wakulima kuandika barua viongozi wa juu...ni kujisumbua tu...na kumaliza wino..

kwenye nchi zetu za kiafrika ukiona kiongozi yeyote anafanya jambo huwa awafanyi kwa maslahi ya nchi zao bali kwa maslahi ya matumbo yao.....alisikika mlevi mmoja akizungumza
Rais wetu hayupo hivyo mkuu, labda maRais wa zamani zile ila sio huyu.

Hakuna asiye jua kwamba Rais Magufuli anathamini watu wa hali ya chini.

Kwa hiyo kauli yako haiko sahihi.
 
Rais wetu hayupo hivyo mkuu, labda maRais wa zamani zile ila sio huyu.

Hakuna asiye jua kwamba Rais Magufuli anathamini watu wa hali ya chini.

Kwa hiyo kauli yako haiko sahihi.
kama hayupo hivo kwenye familia yako kuna ata mmoja amepewa wizara aongoze...?
 
ulicho kiandika kwa watoto wa wakulima hakiwezekani....wazo hilo angelitoa mtu kama Riziwani kikwete....au janeti magufuli lingeonekana la maana la kwa sisi watoto wa wakulima kuandika barua viongozi wa juu...ni kujisumbua tu...na kumaliza wino..

kwenye nchi zetu za kiafrika ukiona kiongozi yeyote anafanya jambo huwa awafanyi kwa maslahi ya nchi zao bali kwa maslahi ya matumbo yao.....alisikika mlevi mmoja akizungumza
Hatupo kucheza mkuu, mimi mwenyewe nitakua kiongozi muda si mrefu nikirejea Tanzania.

Hivyo mjiandae, sera ya viwanda ndio mpango mzima.

Nitaungana na Rais Magufuli kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya Viwanda.

Mimi naona mifano ya huku niliko jinsi viwanda vinavyo operate.

Rais Magufuli ni mtu wa watu wote hata huku wanamsimulia kila kona.

Africa nzima wanamfahamu vilivyo kuwa ndiye Rais wa Africa.
 
Hatupo kucheza mkuu, mimi mwenyewe nitakua kiongozi muda si mrefu nikirejea Tanzania.

Hivyo mjiandae, sera ya viwanda ndio mpango mzima.

Nitaungana na Rais Magufuli kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya Viwanda.

Mimi naona mifano ya huku niliko jinsi viwanda vinavyo operate.

Rais Magufuli ni mtu wa watu wote hata huku wanamsimulia kila kona.

Africa nzima wanamfahamu vilivyo kuwa ndiye Rais wa Africa.
hongera Mungu akupe baraka, na mafanikio....unikumbuke kwenye ufalme wako
 
kama hayupo hivo kwenye familia yako kuna ata mmoja amepewa wizara aongoze...?
Familia yangu wapo wengi tu, wanachapa kazi na Rais Magufuli. Si hivyo watu wangu wa karibu nao pia wanachapa kazi na Magufuli. Mfano nadhani unamfahamu naibu wetu wa wizara ya michezo. Huo ni mfano mmoja.
 
Familia yangu wapo wengi tu, wanachapa kazi na Rais Magufuli. Si hivyo watu wangu wa karibu nao pia wanachapa kazi na Magufuli. Mfano nadhani unamfahamu naibu wetu wa wizara ya michezo. Huo ni mfano mmoja.
ndio maana nikakwambia hongera kamanda.....unikumbuke na mimi kwenye ufalme wako...mimi hata ukinipa ufanya usafi tu unanitosha kamanda
 
Mkuu usiogope hata wewe unaweza kuwa kiongozi sasa. Huu ndio muda sasa umefika chukua form gombea usiogope.
haaahaa....sina wazo hilo...siasa za maji taka siziwezi kabisa...labda nikianza kuzeeka ndio nitaikimbilia siasa ila kwa sasa ngoja nifanye mambo mengine sitaki kuja kudhalilika.
5.jpg
 
Sio kuchangishana bali kuuza shares kwa kila mtanzania ya hiyo trillion 7 gawa kwa wa Tz waliosajiliwa, mtu asiponunua inapitishwa round ya pili kwa walionunua hivyo hivyo mpaka zinapatikana hizo 7 trillioni
Serikali yetu haijawahi kufanya biashara yoyote kwa faida. Ukiritimba wa Serikali hauwezi kuendesha biashara.

Wazo la kuwekeza ni jema lakini siyo kwa kufanywa na Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yetu haijawahi kufanya biashara yoyote kwa faida. Ukiritimba wa Serikali hauwezi kuendesha biashara.

Wazo la kuwekeza ni jema lakini siyo kwa kufanywa na Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali sio itafanya biashara bali institution itakayoanzishwa ndio utakayo fanya hiyo shughuli .
Kutumika kwa serikali hapo mwanzo ni kama promoter of that business , baada ya kufanya tathimini ya vitu mbali mbali ikiwemo mahitaji ya resources hasa hasa mtaji
 
Serikali yetu haijawahi kufanya biashara yoyote kwa faida. Ukiritimba wa Serikali hauwezi kuendesha biashara.

Wazo la kuwekeza ni jema lakini siyo kwa kufanywa na Serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali sio itafanya biashara bali institution itakayoanzishwa ndio utakayo fanya hiyo shughuli .
Kutumika kwa serikali hapo mwanzo ni kama promoter of that business , baada ya kufanya tathimini ya vitu mbali mbali ikiwemo mahitaji ya resources hasa hasa mtaji
Mkuu nadhani amekuelewa, big up
 
Wazo lako zuri na inaonekana unaijua kemia basi upele umepata kucha hata mkuu wa nchi ni mkemia.
Ukichukua trillion saba ukigawa kwa idadi ya watanzania mil56 utapata jibu kila mtanzania anatakiwa achange 125,000 hapa kuna ugumu kidogo bro.
Labda matajiri wakubwa wajitolee kuchanga mahela yao halafu sisi wadogo tuongezee
Narudia tena wazo lako limejaa uzalendo na kimantiki sana kisayansi huhitaji kubezwa.
 
Back
Top Bottom