Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chanzo Tanzania Daima!! Upuuzi hahaha
Endeleeni kuelimisha hawa mbumbumbu jamani , Mungu atawalipa .Rais anawaogopa Kinana na Makamba?
Karibu wiki moja inafika toka waraka utoke lkn Rais hajagusia chochote kilichoandikwa humo wala kuwagusa walioandika tofauti na tulivyomzoea, nilitegemea leo atasema chochote kuwahusu hao wazee na malalamiko yao lkn kaishia kumzungumzia January, je anawaogopa? au malalamiko yao yana ukweli...www.jamiiforums.com
😠😠😠Mtaalamu tufafanulie kidogo
kuna kila daliliLabda waandaliwe mashitaka ya uhujumu uchumi!
Katika watu ambao ni useless ni huyu Ndugu yangu Nshomile. Very hopeless! Anadhani atafia ofisi ya CCM na atakwenda nayo kwa shetani akifa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara paap wameitwa, mada hii inafungwa au tunaendelea na majalidiliano!Endeleeni kuelimisha hawa mbumbumbu jamani , Mungu atawalipa .
Mbona sababu zipo. 1. Kumsengenya masiah kwa njia ya simView attachment 1304608
Hii ndio habari mpya kwa sasa , kwamba barua za kuwaita wastaafu ili wahojiwe kwenye vikao vya chama chao mpaka leo hazijaandaliwa baada ya Katibu Mkuu wa ccm ndugu Bashiru Ally kukumbwa na " Kindengu ndengu " watu wa Nyasa wanaita hali hii kama kutetemeka mikono kunakoweza kusababisha mhusika kudondosha glass ya maji au hata kushindwa kushika kalamu ya kuandikia .
Taarifa za ndani kwa ndani zinadokeza kwamba sababu ya kindengundengu hiki ni kutokana na kukosekana kwa sababu za maana za kuwaita wazee hawa kwenye kikao hicho
Tuendelee kutega sikio labda waweza kuitwa kwa njia ya Whatsapp .