Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Mh Aweso anapiga kazi sana ila Mameneja wa Wilayani ni shida kabisa hakuna ubunifu,badala watembee maeneo yenye makazi na kuwashirikisha wananchi hata kuchangia njia kubwa (bomba nchi 2 au 4)na uchimbaji wa mitaro wamekaa tu maofisini, TANESCO (REA)wamewezaje huko vijijini nchi nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…