Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!

Barua ya wazi Kwa wanawake: Usiolewe na mwanaume mpumbavu na mwoga!

Wanawake muda huu wamelala, wakiamka kuelekea kazini... kitaumana humu!
ngoja waje.
 
Mkuuu ,Naomba kwanza nikukosoe .Uzi wako ni nzuri Mno Ila kuna Mambo matatu umeshindwa kuyatambua 1.Binadamu anabadilika kulingana na mazingira ( Human being is dynamic not sysmatic)) 2.mwanaume yeyote ili awe na Maisha yaliyonyooka Kwa asilimia Mia ni lazima awe na mke na watoto ( familia Kwa ujumla ) 3.hakuna binadamu anaependa Kuishi Maisha ya kipumbavu ila hii ni dunia tunaishi katika mazingira yafuatayo a.folish age b.umaskini ndani ya familia c.ukosefu WA elimu ( fikra na maradhi ) na mwisho Ni elimu dunia kututawala....NI mtazamo wangu


Nashukuru Mkuu Kwa maoni yako.

Mwanadamu yupo katika sehemu tatu
1. ID
2. Ego
3. Super Ego.

Ego na Super Ego ndio vinabadilika ID haibadiliki isipokuwa inajificha Kwa ndani na kujitokeza kulingana na Mazingira.

Ukiona mtu kabadilika ujue ndio kawa Yule OG yaani ID.
Ego na super Ego mtu anaipata kwenye mazingira na watu wanaomzunguka.

Kwa mfano mtu akipata pesa watu husema anabadilika, sio kweli habadiliki isipokuwa tabia za asili zilizojificha kwenye ID ndio hudhihirika.

ID ni Nafsi ya ndani kabisa ya mtu, yaani ndio mtu MWENYEWE
 
Baada ya kusoma hili nimejiuliza unaweza kuwa na ghorofa ngapi kariakoo au ndio motivesheno supuika?


Sio lazima uwe na Ghorofa,
Ila usikose pakuishi wewe na familia yako hata Kama ni nyumba ya matope.

Ishi kulingana na kipato chako hakuna kipato kisichomuwezesha mtu kuwa na makazi labda awe Mpumbavu.

Au ang'ang'anie kuishi mahali asipokuwa na uwezo napo
 
USIOLEWE NA MWANAUME MPUMBAVU NA MWOGA!

Kwa Mkono wa RObert Heriel.

Leo nitakaanga wapumbavu wote na waoga bila kupepesa. Iwe ni Mimi mwenyewe, wewe au Yule. Andiko hili halitamkwepa mwanaume yeyote Mpumbavu na mwoga bila kujali nafasi yake, hadhi yake, na umri wake.

Well said karne hii Wanaume wapumbavu wamejaa sana wao wanachowaza ni Ulimbukeni tu
Ndo maana siku hizi Wimbi kubwa la Mashoga linaongezeka hii ni Kutokana na Upumbavu na Uvivu wa kutofanya kazi 24hrs hours wapo social media doing nothing

Dada zetu wana mtihan sana hadi kupata mwanaume sahihi siku hizi vimeo ni vingi sana hawajitambui hata Kidogo wanachowaza ni maisha mazuri ya slope mwishoe wanakuwa Mashoga
 
Sio lazima uwe na Ghorofa,
Ila usikose pakuishi wewe na familia yako hata Kama ni nyumba ya matope.

Ishi kulingana na kipato chako hakuna kipato kisichomuwezesha mtu kuwa na makazi labda awe Mpumbavu.

Au ang'ang'anie kuishi mahali asipokuwa na uwezo napo
Kwahio ukilipwa buku 5 per day na una familia unaweza kuwa na makazi?
 
Kwahio ukilipwa buku 5 per day na una familia unaweza kuwa na makazi?


😀😀😀

Sio lazima kila mtu aishi mjini Sheikhe!!

Ishi sehemu unayoendana nayo utapata makazi.

Sogea nje ya mji huko ikiwezekana kijijini ukajenge makazi yako.

Unaweza piga matofali mwenyewe, au kujenga nyumba ya matope😀😀 kuliko kuishi mjini alafu baadaye ukose hata hiyo ya matope
 
😀😀😀

Sio lazima kila mtu aishi mjini Sheikhe!!

Ishi sehemu unayoendana nayo utapata makazi.

Sogea nje ya mji huko ikiwezekana kijijini ukajenge makazi yako.

Unaweza piga matofali mwenyewe, au kujenga nyumba ya matope😀😀 kuliko kuishi mjini alafu baadaye ukose hata hiyo ya matope
Sio kila mtu anapenda kuishi kijijini mzee😅
 
Sio kila mtu anapenda kuishi kijijini mzee😅


Na huo ndio upumbavu!

Lazima uishi sehemu inayoendana na wewe ili usiwe mtumwa wa Mazingira.

Ni Sawa na how mwanamke ambaye sio hadhi yako kisa tuu umempenda, huo ni upumbavu kwani utateseka.

Utamlaumu Mungu na kuyaona maisha hayana maana kumbe wewe ndio umekosa akili ya maana.

Moyo ni mdanganyifu ukiuendekeza unakuumiza.
Moyo sio wakuusikiliza mara zote Bali akili
 
Uhalisia ni upi?

Kwamba hakuna wanaume wapumbavu??
Mkuu ,,naomba nikwambie ukweli ,mm nimeishi Maisha magumu Sana ,kuna wakati nilikula ugali na chumvi iliyolowekwa kwenye maji n.k .Uzi ulioundika umeandika kihisia na siyo kiuhalisia Kwa sababu. Huyo mwanaume unayemuona mpumbavu Kwa sababu Hana pakuishi au mali ni kigezo kipi umetumia , analysis Ipi,au statistics gani unayoitumia Kwa kumuita mpumbamvu Kwa sababu Hana Mali ...mm nakukatalia
 
Mkuu ,,naomba nikwambie ukweli ,mm nimeishi Maisha magumu Sana ,kuna wakati nilikula ugali na chumvi iliyolowekwa kwenye maji n.k .Uzi ulioundika umeandika kihisia na siyo kiuhalisia Kwa sababu. Huyo mwanaume unayemuona mpumbavu Kwa sababu Hana pakuishi au mali ni kigezo kipi umetumia , analysis Ipi,au statistics gani unayoitumia Kwa kumuita mpumbamvu Kwa sababu Hana Mali ...mm nakukatalia


Hakuna mwanaume asiyekuwa na Mali Ila upumbavu ndio unatufanya kukosa Mali.

Hivi Kama Ndege na sisimizi wanapata Mali sembuse binadamu??

Mimi mwenyewe nimepitia hayo yote unayoyasema na niligundua ninayapitia hayo Kwa sababu ya upumbavu wangu au wazazi wangu.

Labda uamue kuutetea upumbavu lakini utakuwa unajisumbua Kwa sababu upumbavu hautetewi na huwezi kuutetea.

Unakosaje nyumba na Dunia bado haijajaa?
Unakosaje Shamba wakati dunia bado ni kubwa?

Kitakachotufanya tukose ni kung'ang'ania kuishi sehemu ambazo hatuwezi kuzimudu.
 
mkubwa vipi wanaume waliopata umaskini kwa kurogwa ama hapo kwenu hawapo
Binafsi naamin uchawi upo na watu tunarogwa ila ukilinganisha watu wanaorogwa na wenye wamekaa tu bila kujishughulisha ratio may go for 1:9 so haikuwa muhimu kuihusisha na na hata hivyo yote aliyoandika yana ukweli so kutoihusisha haimaanishi andiko ni batili
 
Hakuna mwanaume asiyekuwa na Mali Ila upumbavu ndio unatufanya kukosa Mali.

Hivi Kama Ndege na sisimizi wanapata Mali sembuse binadamu??

Mimi mwenyewe nimepitia hayo yote unayoyasema na niligundua ninayapitia hayo Kwa sababu ya upumbavu wangu au wazazi wangu.

Labda uamue kuutetea upumbavu lakini utakuwa unajisumbua Kwa sababu upumbavu hautetewi na huwezi kuutetea.

Unakosaje nyumba na Dunia bado haijajaa?
Unakosaje Shamba wakati dunia bado ni kubwa?

Kitakachotufanya tukose ni kung'ang'ania kuishi sehemu ambazo hatuwezi kuzimudu.
Ikitokea Kwa mfano ndugu zako wanne wanasafili bahati mbaya wakapata ajali mmoja akafariki watatu ni walemavu na wanapata matibabu na kipato chako Kwa siku ni TSH 10,000 .ikatokea ukawauguza miaka Kumi .je kama haujajenga na hauna kitu bado utakuwa mpumbavu .?
 
Kuna
Hakuna mwanaume asiyekuwa na Mali Ila upumbavu ndio unatufanya kukosa Mali.

Hivi Kama Ndege na sisimizi wanapata Mali sembuse binadamu??

Mimi mwenyewe nimepitia hayo yote unayoyasema na niligundua ninayapitia hayo Kwa sababu ya upumbavu wangu au wazazi wangu.

Labda uamue kuutetea upumbavu lakini utakuwa unajisumbua Kwa sababu upumbavu hautetewi na huwezi kuutetea.

Unakosaje nyumba na Dunia bado haijajaa?
Unakosaje Shamba wakati dunia bado ni kubwa?

Kitakachotufanya tukose ni kung'ang'ania kuishi sehemu ambazo hatuwezi kuzimudu.
Mpumbavu kama wewe zamani alikuwa akiamini kila aliyepo jela ni kibaka au jambazi.

Basi miaka ikaenda ikatokea short ofisini akajikuta Polisi, fasta mahakamani then gerezani keko.

Sina haja ya kuandika mengi nimekuonesha tu upumbavu wako.
 
Back
Top Bottom