Barua ya wazi kwa Sheikh Mziwanda na Dr. Sule: Acheni kutetea dhulma dhidi ya Watanzania wenzenu

Hapo ndio utajua kuwa akili ya mtu mwenye Qur'an kichwani ni zadi kuliko za maprofesa wao wanaosahau kama kuku.
kukariri Quran ndio inakuwaje ni zaidi ya kila kitu ikiwa mambo ya kawaida tu masheikh wanatia aibu? Tangu lini mtu anaekariri akawa na akili?
 
Masheikh waliswekwa ndani na muislamu mwenzenu na wakaja kuachiwa na mkatoliki magufuli....ukifanya uovu unataka watu wakubebe? Mfano yule padri wa kule kagera hauoni wakristo wamemuacha tu ateseke na shutuma zake? Mtu anaekaririshwa hawi na akili
 
Actually, anachokifanya hakina utukufu wa Mungu. Watu kama hawa huwa sioni kama ni viongozi wa dini (watu wa mfano wa kuigwa kiimani na kimaadili). Hopeless kabisa!
 
Sule ni Teeth
 
Bakwata
Bakwata iwe inawatimua kabisa hao mashehena, wao sio chombo maalumu cha matamko, matamko yote ya kitaifa yawe yanatolewa na Bakwata, kuwaachia mashehena hao ni kuuchafua uongozi wa Bakwata mchana kweupe
Nao si ndiyo chombo cha wajinga?
 
Acha uwongo.

Tundu Lissu ndiye kinara wakutetea mashekh. Rejea mashekh na tuuma za ugaidi.
 
Asilimia 90% masheikh wetu wanaitwaga masheikh ubwabwa, wao wanawaza ngono na kula tu, na kias kikubwa watahubiri mambo ya majini na shirki, lakini kutoa ushauri wa maana kabisa sijawahi kuona,
Hao wote ni matapeli tu hawana usheh wowote....
Waongowaongo,maneno mengi tu,wamepita na upepo ule tu wa sahv tz mtu akiongea sana,lopolopo nyingi basi watu humuona ana akili 😄

Ova
 
Hao wote ni matapeli tu hawana usheh wowote....
Waongowaongo,maneno mengi tu,wamepita na upepo ule tu wa sahv tz mtu akuongea sana,lopolopo nyingi basi watu humuona ana akili 😄

Ova
Wanajivunjia heshima sana , halafu sio mashehe tu hata manabii, mitume uchwara nayo ndio hayohayo
 

..kwanza, Mashekhe walikamatwa na Ccm ambayo leo hii Sheikh Mziwanda anaitetea.

..Pili, vyama vya upinzani kwa nyakati mbalimbali viliwatetea Mashekhe waliokuwa magerezani.

..Wapinzani waliwatetea Mashekhe na wananchi waliyopotezwa kwa kutoa hoja bungeni. Kwa bahati mbaya hoja hiyo ilizimwa na wabunge wa Ccm.

..Kama utakumbuka mgombea Uraisi wa CHADEMA ndiye mgombea pekee aliyesimama jukwaani na kuwataja Mashekhe wa ANSWAR SUNNA waliofungwa magerezani.

..Samia Suluhu muda wote alikuwa kimya kuhusu kadhia ya Mashekhe. Ujasiri ameupata baada ya kuwa Raisi na Mashekhe wameshateseka na wengine kufa. Na kuna habari za chinichini kwamba wametoka Mashekhe wa Kizanzibar, Watanganyika wanaendelea kusota.
 
Serikali ya CCM imetesa masheikh wa uamsho tena chini ya rais muislamu
Serikali ya CCM tena chini ya rais muislamu imekamata masheikh na kuwasweka ndani masheikh kibao huko Arusha
Miaka yote hiyo wapinzani na wanaharakati wamekuwa wakiwatetea masheikh hao

Cha ajabu anakuja Sheikh Mziwanda anaiona serikali ni wema ila wapinzani ni wabaya!. Ajabu sana hii!
 
Sule ni mchawi yaani mganga wa kienyeji ndani ya uislam.

Mchawi ni mpinga haki na maendeleo ndo maana mbanga za kuroga ni order of the day
 
Sisi masufi....

Tusikilize sisi wafuasi wa BAKWATA.....

Sheikh wetu mkubwa Hassan Chizenga ameshasema.....

Sisi masufi hatumuonei na kumdhulumu hata SISIMIZI.....

Masheikh wako wengi ,wachungaji wako wengi....wako akina mch.Kiboko ya wachawi....na maustadhi kiboko ya wanga pia tunao.....

#Waislam yetu ni BAKWATA😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…