Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

Kujua soko la mbolea wwanunuzi wakubwa utawapata VP,
Wanunuzi wakubwa wa mbolea wanapatikana mikoa inayofanya kilimo kinachotegemea mbolea. Unapotafuta soko la mbolea hayo ndio maeneo ya kushughulika nayo mfano mkoa wa Mbeya, Ruvuma, Songwe, Moshi, Tanga, Morogoro n.k. Ni muhimu kupata taarifa za mahitaji ya mbolea katika mikoa hiyo. Mfano mahitaji ya mbolea mkoa wa Ruvuma ni tani 50,521 kwa musimu mmoja wa kilimo. Unaweza kuona ni wanunuzi kiasi gani wapo katika mkoa huu.
 
Huko huko tunapoichukulia sisi ila hapa nyumbani haya matozo ya Madelu ndio kivumbi.
Umoja wa ulaya umeshakataza, saivi hawatachukua tena. Wakifanya hivyo watakua wanakwenda kinyume na mapendekezo ya umoja wa ulaya.
 
Back
Top Bottom