Barua ya wazi kwa Waziri wa Mazingira na NEMC- Kelele mitihani ni tishio la afya za wananchi na Ustawi wa Taifa

Yaani utadhani nchi hii haina serikali kabisa. Huwezi kuuona Ujinga huu kwenye nchi za watu wanaojielewa.
Pita tu kariakoo pale. Uchafuzi wa kelele ni mkubwa sana. Watu hawana ustaarabu na serikali haijali kabisa kwa sababu watawala wana maeneo yao yasiyo na kelele.
 
Uwajibikaji HAUPO tangu A Hadi Z !
 
Kama vile hakuna anayejali mwenye dhamana ya kudhibiti kelele. Vigodoro vimezidi vya kukesha hasa maeneo ya wazaramo
 
Mleta uzi umepiga henyewe hongera kwa hoja hii. Kelele sikuhizi imefanywa sehemu ya maisha ya mtanzania, si masokoni, kwenye usafiri wa umma (Mabasi na daladala), nyumba za ibada nazo ni makelele tuu (baadhi hasa hizi za kileo) nk. Kiufupi uchafu wa kelele umetapakaa na hivyo tusishangae kuona afya za akili za watanzania zikiyumba na hivyo tutaendelea kushuhudia matukio ya kushangaza yakifanyika sababu mojawapo ni uchafu wa ubongo unaosababishwa na makelele.
 
Kwa kelele hizi zilizopita kiasi mitaani, HAKUNA MIND za Watanzania zitakazokuwa na utulivu wa kutosha Kufikiri vyema, Kuinnovate. Kwa Hiyo tutaendelea kuwa na Jamii yenye ujinga mwingi.
 
Hakuna viongozi wa kulikemea hilo. Kila mmoja ni muoga sana, mji umekuwa mchafu sana. Hakuna utulivu kabisa.

Zamani ilikuwa unaweza kutoka na familia kwenda sehemu na kufurahi nao. Lakini sasa kila sehemu ni uchafu wa kelele tu.
Ukweli Dar es salaam ya sasa ni chafu sana tofauti na kipindi kile anaongoza Mkuu wa mkoa Makamba.
 
Umaskini na tamaa vinadumaza uwezo wa kufikiria. Mtu anauza duka lake lakini anaruhusu wale vijana wanaweza kompyuta na kurusha nyimbo, wanapiga miziki kwa sauti ya juu kuanzia asubuhi mpaka jioni. Na kweli hao vijana wanapata pesa ya kula.

Matajiri anzisheni viwanda vidogo vidogo na vya kati ili vijana wakapate ajira viwandani waachane na mambo ya kurusha nyimbo na muvi mitaani
 
Mleta mada na wewe acha kelele

Hamia maeneo yasiyo kuwa na kelele.kama hupendi kelele
 
Zamani ilikuwa unaweza kutoka na familia kwenda sehemu na kufurahi nao. Lakini sasa kila sehemu ni uchafu wa kelele tu.
Ukweli Dar es salaam ya sasa ni chafu sana
Hujalazimishwa kuishi Dar hama
 
Wako bize na uchaguzi 2025!
Hawana muda wala nafasi ya kutusikiliza!
 
Kwa kelele hizi zilizopita kiasi mitaani, HAKUNA MIND za Watanzania zitakazokuwa na utulivu wa kutosha Kufikiri vyema, Kuinnovate. Kwa Hiyo tutaendelea kuwa na Jamii yenye ujinga mwingi.
Ingekuwa utulivu unasaidia ugunduzi wasandawe wangegundua ndege
 
Kwa hili tunakubaliana kama nchi tumefeli. Kama ambavyo hakuna tulichofaulu.

Kila mmoja mmoja mchukia kelele apambane na familia yake kuhamia eneo lisilo na kelele. Mi nimehami ushuani, tatizo kuna barabara ya kwenda hospital, ni lazima ambulance ipite mara kwa mara hivyo kelele hii ni lazima haikwepeki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­
 
Hicho kinaitwa kibomba,,,Hadi ombaomba wanavimiliki
 

Attachments

  • Screenshot_20250216-104152.jpg
    115.5 KB · Views: 1
Your browser is not able to display this video.
 
Hawajali, hii restaurant hapo wanapopikia chakula. mafuta ya kupikia yanatiwa kwenye maji taka.
Takataka zinatupwa ovyo
Jamaa wakipita wanapewa chao hawajali afya za watu
 

Attachments

  • VID_20250104_063837.mp4
    13 MB
Hawa wajinga ndio wameamua hivyo maana hata kwenye mikutano yao wanaleta waimbaji
Usitegemee mabadikiko kwani watakuambia ni wapiga kura wetu msiwanyanyase
Ni nchi inayoenda kwa kuogopa wananchi wake, hata sheria kutunga wanaziogopa
Ila kuna wajinga wengine huwa wanawatetea na sababu ni ushamba tu
Hawajawahi kutoka nje ya nchi na kuona nchi zingine zilivyo na sheria kali kwa ujinga huu wa makelele

Mtu anafurahia kelele za mziki kwenye Bus
Huku nje hata simu tu pameandikwa heshimu wengine kwa kuongea polepole
Nchi maskini ni Laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…